Nina $ 23,000 ila sijui biashara gani inanifaa

Nina $ 23,000 ila sijui biashara gani inanifaa

Sikia Kijana hyo hela tafuta kiwanja next na barabara ya lami maeneo ya Goba....nunua...fungua car wash ya maana piga kimya.

Eneo lita appreciate, kodi hulipi na in the long run utajikuta una garage matata sana na hela yako isharudi long tym ago.

Na hilo eneo biashara yeyote utafanya hata kufyatua matofali.

Go buy an investment property i.e. Land kikubwa uwe na hela flani ya kufanya biz let say 20 - 25 Million. Hutojuta Joh Niamini.
 
Kama Mimi ningenunua IST kama 5 hivi natafuta Madereva then nawapa deal

Zinarudisha 170,000-200,000 kwa Wiki moja so Gari zikiwa used from Japan nina Uhakika matengenezo yanakuaga si sanaa kwa kipindi cha Miaka 2

170,000 * 5 = 850,000
200,000*5 = 1,000,000
850,000 *52= 44,200,000
1,000,000*52= 52,000,000

So itachukua Mwaka 1 kuweza kurudisha pesa yako then unaanza kula Faida baada ya mwaka 1

NB kwa Dar es Salaam risk ya gari kupiga mzinga ni ndogo sana kutokana na Magari jiji kuwa na Gari nyingi
Unazifanya tax or uber?
 
Milion 50 za kitanzania kwako wewe unaziona ni ndogo!!!!!!!.Kweli binadamu tuko tofauti sana.
Kama ni hela ya pension ndo unategemea ufanyie biashara baada ya kustaafu....dont hiyo hela ndogo kwa biashara kwa wakati huu utakufa kwa frustration na stress think twice
 
Kama ni pesa huitegemei kwa chakula basi ingia Zanzibar, tafuta kampuni ya utalii ongea nao ziko nyingi haswa zenye magari ya kukodisha mkubaliane bei huwa sio chini ya laki tano kwa mwezi kama utampabdereva moja moja au inaweza fika dollar 30 kwa siku kama kampuni wataichukua maana wao wanakodisha kwa dollar 50 mpaka 60 kwa siku. Ukishapata kampuni sasa nunua alphard 3 kila moja Zanzibar haizidi milioni 12 mpaka na usajili hapo pia unaweza changanya magari ukawa na ya aina tofauti ila alphard isikose ndio habari ya mjini kwa sasa kwa kampuni ikiwa sambamba na prado tx (model flani ya kati hivi sio old ila prado ghari wewe chukua gari zisizidi m12), unaweza chukua Alphard na suzuki vitara au na toyota hizi size ya suzuki vitara. Kwa kila mwezi hutokosa 1.5m sasa sio ya kula hiyo unakusanya unaongeza magari hapo inamaana kila miezi 6 unaongeza gari moja zikifika kumi basi zinatosha, usihofu kuhusu kuharibika barabara za zenji nzuri utafanya kazi ya service tu ambayo kwa mwezi ni kumwaga oil pekee ndio kinafanyika huku. Wakati ukiwa umezikodisha kwa mtu fungua website anza kutafuta wageni mtandaoni na kukodisha magari kwa wahitaji wazawa na wageni, basi utafurahi mwenyewe.

Kwanza uje utazame fika pale Forodhani kuna kijiwe cha madereva tax, wale ndio wanabeba watalii huku watakupa abc zote. Kuna mtu nimesomea nae primary yaani ni mate wangu mpaka umri kazi yake ndio hiyo now anamalizia ujenzi wa nyumba yake ya milioni 200 so nikikueleza iko hela tambua iko tatizo la watu huwa mitaji na wewe mtaji huo unao. Nimekuchagulia zenji sababu barabara nzuri, kuna bahari sio rahisi watu kuvusha gari kwa nia ya kuiba, wengi wanakuja zenji kutalii hivyo wazawa na wageni wanakodisha sana magari sio bara mpaka upate kampuni ndio watakodisha gari kwako.
Ahsante sana
Watu kama wewe ni wachache sana....ubarikiwe
 
Hela uwa haikose matumiz mkuu,tatzo ujanielewa nimemaansha nini,,,,mtu kuomba ishauri haina maana yeye ameshindwa kufanya maamuz binafs,ilq kupata mawazo ya watu wngn n vyema zaidi wakati unaaanza mikakati yako

Nakushauri uwaombe rafiki zako wako wa karibu,
 
Wanajamii nimekuwa na wakati mgumu wa kuamua kufanya biashara gani itakayonifaa nitakapoamua kuacha kuangaika kwenye kazi za watu,

Nahisi pesa nilionayo($23,000=milioni 50 hivi za shilingi) inafaa kuwekeza ila nakuwa na wakati mgumu wa biashara hipi inafaa kulingana na pesa nilionayo au njia zipi nipitie ili niwe na mafanikio katika biashara yangu

Kwa mwenye kuwa na uelewa au uzoefu na maswala ya biashara na ushauri wa mambo haya anaweza kunishauri nipite njia zipi au nini nifanye kuwa bora katika biashara yangu ya aina yeyote ninayotaka kufanya

NINAWAKARIBISHA WAKUU.
Habar Mkaka
Kama ni mm ndio mwenye hiyo Capital
"50 million"
Napenda kukushaur ufanye hivii..

A) Tumia sh 30million
Hiyo ni pamoja na kununua Kiwanja(5,000,000) halafu ukajenga lodge ya vyumba 10 Self yenye thaman ya
sh 25Million.

B) Tumia sh 20milion
Nunua Toyota Hiace Used kwa Mtu ambayo ipo Order kwa sh 18,000 ila b4 hujanunua inabidi uende kuikagua ukiwa na fundi unayemuamin.
Hizo sh 2milion punguza kidogo kwa kulipia Comprehensive Insuarance hio hiace then per day unapata sh 50,000.

Aidha; Baada ya Lodge kukamilika utakuwa unapiga Ela sh 100,000 kima cha juu kila siku km biashara itakuwa nzuri.

ALTENATIVE
A) Nunua boti 3 Used zenye kutumia Mashine za kisasa za kuvulia samaki hapo mwanza.
Kipande kwa siku ni zaid ya sh 100,000.
OR
B) Nunua hiace tatu Used kwa mtu kwa
sh 45,000,000 halafu utabakiwa na
sh 5,000,000.
Then katia zote Comprehensive insuarance utabakiwa na chenchi kidogo.
Project hii utapokea sh 150,000 kila siku.

KAZ KWAKO MKUU
 
Hiyo pesa haitoshi kwa mlolongo wa mambo ulioweka hapa... Fikiria tena upya.
Habar Mkaka
Kama ni mm ndio mwenye hiyo Capital
"50 million"
Napenda kukushaur ufanye hivii..

A) Tumia sh 30million
Hiyo ni pamoja na kununua Kiwanja(5,000,000) halafu ukajenga lodge ya vyumba 10 Self yenye thaman ya
sh 25Million.

B) Tumia sh 20milion
Nunua Toyota Hiace Used kwa Mtu ambayo ipo Order kwa sh 18,000 ila b4 hujanunua inabidi uende kuikagua ukiwa na fundi unayemuamin.
Hizo sh 2milion punguza kidogo kwa kulipia Comprehensive Insuarance hio hiace then per day unapata sh 50,000.

Aidha; Baada ya Lodge kukamilika utakuwa unapiga Ela sh 100,000 kima cha juu kila siku km biashara itakuwa nzuri.

ALTENATIVE
A) Nunua boti 3 Used zenye kutumia Mashine za kisasa za kuvulia samaki hapo mwanza.
Kipande kwa siku ni zaid ya sh 100,000.
OR
B) Nunua hiace tatu Used kwa mtu kwa
sh 45,000,000 halafu utabakiwa na
sh 5,000,000.
Then katia zote Comprehensive insuarance utabakiwa na chenchi kidogo.
Project hii utapokea sh 150,000 kila siku.

KAZ KWAKO MKUU
 
Habar Mkaka
Kama ni mm ndio mwenye hiyo Capital
"50 million"
Napenda kukushaur ufanye hivii..

A) Tumia sh 30million
Hiyo ni pamoja na kununua Kiwanja(5,000,000) halafu ukajenga lodge ya vyumba 10 Self yenye thaman ya
sh 25Million.

B) Tumia sh 20milion
Nunua Toyota Hiace Used kwa Mtu ambayo ipo Order kwa sh 18,000 ila b4 hujanunua inabidi uende kuikagua ukiwa na fundi unayemuamin.
Hizo sh 2milion punguza kidogo kwa kulipia Comprehensive Insuarance hio hiace then per day unapata sh 50,000.

Aidha; Baada ya Lodge kukamilika utakuwa unapiga Ela sh 100,000 kima cha juu kila siku km biashara itakuwa nzuri.

ALTENATIVE
A) Nunua boti 3 Used zenye kutumia Mashine za kisasa za kuvulia samaki hapo mwanza.
Kipande kwa siku ni zaid ya sh 100,000.
OR
B) Nunua hiace tatu Used kwa mtu kwa
sh 45,000,000 halafu utabakiwa na
sh 5,000,000.
Then katia zote Comprehensive insuarance utabakiwa na chenchi kidogo.
Project hii utapokea sh 150,000 kila siku.

KAZ KWAKO MKUU
Ushauri huu utafail,utaishia njiani. Kujenga siku hizi asikuambie mtu. Ujenzi wa kwenye makaratasi huo. Lorge ya vyumba vi5 usipungue milioni 60 ndio itakamilika
 
Kwa hiyo pesa usiitetemekee sana wala kuiendea pupa kumbuka idea nyingi mpya hufa hasa unapoanza biashara, tafuta biashara ambayo ishaanza ufanye kazi.....

Namaanisha tafuta big companies yaani zile strong ambazo watu wananunua shares na bonds mfano kampuni ya sigara omba uwakala huko kwenye kampuni ya sigara Tcc alafu open branch uwe branch agent mkoa kama simiyu, lindi, manyara ukiwa Kama wakala wa sigara.

tcc Ni kampuni kubwa haijawahi kupata wapinzani na bidhaa zake zinatoka sana ambazo Ni sigara sm, sport, safari, club, embassy n.k wao kama kampuni watakupa support sana uko baadaye ndiyo uje ufungue biashara yako, ukashindwa sigara nenda bia tbl, au fungua ofisi kubwa uwe wakala wa huduma za kifedha, pia wakala wa kampuni kubwa za bima insurance companies, au ingia kwenye uwakala wa bidhaa za cements, bati, na vifaa vya ujenzi....

mkuu yangu ni hayo ningekuwa Mimi ningeanza hivo usiende njee bongo bado fursa zipo kuliko huko.
Inahitajika kiasi gani mtaji ili uwe wakala wa TBL au TCC? TBL utahitaji big warehouse kwahiohio 50m
 
Habar Mkaka
Kama ni mm ndio mwenye hiyo Capital
"50 million"
Napenda kukushaur ufanye hivii..

A) Tumia sh 30million
Hiyo ni pamoja na kununua Kiwanja(5,000,000) halafu ukajenga lodge ya vyumba 10 Self yenye thaman ya
sh 25Million.

B) Tumia sh 20milion
Nunua Toyota Hiace Used kwa Mtu ambayo ipo Order kwa sh 18,000 ila b4 hujanunua inabidi uende kuikagua ukiwa na fundi unayemuamin.
Hizo sh 2milion punguza kidogo kwa kulipia Comprehensive Insuarance hio hiace then per day unapata sh 50,000.

Aidha; Baada ya Lodge kukamilika utakuwa unapiga Ela sh 100,000 kima cha juu kila siku km biashara itakuwa nzuri.

ALTENATIVE
A) Nunua boti 3 Used zenye kutumia Mashine za kisasa za kuvulia samaki hapo mwanza.
Kipande kwa siku ni zaid ya sh 100,000.
OR
B) Nunua hiace tatu Used kwa mtu kwa
sh 45,000,000 halafu utabakiwa na
sh 5,000,000.
Then katia zote Comprehensive insuarance utabakiwa na chenchi kidogo.
Project hii utapokea sh 150,000 kila siku.

KAZ KWAKO MKUU
Akili za Kitoto hizi hiyo Lodge kwenye hicho kiwanja cha 5,000,000 itapata wateja kweli eti unajenga kwa 25million chini inakua ya Vumbi, Haipigwi Plasta ukutani wala Silling Board acha Gypsum....

Unajua bei ya Dirisha moja wewe? Au inakua ya Mapazia?

Milango?
Paving?
Fence tuu ya Guest dogo inakula zaidi ya 15M

Ondoeni utoto wenu hapa hicho ni kiasi kidogo sana kuwekeza kwenye Real estate akajichimbie hata kariakoo afanye biashara ya Electronics akimata 90m au 80m hivi ndo uumpe hizo idea zako?
 
Wanajamii nimekuwa na wakati mgumu wa kuamua kufanya biashara gani itakayonifaa nitakapoamua kuacha kuangaika kwenye kazi za watu,

Nahisi pesa nilionayo($23,000=milioni 50 hivi za shilingi) inafaa kuwekeza ila nahukuwa na wakati mgumu wa biashara hipi inafaa kulingana na pesa nilionayo au njia zipi nipitie ili niwe na mafanikio katika biashara yangu

Kwa mwenye kuwa na uelewa au uzoefu na maswala ya biashara na ushauri wa mambo haya anaweza kunishauri nipite njia zipi au nini nifanye kuwa bora katika biashara yangu ya aina yeyote ninayotaka kufanya

NINAWAKARIBISHA WAKUU.
Huna lolote sema unataka mademu WA JF
 
Back
Top Bottom