chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Mkuu pesa zetu haziwekeki ukiipata hapo hapo nunua utakacho.
Nakushauri ni bora weka fixed account mpaka kuwa sawa.
Ilishanitokea na nilijuta mpaka kuliuza kwa hasara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pesa zetu haziwekeki ukiipata hapo hapo nunua utakacho.
Kaka humu kuna masnich wengi wakatisha tamaa kwa mpunga wako huo unavuta vitz,sienta , suzuki swift , honda fit ....mkuu usidanganywe ukanunua grand mark Ii ,brevis ,progress,marks x, ogopa sana hizo achana na hawa vijana wasio na vition ...Hongera kwa uamuzi mzuri
sent from HUAWEI
Kwa 5m akinunua Brevis au GX100 anapata ambayo iko vizuri sana na atadunda nayo hadi aichoke. Ila kwenye hivi vigari vya cc900-1200 atapata tabu sanaHumtakii mema nimeshafatilia sana unshauri wa watu wengi humu huwa sio mzuri ..,.
Usipojiongeza unadumbukia pabaya
sent from HUAWEI
Kwa mtu wa magari atauchukua huu ushauri ila kwa hawa wa kuyaona magari barabarani hawatokuelewaKwa 5m akinunua Brevis au GX100 anapata ambayo iko vizuri sana na atadunda nayo hadi aichoke. Ila kwenye hivi vigari vya cc900-1200 atapata tabu sana
Hizo gari tajwa ni za vijana wasio na vision?Kaka humu kuna masnich wengi wakatisha tamaa kwa mpunga wako huo unavuta vitz,sienta , suzuki swift , honda fit ....mkuu usidanganywe ukanunua grand mark Ii ,brevis ,progress,marks x, ogopa sana hizo achana na hawa vijana wasio na vition ...Hongera kwa uamuzi mzuri
sent from HUAWEI
Acha kutisha watu. Hujui hata atakuwa analitumiaje ushaanza mkwara. Jua kwanza matumizi yake ya gari ndio ujue ushauri mzuri / mbayaMm napenda mwendo ,lkn pia kuhusu mafuta nina fungu la kila mwezi linatolewa na ofisi ....ENGINE ya 3500 cc kulimudu hivi hivi lazima uliuze ....Hivyo Tusimshauri vibaya ukizingatia ni first time anataka kumiliki gari hizi gari zenye cc kubwa mpk uwe mzoefu
sent from HUAWEI
Alafu how you start determines your trajectory.Kwa 5m akinunua Brevis au GX100 anapata ambayo iko vizuri sana na atadunda nayo hadi aichoke. Ila kwenye hivi vigari vya cc900-1200 atapata tabu sana
Kwa hizo hela mkuu njoo hapa maskani tuongee, nina kabajaji used nitakupunguzia 2,000 tu ili upate nauli ya kurudia home.Waungwana nimechoka kutembea kwa mguu, Nina ka milioni 5 nilitaka nitafute ka miguu minne nipumzike shida kutembea, ila sina uzoefu na mambo ya magari ni aina zipi za magari naweza kununua ikiwa na hali nzuri kwa hiyo bei?
Hahahahah 2GR crown ni mziki mneneMbona wewe Una Crown 2GR?!!
We unafikiri kumeki hela ifike walau 14m ni jambo la kitoto?Ni punguani peke yake ndiye atakaenunua gari kutoka kwa rangi nyeusi.
Kama fungu linatoka ofisini kwa ajili ya wese hata ukimiliki 5.7L V8 haina shidaMm napenda mwendo ,lkn pia kuhusu mafuta nina fungu la kila mwezi linatolewa na ofisi ....ENGINE ya 3500 cc kulimudu hivi hivi lazima uliuze ....Hivyo Tusimshauri vibaya ukizingatia ni first time anataka kumiliki gari hizi gari zenye cc kubwa mpk uwe mzoefu
sent from HUAWEI
Hahahahah 2GR crown ni mziki mnene
Iko corola limited nikupe kwa bei nzuri njoo inboxWaungwana nimechoka kutembea kwa mguu, Nina ka milioni 5 nilitaka nitafute ka miguu minne nipumzike shida kutembea, ila sina uzoefu na mambo ya magari ni aina zipi za magari naweza kununua ikiwa na hali nzuri kwa hiyo bei?
Tatizo ni kuwa mnakurupukaga yani! Huna uzoefu wa gari tafta mtu anayezijua gari ndio uende nae kununua gari! Gari ya kitonga hakikisha ni ya Toyota na anayeiuza hio gari anashida ya hela tu sio wale ambao hana hela gari imemshinda ndio anauza huwa gari zao zinakuwaga vimeo sana!nakushauri ni bora weka fixed account mpaka kuwa sawa.
ilishanitokea na nilijuta mpaka kuliuza kwa hasara
Hao wanajiweza mzee! Ukimuona mtu wa kawaida anapambana nalo hilo jua mikondo ya hela imenyookaWatu wanapush UR engines Vieite. Hao nao tuwaweke kundi gani?
Hii ni gari kabisa hata kwa kuiangalia tu haina shida kubwa sababu inaonekana iko kwa mtu anayejua kutunza gari!Iko corola limited nikupe kwa bei nzuri njoo inbox
View attachment 1966369
View attachment 1966370
View attachment 1966371
View attachment 1966372
Tatizo ni kuwa mnakurupukaga yani! Huna uzoefu wa gari tafta mtu anayezijua gari ndio uende nae kununua gari! Gari ya kitonga hakikisha ni ya Toyota na anayeiuza hio gari anashida ya hela tu sio wale ambao hana hela gari imemshinda ndio anauza huwa gari zao zinakuwaga vimeo sana!
Nina best yangu juzi kanunua Mini Cooper ya mkononi ile gari kauziwa 4.5M ila iko na vipengele vya kutosha[emoji28] yani kabla hata ya diagnosis kufanyika. Hakuomba ushauri wala nini na yeye sio mzoefu wa magari kabisa ila kwa kuwa mini cooper imekaa kibishoo yeye kaona freshi tu na vile namba ni DK.
Aliniomba nimsaidie kuiendesha toka gereji mpaka kwake maana hata leseni hana. Kilichotokea kwanza steering ni ngumu kuliko fiat mbaula [emoji28] yani kufika mtaani ilibidi niagize ugali mkubwa. Pia gari inasita sita ikiwa kwenye gear ya kwanza ila ikichanganya inatulia. Side mirror ya kushoto mbovu. Mguu wa nyuma unagonga yani gari iko na stiff suspension utafikiri haina shock absobers yani kama gari iliofungwa matairi kwenye chassis! Taa baadhi haziwaki yani na dashboard lights ya tire pressure sensor iko on, ya alama ya radi ipo on yani kwa navyojua BMW zilivyo pale ikipigwa diagnosis mkeka wake hautapungua 3M kuiweka gari sawa.