Nina 65M nifanye biashara gani?

Nina 65M nifanye biashara gani?

Wandugu nina 65 M. Naombeni idea ya biashara asante. Nishimura dar na dodoma.
Uwe makini na PM Yako

Humu kuna wezi
Wapigaji
Mademu wa kazi aka mashangazi
Wachawi
Waganga.
Wazee wa kuziombea zisiishe njoo sijui na amajiyako utasema una kisima wapo

Watakatishaji hela watakuja huko
Wabetishaji hawatokuacha
Wale wazee wetuu ukizipata zimetokeq wapi hawakwambii mkikutana utawajua2

Ndugu kila la kheri.....a.usijiachie sana sikunyingine tangaza ndogo upate mawazo.mengi
 
Evelyn fursa hioò unamuliza katoa wapi atabadili na I'd mkaishia kutoa mawazo anacheka kwa hilo swali bakwambia ningetoa na betri kwa mda loh
Mie nipe dawa ya biashara ndo nifuge hao kitimoto, na unipe na dawa ya kuwalinda make nimezungukwa na wazee wa kizaramo.
 
Chipa umenikumbusha mbali nilisoma na mwambna mmoja chipa .a.i mbagala

Jamaa akakimbilia Finland wakaungana na masela kadhaa kutafuta maisha

Dah aalivyorudi tukakutana nae bar moja gafla anawaka wacha tusalimiane kwa furaha akaita mamates kadhaa

Dah mpwa akaomba Atakuwa club flan tukutane mates...tukakutanaa aisee kula wine sana na nyana za kutosha mwamba akaaga anahamia kwingine

Mmh

Masela tukakomaa kubakia....gafla anapigiwa mate mmoja unamjua huyu mtu ndiooo amepata ajali embu njoon Maradona

Kufika

Rip Kamanda
 
P did ?? Umesemaa yooteee safii
Akikomaaaa na hizojuuu anakuwa milionea

Kuna mjamaa anajiita Bilionea wa pesa za nguruwe anagawa pesa simba kama njugu mtafute huyu akuelekeze mbinu za business ila usimfwate mamboyake yakugawa hela mwaya
Kila mtaji una mashartiyake...
 
Mkuu,Nashangaa sana watu ambao mnakuwa na Pesa lakini hamna wazo la aina ya shughuli za kufanya ili zizae zaidi?Kanuni ya Pesa ni Rahisi.Either wewe uifanyie Pesa yako Kazi au Pesa yako ikufanyie wewe Kazi.Either way hakunaga Ushauri wa Jinsi ya Kupata au kutumia Pesa Unaotolewa Bure.Ukiona Unapewa Ushauri Bure Ujue kabisa Unaenda Kupoteza Pesa.Ukiona Unaitiwa Fursa Ujue wewe Ndio Fursa.

Sasa kama wewe unauhitaji wa wazo zuri la Biashara nitafute kwa Email:masokotz@yahoo.com Ili tutengeneze namna ya kuongeza Hizo Pesa zako.Kumbuka Huduma Hii sio Bure na Ushauri wowote Utakaopewa Unaweza kuwa na RISK.Ila chochote nitakachokushauri kitakuwa ni Halali na Uhakika na Unaweza kutengeneza hadi faida ya 30% kwa mwaka.
 
Mkuu,Nashangaa sana watu ambao mnakuwa na Pesa lakini hamna wazo la aina ya shughuli za kufanya ili zizae zaidi?Kanuni ya Pesa ni Rahisi.Either wewe uifanyie Pesa yako Kazi au Pesa yako ikufanyie wewe Kazi.Either way hakunaga Ushauri wa Jinsi ya Kupata au kutumia Pesa Unaotolewa Bure.Ukiona Unapewa Ushauri Bure Ujue kabisa Unaenda Kupoteza Pesa.Ukiona Unaitiwa Fursa Ujue wewe Ndio Fursa.

Sasa kama wewe unauhitaji wa wazo zuri la Biashara nitafute kwa Email:masokotz@yahoo.com Ili tutengeneze namna ya kuongeza Hizo Pesa zako.Kumbuka Huduma Hii sio Bure na Ushauri wowote Utakaopewa Unaweza kuwa na RISK.Ila chochote nitakachokushauri kitakuwa ni Halali na Uhakika na Unaweza kutengeneza hadi faida ya 30% kwa mwaka.
Mmmmh mmmmh inbox tena
si angekuja huko
yuko hapa anataka muweke hapa hayo mawwazo na wengine wasaidike
 
Wandugu nina 65 M. Naombeni idea ya biashara asante. Nishimura dar na dodoma.
Fanya biashara ya waste.. Haina hasara hasa chuma chakavu na aluminium
Mpwaa chuma ina hela nailia resi mda si mrefu nafanya vyumba vya kupanga sehemuya store za hizi mamboo

Kuna wachina maeneo ya mwenge nawaulizia kila jamaa ninaetaka nidili nae anasema huko hatakiwi kumwonyesha mtu dah
Mpwa fanya uwezekano uwezavyo tuonane.. Imagine waste scraps ya aluminium kwasasa ni 5M+
 
Mmmmh mmmmh inbox tena
si angekuja huko
yuko hapa anataka muweke hapa hayo mawwazo na wengine wasaidike
Mkuu,kwani wewe inbox huwezi kuja?Hayo mawazo ambayo yakiwekwa hapa yatakusaidi ni yapi?Una milioni 65 wewe?Unafahamu jinsi ya kukokotoa Future Value ya Milioni 65 kwa kutumia GDP Rate,au Interest Rate ya BOT au Standard Industrial Rate of Return au IRR?Unafikiri kukaa na mtu na kujadiliana nae pamoja na kumpa Taarifa zitakazomasaidia kutengeneza Faida ni kushinda ni Jambo la kuweka JF?

Jitahidi basi Unicheck PM as long as una Milioni 65 Pia ili na wewe unufaike na Utaalamu wetu
 
Mkuu,kwani wewe inbox huwezi kuja?Hayo mawazo ambayo yakiwekwa hapa yatakusaidi ni yapi?Una milioni 65 wewe?Unafahamu jinsi ya kukokotoa Future Value ya Milioni 65 kwa kutumia GDP Rate,au Interest Rate ya BOT au Standard Industrial Rate of Return au IRR?Unafikiri kukaa na mtu na kujadiliana nae pamoja na kumpa Taarifa zitakazomasaidia kutengeneza Faida ni kushinda ni Jambo la kuweka JF?

Jitahidi basi Unicheck PM as long as una Milioni 65 Pia ili na wewe unufaike na Utaalamu wetu
Ngoja tanroads wakikaaribia kujenga barabara moja ntakuchk mpwa wanapita na sisi
else tuwaondoe wazazi tuuze zilenyumba zao hii ngumu kidogo
Ahsante kwa wazo jema nataman hili la tanroads liwahi mapema unakitu cha msaada
 
Back
Top Bottom