Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaJF ndio sehemu yenye watu wanaoongoza kwa ugwaduu
Na msongo wa mawazo
😂😂😂 Kenzy acha hizo naanzaje kujitongoza jamani!!! Sema wewe toka yule jamaa akupige kisa kutaka kulipiza karma bado hauko sawaUkute li id limoja linajitongoza!
Anyway mkawe na mapenzi ya dhati yasiyo na tashtwitwi na mapigano bali hamuhamu na ushawishi..
Baba mtumishi achana na Kenzy ni kijana mtukutu anahitaji maombi 😂asubuh ya leo nimeskiza wimbo wa ndoa wa baraka sana, kwa wenye ndoa na wachumba wanaowaelekea kwenye ndoa....
Baadhi ya maneno ya Baraka katika wimbo huo yanasema.....
Nanukuu...
"Mke si kidude cha kujaribu miguu yako,
Mume si kipaza sauti cha kupigia kelele,
Mpendane, msichokozane Amani ya Bwana iwe ndani yenu"
Mwisho wa kunukuu.
Nimebarikiwa sana
Barikiwa sana mpendwa KENZY
😂😂😂 Yamekuwa hayoSema madem wa jf nawaheshimu Sana kwa trick Kali za kujitongoza ili kuboost status zenu za mapenzi!! 🤭🏃🏃
😂😂😂 wewe tena mpwa wa anko mabakuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kwelii.
😂😂😂😂 Ni bora kutema nyongo kuliko kuugulia moyoni inaweza kusababisha kifoJF ndio sehemu yenye watu wanaoongoza kwa ugwaduu
Na msongo wa mawazo
😂😂😂😂Baba mtumishi na mama mtumishi
Wewe utakuwa matron? 😂😂😂Tuanze vikao vya send off
😂😂😂 Sir midabwada nani alikwambia me wa Tanga?Mzee wa miande umenasa kwa mtoto wa kitanga mwenye lahaja ya kitang'ata 😂
😂😂😂😂 Shindwaaaa Israel mtoa roho weHapa akikukataa na alaaniwe kama alivyolaaniwa KAINI,
Umeniita huku nikajua sijui nn asee. Hawa wengine uwe unawapotezea tu, wanakupotezea muda tu[emoji23][emoji23][emoji23] Kumekucha
Hivi makamanda wenzangu mbona hamnipendi? Au ndio mko busy na kuipambania katiba mpya?
Kila siku mimi napendwa na vijana wa Mama Kizimkazi!!! Why? Makamanda mnaniangusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CCM wananibeba hivyo ooh!!!
Kwako baba mtumishi Tlaatlaah
Nashukuru kwa kunipenda ingawa sijui umenipenda na umevutiwa na kitu gani na mimi? Sio kesi hata mimi NAKUPENDA km Yesu alivyolipenda kanisa. UPENDO WA AGAPE
Mahusiano na ndoa ni jambo jema, hata vitabu vya Mungu vinatuasa mtu mume na mtu mke waungane wawe mwili mmoja ili waijaze dunia. Ndiomana hata Mungu alivyomuumba Adam hakuona sahihi akamletea msaidizi ambaye ni Hawa ( Ambao ndio sisi kina Lamomy)
Ahsante kwa upendo na mapenzi yako makubwa uliyoonyesha kwangu.
Najua mpaka kuamua kuja na uzi km huu ulichukua muda mrefu kujipanga na kujiandaa hukukurupuka!!! Kuna kitu kilikusukuma moyoni mwako. [emoji120]
Sasa baba mtumishi pamoja na yote hayo mwenzio mimi mpenzi wa mtu na mpenzi wangu yupo humu humu tena mwana CCM mwenzio. Nampenda kuliko maelezo.
Sina haja ya kumficha anaitwa Countrywide mwenyewe nimezoea kumuita Kantry nampenda chugga man wangu. Samahani kwa kusema haya.
Mwisho nikuombe usikate tamaa kutafuta yule ambaye atakuwa chaguo lako na utakayempenda kwa dhati ya moyo.
Nasikia uchungu kukujibu hivi lakini ndio hivyo siwezi kumuacha nimpendaye kwaajiri ya kumfurahisha mtu mwingine.
Damu ya Yesu ikulinde baba mtumishi.
Aimen [emoji120]