Nina changamoto ya usikivu hafifu. Natafuta kazi; ikiwa ya kutengeza sofa itanifaa zaidi

Pole sana Ndugu, Nina TATIZO kama lako, nimedumu nalo Kwa takribani miaka 5, kiukweli ni changamoto Sana Kwani Kuna baadh ya FURSA zinakupita unaziona kabisa kisa tatizo la Usikivu, Kikubwa usikate tamaa MUNGU Yupo Anasikia kilio chako, kuhusu vifaa hivyo huwa wanatoa Bure ila havisaidii Nami nimevijaribu ila havisaidii zaidi ya kuongeza tatizo.
 
Mimi nimechukua namba. If anything happens ntakuchek. Je unaweza jiajiri kama ukipewa mtaji? Hapa naongelea kukadiria gharama za mwanzo pamoja na location
 
Hilo jina nipe yote lina maana gani?
Mkuu nimecheka kwa sauti usiku huu kwa hili swali lako. Ila kuna mdau aliongea point moja kubwa sana, kuwa kama wahitaji msaada basi muhusika ajaribu kutumia majina yenye heshima
 
Nimekuelewa sana mkuu, pole sana. Ni changamoto tu zitakwisha
 
Sijajua kwingine Ila Kwa Baadhi ya maeneo niliyofika dar naona inaongoza Kwa changamoto Hii hasa Kwa vijana hasa hawa wanao bet.
Wanao bet online kwenye mikeka au wale wa bonanza na kale ka mlio kao ka kikikikikikikikikiki kikikikikikiki mpaka 50k,lazima masikio yadanji
 
Mkuu, mbona TV ipo nyuma ya sofa una Nia gani na wageni wako?

Just asking tu πŸ˜…
Anataka mgeni awe anageuka upande upande kuangalia tv πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi nimechukua namba. If anything happens ntakuchek. Je unaweza jiajiri kama ukipewa mtaji? Hapa naongelea kukadiria gharama za mwanzo pamoja na location
Nashukuru mkuu, naweza kama nitapata mtaji, naweza kukadiria ghrama na kutafuta location nzuri kwa ajili ya biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…