Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa miande umenasa kwa mtoto wa kitanga mwenye lahaja ya kitang'ata 😂Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu,
kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.
Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.
Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.
Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.
Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.
Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....
Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele....
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu...
Hapa akikukataa na alaaniwe kama alivyolaaniwa KAINI,Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu,
kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.
Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.
Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.
Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.
Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.
Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....
Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele....
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu...
Komaa mkuu, mm nmeambiwa account ikisoma 100+m nintafte. Antonnia ... Napenda sana ila ndo nimeanza kutafuta vibarua kupata hiyo hela 🥴hiyo sina hakika ila ni katika Roho na Kweli ya Mungu...
We zombie haujui aah ganda la maganda dangoteAl-Jumaa Kareem.
View attachment 2816324
Muhimu zaidi ni Kumshukuru Mungu kwa yote.Hapa akikukataa na alaaniwe kama alivyolaaniwa KAINI,
Nakuombea sana Sir Midabwada Mungu akujalie bidii, ari mpya, nguvu zaidi na kasi zaidi. Usikate tamaa hata kidogo lipo taji na tunzo furaha kutoka kwa Mungu katika kazi zako njema....Komaa mkuu, mm nmeambiwa account ikisoma 100+m nintafte. Antonnia ... Napenda sana ila ndo nimeanza kutafuta vibarua kupata hiyo hela 🥴
NakubaliiiYes,
Ni katika Roho na Kweli
Muhasibu wa kamatii nipo winja winja, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuanze vikao vya send off
we jamaa hatari sana umepita engle zote za kutongoza na hasa umemmbania ktk dini Hongera sana ,nauhakika utafanikuwa[emoji848][emoji848]Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu, kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.
Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.
Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.
Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.
Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.
Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....
Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele.
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
ujumbe wako umenipa furaha na tabasamu refuuuu kwa muda.....we jamaa hatari sana umepita engle zote za kutongoza na hasa umemmbania ktk dini Hongera sana ,nauhakika utafanikuwa[emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23] poaa kwemaa.mpenzi wangu laaziz mambo