Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa usalama wa pesa zake, afunge tu dm kwa kweli, la si hivyo ataliaKataa DM goma kabisa Uko DM. Ucende.
All the best
Chuma chakavu bei ya kuuzia kiwandani ni 1m kwa taniKaka biashara gani. Idadavue tafadhali
Mizigo ipo ya kutosha sana hata hapa JF ukiweka Tangazo unapataMchongo umekaa poa huu sema namna ya kupata mzigo sasa
Huu mchongopesa tunafanyaje sasaChuma chakavu bei ya kuuzia kiwandani ni 1m kwa tani
Mabaki ya aluminium bei ya kuuzia kiwandani ni 5M kwa tani
Battery mbovu za magari bei ya kuuzia kiwandani ni 2.7M
Tairi mbovu bei ya kuuzia kiwandani ni 150K kwa tani
Bado kuna copper brass chuma dongo nknk Na ukiwa na mzigo haulali unagombewa
Mizigo ipo ya kutosha sana hata hapa JF ukiweka Tangazo unapata
NiniHapo mwisho hujaeleweka mdau.
Msapoti chura kiziwi kwenye harakati zake,, akifanikiwa kuwa malkia atakulambisha anachouza miss b wa twitterWandugu nina 65 M. Naombeni idea ya biashara asante. Ninaishi dar na dodoma muda mwingi.
Je kwa mtu ambae hana mtaji kama huu. Anaweza kuanza na mtaji kama kiasi gani? AsanteFuga nguruwe mkuu hio million 65 n mtaj wakunenepesha nguruwe 650,, TAFUTA HELA YA KUNUNUA NGURUWE 65 majike yenye mimba na kila jike lisipungue chuchu 10,, ktk unenepeshaji wa hao 650 n zoezi la miez 4 unenepeshaji,, miez 3 mimba na miez 4 niku wanenepesha,,, mkuu hakuna atakaye kuwa chin ya uzito wa 55 kwa breed ntakayo kushauri tuchukue chek profile lang hapo hio breed n konkiii,, mm huk nakoish hesabu ya jumla bei ya soseji kiwandan TUNAUZA SH 7500,, hesabu yet sasa 7500×55kg=412500 hapa n kwa 1 sasa twende kwenye uwekezaji wetu 412500×650=268125000 mkuu upo serious ntafute nikupe location NGURUWE UHAKIKA
EehChuma chakavu bei ya kuuzia kiwandani ni 1m kwa tani
Mabaki ya aluminium bei ya kuuzia kiwandani ni 5M kwa tani
Battery mbovu za magari bei ya kuuzia kiwandani ni 2.7M
Tairi mbovu bei ya kuuzia kiwandani ni 150K kwa tani
Bado kuna copper brass chuma dongo nknk Na ukiwa na mzigo haulali unagombewa
Mizigo ipo ya kutosha sana hata hapa JF ukiweka Tangazo unapata
Mkuu nichek imbooo tutaongea mengJe kwa mtu ambae hana mtaji kama huu. Anaweza kuanza na mtaji kama kiasi gani? Asante
Au anunue Vipande vya UTTNunua hati fungani BOT!
UKAE HOME USIBIRIE FAIDA NA MTAJI UKIWA HAUPUNGUI.
Leteni ideaAnahitajika partner kwenye kiwanda kidogo kinachotahitaji upanuzi, njoo pembeni kwa maekekezo kufika kiwandani hapa mbezi makabe kwa maongezi.