Nina GPA kubwa 4.1 ya Rasilimali watu(HR) ila kazi sipati

Nina GPA kubwa 4.1 ya Rasilimali watu(HR) ila kazi sipati

loviey

New Member
Joined
Sep 27, 2024
Posts
2
Reaction score
25
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
Ondoa wazo lako kwamba GPA ndio inaleta kazi. Kwenye modern soko la ajira kupata kazi ni zaidi ya GPA, jiongeze
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
Kazi hazitafutwi mkuu kazi mtu anapewa siku hizi...

Pole sana kwa changamoto
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
Mkuuu polee sanaa mkuuu

Pili sasa ivi watu hawapati kazi kwasababu tuu ya GPA
Of course inasaidia lkn not that extent.
Ushauri wangu tafuta mahala.ujitoleee

Pili ulifanya kosa kufanya internship yako Serikalini.
The best place for intern ni Private sector

Kama Huna connection za kazi za serikalini.
Now tafuta magali ujitoleee and being hard working person and also do not choose waither is from career or not.

Kama unataka kufika mbali

Ahsante
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
Haya unayopitia baadae ukija kupata kazi, ukitumiwa msg na waomba kazi hujibu. Ukipigiwa hupokei.

Yaani nyie watu.
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
GPA si kigezo cha kupata kazi halafu 4.1 na 3.5 zote si ni upper second class?
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
Dada Bwana Yesu atakufanyia wepesi usikate tamaa.
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
Nani alikwambia kazi zinatolewa kwa kuangalia GPA?
 
Back
Top Bottom