Hiyo gari ukipata nijulisheWaungwana nimechoka kutembea kwa mguu, Nina ka milioni 5 nilitaka nitafute ka miguu minne nipumzike shida kutembea, ila sina uzoefu na mambo ya magari ni aina zipi za magari naweza kununua ikiwa na hali nzuri kwa hiyo bei?
Kwa nini
Gari ni bodi mkuu sio engine.Usilogwe ukanunua magari ya wahindi ,wahindi nao ni watu .....magari mengine utasikia la muhindi ....wahindi wenyewe wabahili , Gari ni Engine wala sio namba wala inamilikiwa na nani hizo ni swaga za kishamba za madalali eti utasikia "gari ya mdada iwahi" mara mwenyr muhindi " who is muhindi by the way ???
sent from HUAWEI
Honda ni nyoko Sana sitaki hata kulisikia Hilo jina mamaeee....Honda ni gari mbovu hata hivyo sio tu ya mnada ila hata wewe ukiagiza leo hii! Sijawahi kuona Honda ambayo haina usumbufu labda ile hondaFit
Agiza honda namie niagize spacio af tuone nani atakuwa analia lia [emoji28][emoji28][emoji28] daily!
Mkuu hii ishaenda? Nna laki3Iko corola limited nikupe kwa bei nzuri njoo inbox
View attachment 1966369
View attachment 1966370
View attachment 1966371
View attachment 1966372
300k inaumwa ndugu hebu kamuone Dr aiseeMkuu hii ishaenda? Nna laki3
Steering ni ngumu kuliko fiat mbaula[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bro wewe ni comedian sn aseeTatizo ni kuwa mnakurupukaga yani! Huna uzoefu wa gari tafta mtu anayezijua gari ndio uende nae kununua gari! Gari ya kitonga hakikisha ni ya Toyota na anayeiuza hio gari anashida ya hela tu sio wale ambao hana hela gari imemshinda ndio anauza huwa gari zao zinakuwaga vimeo sana!
Nina best yangu juzi kanunua Mini Cooper ya mkononi ile gari kauziwa 4.5M ila iko na vipengele vya kutosha[emoji28] yani kabla hata ya diagnosis kufanyika. Hakuomba ushauri wala nini na yeye sio mzoefu wa magari kabisa ila kwa kuwa mini cooper imekaa kibishoo yeye kaona freshi tu na vile namba ni DK.
Aliniomba nimsaidie kuiendesha toka gereji mpaka kwake maana hata leseni hana. Kilichotokea kwanza steering ni ngumu kuliko fiat mbaula [emoji28] yani kufika mtaani ilibidi niagize ugali mkubwa. Pia gari inasita sita ikiwa kwenye gear ya kwanza ila ikichanganya inatulia. Side mirror ya kushoto mbovu. Mguu wa nyuma unagonga yani gari iko na stiff suspension utafikiri haina shock absobers yani kama gari iliofungwa matairi kwenye chassis! Taa baadhi haziwaki yani na dashboard lights ya tire pressure sensor iko on, ya alama ya radi ipo on yani kwa navyojua BMW zilivyo pale ikipigwa diagnosis mkeka wake hautapungua 3M kuiweka gari sawa.
Unamaanisha hata hii Honda model hii nayo ni mbovu??Honda ni gari mbovu hata hivyo sio tu ya mnada ila hata wewe ukiagiza leo hii! Sijawahi kuona Honda ambayo haina usumbufu labda ile hondaFit
Agiza honda namie niagize spacio af tuone nani atakuwa analia lia [emoji28][emoji28][emoji28] daily!
Kweli ukiangalia Kama spacial new model hata namba B body imesimamaGari ni bodi mkuu sio engine.
Hio sijapata reviews zakeUnamaanisha hata hii Honda model hii nayo ni mbovu??View attachment 1985338
Baba acha ningumu sana yani usukani unapambana nao kama unavyopambana na umaskini yani😂Steering ni ngumu kuliko fiat mbaula[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bro wewe ni comedian sn asee
Speaking of fiat ,siku moja jamaa kaja na fiat yake kuchukua kontena ofisini kwetu ikabidi nim escort kuingia Nayo bandarini,tumefika Kona ya Malawi cargo tuingie Mofed dereva kila akikata Kona usukani mgumu balaa utafikiri anakata Kona ya meli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..me namtazama Tu anavyohangaika na sterling.Si akanichenjia bn[emoji1787][emoji1787]
"aah mwanangu unazinga bn hunioni ninavyoangaika hapa na kusababisha jam nyuma huko"
..ikabidi tushike wawili usukani ili kukata Kona[emoji1787]..Kona ulienda kukubali karibu na mtaro nusu tuimwage kontena ahahhaah..mwamba anatembea na taulo kubwa Kwa ajili ya kufutia jasho[emoji1787]
Nimecheka sn kuifananisha gari ya mwanao kuwa ngumu km fiat mbaula[emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Suzuki swift OldmodelWaungwana nimechoka kutembea kwa mguu, Nina ka milioni 5 nilitaka nitafute ka miguu minne nipumzike shida kutembea, ila sina uzoefu na mambo ya magari ni aina zipi za magari naweza kununua ikiwa na hali nzuri kwa hiyo bei?
Hivi lita moja hizo brevis zinaenda kilomita ngapiAtembelee jumapili tu..
Honda ni nzuri huko Ulaya na Marekani, siyo uilete huku..huku bongo zinazingua sanaUnamaanisha hata hii Honda model hii nayo ni mbovu??View attachment 1985338