Nina 5,000,000 tu. Naweza kununua gari ipi ikiwa na hali nzuri?

Mwache aingie huko akili ichangamke pia atakuwa na discipline
Hahahaha ataiuza kwa bei ya nyanya muda si mrefu😂 ukizingatia “Luteni” ananunua litre 4.10 kwa sasa lazma akili imkae sawa!
 
Kwahiyo Mkuu sisi wenye brevis hatuna vision?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…