Steering ni ngumu kuliko fiat mbaula[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bro wewe ni comedian sn asee
Speaking of fiat ,siku moja jamaa kaja na fiat yake kuchukua kontena ofisini kwetu ikabidi nim escort kuingia Nayo bandarini,tumefika Kona ya Malawi cargo tuingie Mofed dereva kila akikata Kona usukani mgumu balaa utafikiri anakata Kona ya meli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..me namtazama Tu anavyohangaika na sterling.Si akanichenjia bn[emoji1787][emoji1787]
"aah mwanangu unazinga bn hunioni ninavyoangaika hapa na kusababisha jam nyuma huko"
..ikabidi tushike wawili usukani ili kukata Kona[emoji1787]..Kona ulienda kukubali karibu na mtaro nusu tuimwage kontena ahahhaah..mwamba anatembea na taulo kubwa Kwa ajili ya kufutia jasho[emoji1787]
Nimecheka sn kuifananisha gari ya mwanao kuwa ngumu km fiat mbaula[emoji1787]
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app