Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahitajika partner kwenye kiwanda kidogo kinachotahitaji upanuzi, njoo pembeni kwa maekekezo kufika kiwandani hapa mbezi makabe kwa maongezi.Wandugu nina 65 M. Naombeni idea ya biashara asante. Nishimura dar na dodoma.
Kiwanda kimoja kimekufa njia ya Ifakara Kinaitwa udzungwa drinking water,Maji yanaonekana tokea mlimani yanashuka na gravity lakini kiwanda.kimekufa wakati afya walipo sijaona hata dalili ya mto mkubwa wa uhakika lakini kiwanda kinapeta na maji yako nchi nzima,I mean maji ya AfyaAnahitajika partner kwenye kiwanda kidogo kinachotahitaji upanuzi, njoo pembeni kwa maekekezo kufika kiwandani hapa mbezi makabe kwa maongezi.
Hizo m65 ulizipataje bro hadi usijue nini uzifanyie?Wandugu nina 65 M. Naombeni idea ya biashara asante. Nishimura dar na dodoma.
🤣🤣🤣🤣 Hizo ninkwa watu wenye million 400 kwenda juu ndio utasema ukae nyumbani ukune mbupuz na kucheza baoNunua hati fungani BOT!
UKAE HOME USIBIRIE FAIDA NA MTAJO UKIWA HAUPUNGUI.
aje kitambaa cheupe tuwekeze 😅😅🤣🤣🤣🤣 Hizo ninkwa watu wenye million 400 kwenda juu ndio utasema ukae nyumbani ukune mbupuz na kucheza bao
Biashara yoyote ya uzalishaji, lazima ujipange kwenye usambazaji, bei(agent, jumla, rejareja) na masoko (distribution, supply, marketing and pricing)Kiwanda kimoja kimekufa njia ya Ifakara Kinaitwa udzungwa drinking water,Maji yanaonekana tokea mlimani yanashuka na gravity lakini kiwanda.kimekufa wakati afya walipo sijaona hata dalili ya mto mkubwa wa uhakika lakini kiwanda kinapeta na maji yako nchi nzima,I mean maji ya Afya
Binafsi nilikuwa na maswali kama yako, juu ya watu wa aina hiyo mitandaoni. Siku moja nilikutana na mtu wa aina hii kwenye maisha halisi, nilielewa kwa nini wanafanya hivyo.Hizo m65 ulizipataje bro hadi usijue nini uzifanyie?
Unaishi wapi ili upewe ideas kulingana na eneo ulipo.
Dah Sir God anibless na mimi jamani.... Nikizipata nijisapraizi 😹Binafsi nilikuwa na maswali kama yako, juu ya watu wa aina hiyo mitandaoni. Siku moja nilikutana na mtu wa aina hii kwenye maisha halisi, nilielewa kwa nini wanafanya hivyo.
Kuna watu Mungu anawajaalia wanakutana na pesa nyingi za ghafla
1. Pesa ya urithi
2. Pesa ya mirathi
3. Pesa ya madini(dhahabu e.t.c)
4. Pesa ya fidia
5. Pesa ya pensheni
6. Biashara usioiamini kabisa inatoa pesa nyingi mno, upepo wa pesa unabless biashara
7. Pesa ya Masponsor/Mashangazi
8. Umedunduliza pesa kwa muda mrefu, bila lengo lolote
9. Pesa ya upigaji
10. Pesa ya madili haramu
11. Pesa toka kwa wazazi, hii ni kitu cha kawaida mno kwa watoto wa kishua au watoto wa watu wazito ambao hawataki watoto wao wahangaike kuzungusha bahasha za CV za kuomba kazi, ndio maana sikuhizi mitandaoni watu wanaulizia business ideas, Instagram, Twitter X, Facebook, TikTok hata JF
12. Pesa inaamua ghafla KUKUTEMBELEA
Mtu wa aina hiyo, pesa ikija lazima ahangaike kuomba ushauri nini afanyie pesa.
Mapatty ya usukuhayaa agriiaje kitambaa cheupe tuwekeze 😅😅
Umesahau kuweka dawa ya biashara Pdidy, achanganye majani ya nini na niniFuga kitimoto
Abzisha maduka ya kitimoto
Fungua sehemu za kuchoma kitimoto
Utakujaniambia usigope kuibiwa kama unaona faida