Nina 5,000,000 tu. Naweza kununua gari ipi ikiwa na hali nzuri?

Nina 5,000,000 tu. Naweza kununua gari ipi ikiwa na hali nzuri?

Usilogwe ukanunua magari ya wahindi ,wahindi nao ni watu .....magari mengine utasikia la muhindi ....wahindi wenyewe wabahili , Gari ni Engine wala sio namba wala inamilikiwa na nani hizo ni swaga za kishamba za madalali eti utasikia "gari ya mdada iwahi" mara mwenyr muhindi " who is muhindi by the way ???

sent from HUAWEI
Gari ni bodi mkuu sio engine.
 
Honda ni gari mbovu hata hivyo sio tu ya mnada ila hata wewe ukiagiza leo hii! Sijawahi kuona Honda ambayo haina usumbufu labda ile hondaFit

Agiza honda namie niagize spacio af tuone nani atakuwa analia lia [emoji28][emoji28][emoji28] daily!
Honda ni nyoko Sana sitaki hata kulisikia Hilo jina mamaeee....
 
Tatizo ni kuwa mnakurupukaga yani! Huna uzoefu wa gari tafta mtu anayezijua gari ndio uende nae kununua gari! Gari ya kitonga hakikisha ni ya Toyota na anayeiuza hio gari anashida ya hela tu sio wale ambao hana hela gari imemshinda ndio anauza huwa gari zao zinakuwaga vimeo sana!

Nina best yangu juzi kanunua Mini Cooper ya mkononi ile gari kauziwa 4.5M ila iko na vipengele vya kutosha[emoji28] yani kabla hata ya diagnosis kufanyika. Hakuomba ushauri wala nini na yeye sio mzoefu wa magari kabisa ila kwa kuwa mini cooper imekaa kibishoo yeye kaona freshi tu na vile namba ni DK.

Aliniomba nimsaidie kuiendesha toka gereji mpaka kwake maana hata leseni hana. Kilichotokea kwanza steering ni ngumu kuliko fiat mbaula [emoji28] yani kufika mtaani ilibidi niagize ugali mkubwa. Pia gari inasita sita ikiwa kwenye gear ya kwanza ila ikichanganya inatulia. Side mirror ya kushoto mbovu. Mguu wa nyuma unagonga yani gari iko na stiff suspension utafikiri haina shock absobers yani kama gari iliofungwa matairi kwenye chassis! Taa baadhi haziwaki yani na dashboard lights ya tire pressure sensor iko on, ya alama ya radi ipo on yani kwa navyojua BMW zilivyo pale ikipigwa diagnosis mkeka wake hautapungua 3M kuiweka gari sawa.
Steering ni ngumu kuliko fiat mbaula[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bro wewe ni comedian sn asee

Speaking of fiat ,siku moja jamaa kaja na fiat yake kuchukua kontena ofisini kwetu ikabidi nim escort kuingia Nayo bandarini,tumefika Kona ya Malawi cargo tuingie Mofed dereva kila akikata Kona usukani mgumu balaa utafikiri anakata Kona ya meli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..me namtazama Tu anavyohangaika na sterling.Si akanichenjia bn[emoji1787][emoji1787]

"aah mwanangu unazinga bn hunioni ninavyoangaika hapa na kusababisha jam nyuma huko"
..ikabidi tushike wawili usukani ili kukata Kona[emoji1787]..Kona ulienda kukubali karibu na mtaro nusu tuimwage kontena ahahhaah..mwamba anatembea na taulo kubwa Kwa ajili ya kufutia jasho[emoji1787]

Nimecheka sn kuifananisha gari ya mwanao kuwa ngumu km fiat mbaula[emoji1787]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Honda ni gari mbovu hata hivyo sio tu ya mnada ila hata wewe ukiagiza leo hii! Sijawahi kuona Honda ambayo haina usumbufu labda ile hondaFit

Agiza honda namie niagize spacio af tuone nani atakuwa analia lia [emoji28][emoji28][emoji28] daily!
Unamaanisha hata hii Honda model hii nayo ni mbovu??
Screenshot_20210929-105029.jpg
 
Steering ni ngumu kuliko fiat mbaula[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bro wewe ni comedian sn asee

Speaking of fiat ,siku moja jamaa kaja na fiat yake kuchukua kontena ofisini kwetu ikabidi nim escort kuingia Nayo bandarini,tumefika Kona ya Malawi cargo tuingie Mofed dereva kila akikata Kona usukani mgumu balaa utafikiri anakata Kona ya meli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..me namtazama Tu anavyohangaika na sterling.Si akanichenjia bn[emoji1787][emoji1787]

"aah mwanangu unazinga bn hunioni ninavyoangaika hapa na kusababisha jam nyuma huko"
..ikabidi tushike wawili usukani ili kukata Kona[emoji1787]..Kona ulienda kukubali karibu na mtaro nusu tuimwage kontena ahahhaah..mwamba anatembea na taulo kubwa Kwa ajili ya kufutia jasho[emoji1787]

Nimecheka sn kuifananisha gari ya mwanao kuwa ngumu km fiat mbaula[emoji1787]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Baba acha ningumu sana yani usukani unapambana nao kama unavyopambana na umaskini yani😂
 
Nenda Instagram kuna page ya mtu anaitwa JACKTAN SAFARI kwa pesa yako utapata gari nzuri...utaletewa popote kwa gaharama zako.
 
Waungwana nimechoka kutembea kwa mguu, Nina ka milioni 5 nilitaka nitafute ka miguu minne nipumzike shida kutembea, ila sina uzoefu na mambo ya magari ni aina zipi za magari naweza kununua ikiwa na hali nzuri kwa hiyo bei?
Suzuki swift Oldmodel
Unapata kali sana Tena ni gari imara sana
Nimekushauri kwa nia njema...hayo mengine yoote unaweza kupata ila hutapata lenye ubora kama hili nimekushauri japo Uamuzi ni wako
 
Back
Top Bottom