Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ipo moja hapa inauzwa mil 3.
Ni gari nzuri sana kwa budget yake. Hizi gari nazikubali sanaIpo moja hapa inauzwa mil 3.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo moja hapa inauzwa mil 3.
Ni gari nzuri sana kwa budget yake. Hizi gari nazikubali sanaIpo moja hapa inauzwa mil 3.
Mbona wewe Una Crown 2GR?!!Kaka humu kuna masnich wengi wakatisha tamaa kwa mpunga wako huo unavuta vitz,sienta , suzuki swift , honda fit ....mkuu usidanganywe ukanunua grand mark Ii ,brevis ,progress,marks x, ogopa sana hizo achana na hawa vijana wasio na vition ...Hongera kwa uamuzi mzuri
sent from HUAWEI
Tulia unapata ist nzuri tu cha msingi uwe na connection watu wengi wanauza magari. Hata vits new model unapata kwa hela hiyo upo mkoa gani. Usikatishwe tamaa mwingine hata ndoto ya kununua baiskeli hana.Waungwana nimechoka kutembea kwa mguu, Nina ka milioni 5 nilitaka nitafute ka miguu minne nipumzike shida kutembea, ila sina uzoefu na mambo ya magari ni aina zipi za magari naweza kununua ikiwa na hali nzuri kwa hiyo bei?
Huyu kila gari anayo fuatilia post zakeMbona wewe Una Crown 2GR?!!
Hajasema yeye, ila kuna mtu ndio amemshauri aendelee kutembea kwa miguu. Sasa sijui wewe umeangalia kauli ya nani; ya anayetafuta gari au anayeshauri asitafute gari!Kwahiyo unanunua gari ili usitembee kwa miguu? [emoji1]
Hizo gari ulizotaja ni mahususi kwa vijana wasio na vision sio?Kaka humu kuna masnich wengi wakatisha tamaa kwa mpunga wako huo unavuta vitz,sienta , suzuki swift , honda fit ....mkuu usidanganywe ukanunua grand mark Ii ,brevis ,progress,marks x, ogopa sana hizo achana na hawa vijana wasio na vition ...Hongera kwa uamuzi mzuri
sent from HUAWEI
Mimi napenda mwendo lakini pia kuhusu mafuta nina fungu la kila mwezi linatolewa na ofisi ....ENGINE ya 3500 cc kulimudu hivi hivi lazima uliuze.... Hivyo Tusimshauri vibaya ukizingatia ni first time anataka kumiliki gari hizi gari zenye cc kubwa mpaka uwe mzoefuMbona wewe Una Crown 2GR?!!
Mwache aingie huko akili ichangamke pia atakuwa na disciplineMm napenda mwendo ,lkn pia kuhusu mafuta nina fungu la kila mwezi linatolewa na ofisi ....ENGINE ya 3500 cc kulimudu hivi hivi lazima uliuze ....Hivyo Tusimshauri vibaya ukizingatia ni first time anataka kumiliki gari hizi gari zenye cc kubwa mpk uwe mzoefu
sent from HUAWEI
Humtakii mema nimeshafatilia sana ushauri wa watu wengi humu huwa sio mzuri ..,.Mwache aingie huko akili ichangamke pia atakuwa na discipline
Waungwana nimechoka kutembea kwa mguu, Nina ka milioni 5 nilitaka nitafute ka miguu minne nipumzike shida kutembea, ila sina uzoefu na mambo ya magari ni aina zipi za magari naweza kununua ikiwa na hali nzuri kwa hiyo bei?
Unataka kuharibu kula ya watuVile wapigaji wanatembea kwa uhodari kuja pm[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1965895
Ni punguani peke yake ndiye atakaenunua gari kutoka kwa rangi nyeusi.Unataka kuharibu kula ya watu
Pesa zetu za kubangaiza tununue wapiNi punguani peke yake ndiye atakaenunua gari kutoka kwa rangi nyeusi.
Pesa zetu za kubangaiza tununue wapi
Mateso utakayoyapata kwa kununua gari kutoka kwa rangi nyeusi ni makubwa kuliko mateso ya kutembea kwa miguu au kupambana kwenye daladala.Pesa zetu za kubangaiza tununue wapi
Mkuu pesa zetu za kimaskini haziwekeki ukiipata hapo hapo nunua utakacho.jipange kuna kiasi ukiwa nacho unapata gari.
ukitaka kulazimisha kitakacho kukuta utajifunza sasa maana ya pesa yako inakuwaje