Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu,
kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.
Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.

Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.

Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.

Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.

Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.

Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....

Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele....

Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu...
Mzee wa miande umenasa kwa mtoto wa kitanga mwenye lahaja ya kitang'ata 😂
 
Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu,
kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.
Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.

Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.

Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.

Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.

Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.

Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....

Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele....

Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu...
Hapa akikukataa na alaaniwe kama alivyolaaniwa KAINI,
 
Al-Jumaa Kareem.
FB_IMG_16988727968084462.jpg
 
Hapa akikukataa na alaaniwe kama alivyolaaniwa KAINI,
Muhimu zaidi ni Kumshukuru Mungu kwa yote.
Kukubaliwa ni Baraka, kukataliwa ni Baraka pia, Mungu ajua maana ya yote na anatupenda sana sote.

Asanti sana mpendwa Azarel kunitakia na kuniombea kibali kwa Mungu, kukubaliwa na Lamomy bila tashwishwi yeyote...
Barikiwa sana..
 
Komaa mkuu, mm nmeambiwa account ikisoma 100+m nintafte. Antonnia ... Napenda sana ila ndo nimeanza kutafuta vibarua kupata hiyo hela 🥴
Nakuombea sana Sir Midabwada Mungu akujalie bidii, ari mpya, nguvu zaidi na kasi zaidi. Usikate tamaa hata kidogo lipo taji na tunzo furaha kutoka kwa Mungu katika kazi zako njema....

Kwa Mungu, Yote yanawezekana....
 
Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu, kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.

Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.

Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.

Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.

Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.

Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.

Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....

Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele.

Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
we jamaa hatari sana umepita engle zote za kutongoza na hasa umemmbania ktk dini Hongera sana ,nauhakika utafanikuwa[emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom