Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Say tunedUnipe zile dawa zako za kuchanganya changanya majani....afu unasemaga baadae tutakushukuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Say tunedUnipe zile dawa zako za kuchanganya changanya majani....afu unasemaga baadae tutakushukuru.
Umaanisha BOND zina RIR kubwa kwa mil 65 mpaka mtu ale pesa "WHILE SLEEPING""Nunua hati fungani BOT!
UKAE HOME USIBIRIE FAIDA NA MTAJO UKIWA HAUPUNGUI.
Huyu Mungu kwanini asitupe na wengine??Binafsi nilikuwa na maswali kama yako, juu ya watu wa aina hiyo mitandaoni. Siku moja nilikutana na mtu wa aina hii kwenye maisha halisi, nilielewa kwa nini wanafanya hivyo.
Kuna watu Mungu anawajaalia wanakutana na pesa nyingi za ghafla
1. Pesa ya urithi
2. Pesa ya mirathi
3. Pesa ya madini(dhahabu e.t.c)
4. Pesa ya fidia
5. Pesa ya pensheni
6. Biashara usioiamini kabisa inatoa pesa nyingi mno, upepo wa pesa unabless biashara
7. Pesa ya Masponsor/Mashangazi
8. Umedunduliza pesa kwa muda mrefu, bila lengo lolote
9. Pesa ya upigaji
10. Pesa ya madili haramu
11. Pesa toka kwa wazazi, hii ni kitu cha kawaida mno kwa watoto wa kishua au watoto wa watu wazito ambao hawataki watoto wao wahangaike kuzungusha bahasha za CV za kuomba kazi, ndio maana sikuhizi mitandaoni watu wanaulizia business ideas, Instagram, Twitter X, Facebook, TikTok hata JF
12. Pesa inaamua ghafla KUKUTEMBELEA
Mtu wa aina hiyo, pesa ikija lazima ahangaike kuomba ushauri nini afanyie pesa.
swali zuri... Uweze ku'make mil60 halafu usijue uzifanyie nin. Labda fisadi huyo ama msitaafu ama kaokota fuko la hela kichakani sasa anaweweseka hajui afanye ninHizo m65 ulizipataje bro hadi usijue nini uzifanyie?
Unaishi wapi ili upewe ideas kulingana na eneo ulipo.
Sio rahisi kama unavyouelezea, hati fungate inataka uwekeze hela nyingi na angalau umri uwe umesogea ili uweze kuitegemea.Nunua hati fungani BOT!
UKAE HOME USIBIRIE FAIDA NA MTAJO UKIWA HAUPUNGUI.
Anashimura dar na dodoma😂Hapo mwisho hujaeleweka mdau.
Kiwanda kimoja kimekufa njia ya Ifakara Kinaitwa udzungwa drinking water,Maji yanaonekana tokea mlimani yanashuka na gravity lakini kiwanda.kimekufa wakati afya walipo sijaona hata dalili ya mto mkubwa wa uhakika lakini kiwanda kinapeta na maji yako nchi nzima,I mean maji ya Afya
Kaka biashara gani. Idadavue tafadhaliFanya biashara ya waste.. Haina hasara hasa chuma chakavu na aluminium
Bond ni asilimie 12 kwa mwaka.. sasa kwa 65M ni 7.8 M hiyo biashara kichaa.Umaanisha BOND zina RIR kubwa kwa mil 65 mpaka mtu ale pesa "WHILE SLEEPING""
Mafiiiiiiiiii
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Chuma chakavu bei ya kuuzia kiwandani ni 1m kwa taniKaka biashara gani. Idadavue tafadhali
Siku akitaka, ATAKUPAHuyu Mungu kwanini asitupe na wengine??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
🤣 ukizipata, utatunyanyasaDah Sir God anibless na mimi jamani.... Nikizipata nijisapraizi 😹
Mtanijua mi ni nani 😹🤣 ukizipata, utatunyanyasa
Mchongo umekaa poa huu sema namna ya kupata mzigo sasaChuma chakavu bei ya kuuzia kiwandani ni 1m kwa tani
Mabaki ya aluminium bei ya kuuzia kiwandani ni 5M kwa tani
Battery mbovu za magari bei ya kuuzia kiwandani ni 2.7M
Tairi mbovu bei ya kuuzia kiwandani ni 150K kwa tani
Bado kuna copper brass chuma dongo nknk Na ukiwa na mzigo haulali unagombewa
Biashara kichaa kwanini na risk ya mtaji kupotea ni below 5%. Yaani upokee faida ya zaidi ya laki tano kila mwezi na uhakika wa kutopoteza mtaji halafu iwe biashara kichaa?Bond ni asilimie 12 kwa mwaka.. sasa kwa 65M ni 7.8 M hiyo biashara kichaa.
Madafu kaka. TshMtego ni kwamba, hajasema 65M ni pesa ya nchi gani,
Likijibiwa hili swal nitag ubavuMchongo umekaa poa huu sema namna ya kupata mzigo sasa