Walt white
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 258
- 670
- Thread starter
-
- #21
Mkuu hili jina lilikuja tu wakati nafungua id hii kwani id yangu ya mwanzo nilifungua mda wakati nipo shule ina jina majina yangu mawili halisi inakuwa rahisi mtu kunifahamu. Sasa ikawa kila nikiotea jina bandia likakataa mwisho nikabahatisha hili ndo likakubali. Kwangu halina maana yoyote mkuuHilo jina nipe yote lina maana gani?
Sahihi sana mkuu, pole pia changamoto ni nyingimimi nina tatizo kama la mtoa post icho kifaa hakisaidii kwani tatizo lake sio masikio bali ni kichwa ukimuongelesha anakisikia ila haluelewi kama tunavyojua sauti hutoka kwa mfumo wa mawimbi na kazi ya ubongo ni kuyachakata mawimbi kuwa kitu kinachoeleweka ila ufanisi wetu ni hafifu mfano mtu anakuita jumaa unamgeukia alafu anakuambia mama kasema fusgajsjksjbska hapo kwenye fusgajsjksjbska ndio kimbembe lazima umuombe arudie na anaweza kurudia na bado ikawa changamoto kingine bila kumuangalia usoni mdomoni huelewi asemacho hata ukiongea kwa sauti nyuma yale haelewi ila anasikia unaongea.
asante mkuu mm nimepoteza fursa nyingi tu kwa sababu ya tatizo langu ila namshukuru mungu napambana na nilichopata binafsi nimeamua kama mbwai iwe mbwai tutajua mbele kwa mbele kazi kazi no unyonge ni mwendo wa kupretend tu.Sahihi sana mkuu, pole pia changamoto ni nyingi
Haina noma mkuu nikajua lina maanaMkuu hili jina lilikuja tu wakati nafungua id hii kwani id yangu ya mwanzo nilifungua mda wakati nipo shule ina jina majina yangu mawili halisi inakuwa rahisi mtu kunifahamu. Sasa ikawa kila nikiotea jina bandia likakataa mwisho nikabahatisha hili ndo likakubali. Kwangu halina maana yoyote mkuu
Yah viko viwili hivyoVipo hivyo viwili tu?
Sawa mkuu naomba nikuhakikishie nitakufanyia vyema tuwasiliane nijue upo wapi na mengine, sms 0788362088Yah viko viwili hivyo
Nilinunua kitambaa nkampa kazi fundi kafanya hovyo so nataka kuchange kitambaa kingine
Gharama ya ufundi ni lazma uje kuyakagua au kwa kuyaangalia tu unajua?Sawa mkuu naomba nikuhakikishie nitakufanyia vyema tuwasiliane nijue upo wapi na mengine, sms 0788362088
Si ununue kifaa cha kukusaidia kukusikia earing aid...hata cha kichina tuHabari zenu wakuu,
Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri.
Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa katika ofisi za ndugu zangu ambapo mpaka sasa nilipofika nina ujuzi wa kutosha kutengeza sofa na vitanda vya sofa.
Changamoto ni kwamba hapa nilipo nakosa kazi zangu binafsi kutokana na hali yangu niliyonayo naishia mara moja moja kufanya kazi za mafundi wenzangu kwa malipo kiduchu ambayo kiukweli yanashindwa kunitoa hapa nilipo kwani bado nakaa nyumbani kwa ndungu zangu.
Naandika uzi huu kuwaomba wana jamiiforums wenye uwezo kunisaidia kupata kazi iwe kama hii niliyo na ujuzi nayo ama yoyote nipo tayari kwani nahitaji nijikwamue nijitegemee na mimi.
Mawasiliano yangu 0788362088 itapendeza ukinitumia sms maana hatutoweza kusikilizana vizuri kwa simu, nipo Dar.
Ila samahani kidogo hii ishu imekuwa serious sana .Nyuzi kibao zimerindima kuhusu huu ulemavu wa kupoteza kusikia sijui tatizo ni nn!?mimi nina tatizo kama la mtoa post icho kifaa hakisaidii kwani tatizo lake sio masikio bali ni kichwa ukimuongelesha anakisikia ila haluelewi kama tunavyojua sauti hutoka kwa mfumo wa mawimbi na kazi ya ubongo ni kuyachakata mawimbi kuwa kitu kinachoeleweka ila ufanisi wetu ni hafifu mfano mtu anakuita jumaa unamgeukia alafu anakuambia mama kasema fusgajsjksjbska hapo kwenye fusgajsjksjbska ndio kimbembe lazima umuombe arudie na anaweza kurudia na bado ikawa changamoto kingine bila kumuangalia usoni mdomoni huelewi asemacho hata ukiongea kwa sauti nyuma yale haelewi ila anasikia unaongea.
Fundi uliyempa ndie ameweka kitambaa hicho au hicho ni original yake? Kama ndio hivyo yalivyo sasa inatosha kwa picha. Kiti kimoja kubadilisha kitambaa na vifaa unavyo ni 50000 kwahiyo ni laki moja kwa hivyo viti viwiliGharama ya ufundi ni lazma uje kuyakagua au kwa kuyaangalia tu unajua?
Mkuu asante kwa ushauri, swali kama hili nilishajibu 👇Si ununue kifaa cha kukusaidia kukusikia earing aid...hata cha kichina tu
Pia na hii👇Asante mkuu, vile vifaa vinaitwa hearing aid nimeshatumia hasa wakati nipo shule, bahati mbaya havijawahi kunisaidia wala sidhani kama vimeshamsaidia mtu mwenye tatizo kama langu kwani kazi yake ni kuongeza tu sauti
mimi nina tatizo kama la mtoa post icho kifaa hakisaidii kwani tatizo lake sio masikio bali ni kichwa ukimuongelesha anakisikia ila haluelewi kama tunavyojua sauti hutoka kwa mfumo wa mawimbi na kazi ya ubongo ni kuyachakata mawimbi kuwa kitu kinachoeleweka ila ufanisi wetu ni hafifu mfano mtu anakuita jumaa unamgeukia alafu anakuambia mama kasema fusgajsjksjbska hapo kwenye fusgajsjksjbska ndio kimbembe lazima umuombe arudie na anaweza kurudia na bado ikawa changamoto kingine bila kumuangalia usoni mdomoni huelewi asemacho hata ukiongea kwa sauti nyuma yale haelewi ila anasikia unaongea.
Ni kweli tatizo sio la kuzaliwa binafsi limenianza nikiwa shule ya msingi sikumbuki ni mwaka gani na kadri siku zinavyokwenda ndo linazidi kuongezeka kwani uwezo wangu wa kusikia sasa sio kama wa miaka miwili au mitatu nyuma, na hospitali zetu kila nikienda solution yao ni hiyo hearing aidIla samahani kidogo hii ishu imekuwa serious sana .Nyuzi kibao zimerindima kuhusu huu ulemavu wa kupoteza kusikia sijui tatizo ni nn!?
Wengi hawakuzaliwa na tatizo hilo , changamoto mbalimbali wanapata katika kuendea fursa mbalimbali .
Cc Mheshimiwa Dkt. Gwajima D
Pole sana mkuu, usikate tamaa mimi ni mwenzako pia, japo sijui kiwango chako cha usikivu.Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri.
Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa katika ofisi za ndugu zangu ambapo mpaka sasa nilipofika nina ujuzi wa kutosha kutengeza sofa na vitanda vya sofa.
Changamoto ni kwamba hapa nilipo nakosa kazi zangu binafsi kutokana na hali yangu niliyonayo naishia mara moja moja kufanya kazi za mafundi wenzangu kwa malipo kiduchu ambayo kiukweli yanashindwa kunitoa hapa nilipo kwani bado nakaa nyumbani kwa ndungu zangu.
Naandika uzi huu kuwaomba wana jamiiforums wenye uwezo kunisaidia kupata kazi iwe kama hii niliyo na ujuzi nayo ama yoyote nipo tayari kwani nahitaji nijikwamue nijitegemee na mimi.
Mawasiliano yangu 0788362088 itapendeza ukinitumia sms maana hatutoweza kusikilizana vizuri kwa simu, nipo Dar.
Vile vifaa havisaidii, na vikisaidia msaada wake mi mdogo sana.nimesikitika. tuliwahi kumuajiri mdada wa kazi ana hiyo hali. tulimvumilia na kuishi naye kwa upendo mwingi.
bahati mbaya sana nchi uliyopo ndio mtihani zaidi. ila nadhani kuna vifaa vile huwa mnawekewa kwa lengo la kuongeza usikivu. umewahi kufuatilia hilo?
binafsi sijazaliwa nalo na lilianza baada ya kumaliza darasa la 7Ila samahani kidogo hii ishu imekuwa serious sana .Nyuzi kibao zimerindima kuhusu huu ulemavu wa kupoteza kusikia sijui tatizo ni nn!?
Wengi hawakuzaliwa na tatizo hilo , changamoto mbalimbali wanapata katika kuendea fursa mbalimbali .
Cc Mheshimiwa Dkt. Gwajima D
Asante sana, binafsi nahitaji sana kitu kama hicho ila namna ya kumpata mtu awekeze kwako nayo mtihaniKuwa strong na Hali iyo Ni maisha yetu wanadamu,hapa duaniani tunapita tu.
Ila nilivyokuona ujuzi wako nikawaza kuwa mtu anaweza akafungua ofisi wewe ukawa fundi mkuu. Mnaelewana malipo mnalipanaje kwa kila kazi inavyopatiakana
Sema saivi mfuko hauko vizuri mie nimekuwazia ivyo
Shukran Sana mkuuPole Sana .
Naimani MUNGU atakuvusha katika hii changamoto nothing impossible. Keep GOD first.