Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Watumishi wa Mungu hatujibu km nyie wa mataifa [emoji23]
Dada nitake radhii Mimi ni Miongoni mwa Vijana wachache tuliochukua dhamira ya kuieneza Injiri kutoka mioyoni mwetu mpk Kwa wenzetu. Tafuta watu wa kuwaita wa mataifa .?


Mfano Kdg tu hata Yudah Eskalliot alipotaka kumuuza Yesu hakutumia maneno kabsa alienda na kumbusu hbr ikaishia. Hivyo ndy Wana wa Mungu tulivyo Jibu baya alitakiwi kulembwa?
 
😂😂😂 Kumekucha

Hivi makamanda wenzangu mbona hamnipendi? Au ndio mko busy na kuipambania katiba mpya?
Kila siku mimi napendwa na vijana wa Mama Kizimkazi!!! Why? Makamanda mnaniangusha 😂😂😂😂
CCM wananibeba hivyo ooh!!!

Kwako baba mtumishi Tlaatlaah
Nashukuru kwa kunipenda ingawa sijui umenipenda na umevutiwa na kitu gani na mimi? Sio kesi hata mimi NAKUPENDA km Yesu alivyolipenda kanisa. UPENDO WA AGAPE
Mahusiano na ndoa ni jambo jema, hata vitabu vya Mungu vinatuasa mtu mume na mtu mke waungane wawe mwili mmoja ili waijaze dunia. Ndiomana hata Mungu alivyomuumba Adam hakuona sahihi akamletea msaidizi ambaye ni Hawa ( Ambao ndio sisi kina Lamomy)
Ahsante kwa upendo na mapenzi yako makubwa uliyoonyesha kwangu.
Najua mpaka kuamua kuja na uzi km huu ulichukua muda mrefu kujipanga na kujiandaa hukukurupuka!!! Kuna kitu kilikusukuma moyoni mwako. 🙏

Sasa baba mtumishi pamoja na yote hayo mwenzio mimi mpenzi wa mtu na mpenzi wangu yupo humu humu tena mwana CCM mwenzio. Nampenda kuliko maelezo.
Sina haja ya kumficha anaitwa Countrywide mwenyewe nimezoea kumuita Kantry nampenda chugga man wangu. Samahani kwa kusema haya.

Mwisho nikuombe usikate tamaa kutafuta yule ambaye atakuwa chaguo lako na utakayempenda kwa dhati ya moyo.
Nasikia uchungu kukujibu hivi lakini ndio hivyo siwezi kumuacha nimpendaye kwaajiri ya kumfurahisha mtu mwingine.
Damu ya Yesu ikulinde baba mtumishi.
Aimen 🙏
Aririiiiii riiiiiii riiiiii mwali wangu hujaniangusha,, shemeji peleka level 8 mdogo wangu Leo akanywe Margarita bariiiiiidi
 
😂😂😂😂 Ningeshangaa usingekuja kupinga, sema hapo kwa bff itabidi mista Tlaatlaah achukue chombo hiko
Tena ashukuru Kwa vile kamtanguliza bwana Yesu nimeona sio vizuri kupambana na mchungaji hachelewi kukwambia "vita yangu si ya damu na nyama"ila kaniudhi Sanaa,maana hapo Kaamua kumchokoza Wizzy 😂😂
 
Tena ashukuru Kwa vile kamtanguliza bwana Yesu nimeona sio vizuri kupambana na mchungaji hachelewi kukwambia "vita yangu si ya damu na nyama"ila kaniudhi Sanaa,maana hapo Kaamua kumchokoza Wizzy 😂😂
😂😂😂😂 Wizzy hii week wanamtafuta sana
 
Back
Top Bottom