Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Uwe makini na PM YakoWandugu nina 65 M. Naombeni idea ya biashara asante. Nishimura dar na dodoma.
Humu kuna wezi
Wapigaji
Mademu wa kazi aka mashangazi
Wachawi
Waganga.
Wazee wa kuziombea zisiishe njoo sijui na amajiyako utasema una kisima wapo
Watakatishaji hela watakuja huko
Wabetishaji hawatokuacha
Wale wazee wetuu ukizipata zimetokeq wapi hawakwambii mkikutana utawajua2
Ndugu kila la kheri.....a.usijiachie sana sikunyingine tangaza ndogo upate mawazo.mengi