Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na heshima na Imaani za watu. Usilete maskhara na Dini za watu.Al-Jumaa Kareem.
View attachment 2816324
Jishaue πππHaipingwiii ba harusi mtarajiwa.
Jambo la KHERI Uchumba wenu ukazaa ndoa mkaishi kwa AMANI na UPENDO kama mlivyoelekezwa kwenye Mafundisho ya Dini yenu.Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu, kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.
Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.
Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.
Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.
Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.
Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....
Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele.
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Wanakudanganya tu hao mashemeji zako wanataka kukuchuna mtumishi niaminiπ€£π€£π€£π€£Huyo kaolewa huyoChap kwa haraka sana,
ili utukufu na Baraka za Mungu zikatamalaki siku ya Ndoa na kwenye ndoa yenyewe...
πππ Mwenyewe Mama Kantry ila jimbo lina mkantrywizzy mwenyeweOhoooooohπ―..
Mama kantirii kantiriii au jimbo liko wazi?
Bahati mbaya Nina mtu tayariwe jamaa hatari sana umepita engle zote za kutongoza na hasa umemmbania ktk dini Hongera sana ,nauhakika utafanikuwa[emoji848][emoji848]
Ila Wanawake Eeeeht nasikia uchungu kukujibu hivi?[emoji23][emoji23][emoji23] Kumekucha
Hivi makamanda wenzangu mbona hamnipendi? Au ndio mko busy na kuipambania katiba mpya?
Kila siku mimi napendwa na vijana wa Mama Kizimkazi!!! Why? Makamanda mnaniangusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CCM wananibeba hivyo ooh!!!
Kwako baba mtumishi Tlaatlaah
Nashukuru kwa kunipenda ingawa sijui umenipenda na umevutiwa na kitu gani na mimi? Sio kesi hata mimi NAKUPENDA km Yesu alivyolipenda kanisa. UPENDO WA AGAPE
Mahusiano na ndoa ni jambo jema, hata vitabu vya Mungu vinatuasa mtu mume na mtu mke waungane wawe mwili mmoja ili waijaze dunia. Ndiomana hata Mungu alivyomuumba Adam hakuona sahihi akamletea msaidizi ambaye ni Hawa ( Ambao ndio sisi kina Lamomy)
Ahsante kwa upendo na mapenzi yako makubwa uliyoonyesha kwangu.
Najua mpaka kuamua kuja na uzi km huu ulichukua muda mrefu kujipanga na kujiandaa hukukurupuka!!! Kuna kitu kilikusukuma moyoni mwako. [emoji120]
Sasa baba mtumishi pamoja na yote hayo mwenzio mimi mpenzi wa mtu na mpenzi wangu yupo humu humu tena mwana CCM mwenzio. Nampenda kuliko maelezo.
Sina haja ya kumficha anaitwa Countrywide mwenyewe nimezoea kumuita Kantry nampenda chugga man wangu. Samahani kwa kusema haya.
Mwisho nikuombe usikate tamaa kutafuta yule ambaye atakuwa chaguo lako na utakayempenda kwa dhati ya moyo.
Nasikia uchungu kukujibu hivi lakini ndio hivyo siwezi kumuacha nimpendaye kwaajiri ya kumfurahisha mtu mwingine.
Damu ya Yesu ikulinde baba mtumishi.
Aimen [emoji120]
Coca mbona unajizima data πππAamiiiiin!!
Watumishi wa Mungu hatujibu km nyie wa mataifa πIla Wanawake Eeeeht nasikia uchungu kukujibu hivi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati kajibu mtext mrefu hatari hivi unajua text za uchungu zilivyo. Km ulikuwa na Nia ya kumkataa ungeandika lines 2 tu kwisha hbr ss maneno kibao uwenda ilikuwa ushatengeneza matumaini ya Jibu zuri moyoni kwake.?
Tengua kauli! Sio Jf yote!... Sema HUU uzi!!JF ndio sehemu yenye watu wanaoongoza kwa ugwaduu
Na msongo wa mawazo
Ni dume hilo πππNamshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu, kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.
Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.
Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.
Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.
Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.
Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....
Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele.
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
πππππππHapo ukishapiga hata roho mtakatifu humkumbuki tena
Sawa wewe mwanamke mkubalie uolewe πππNi dume hilo πππ
Tunaomba melo aweke relationship status(uko kwa relationship,taken etc)πππ Mwenyewe Mama Kantry ila jimbo lina mkantrywizzy mwenyewe