Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nina mtu tayari mdogo anguMuonee hata huruma kama yesu alivotuonea huruma wanaaadamu
Siwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina mtu tayari mdogo anguMuonee hata huruma kama yesu alivotuonea huruma wanaaadamu
Khaaaaaa!!πππSasa ya nini nikutie Moyo wakati haikupaswa kuwa hivyo negative reply ni negative tu hata uiweke Vipi? Nikupoteza muda. Soma visa na mikasa ya Bible utagundua majibu mabaya yapo Kwa kifupi Sana?
Bahati Mbaya sina Moyo wa kumuumiza mwanadamu wala kiumbe Chochote . Ila na Kauli za Moja Kwa Moja km One to One FunctionKhaaaaaa!![emoji119][emoji119][emoji119]
Yani wewe upewe kazi ya kunyonga watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kaona ya nini kujibana kalitapika linalomtesa moyoni πππππππππ!
Sio vizuri, kuna watu wana mioyo midogo hawawezi kuvumilia. Hivyo kwa majibu yako wanaweza kujidhuruBahati Mbaya sina Moyo wa kumuumiza mwanadamu wala kiumbe Chochote . Ila na Kauli za Moja Kwa Moja km One to One Function
Ni Bora kuliko kukutia moyo. Maana hata Mimi napenda mtu Alienyoka.Sio vizuri, kuna watu wana mioyo midogo hawawezi kuvumilia. Hivyo kwa majibu yako wanaweza kujidhuru
Iwe ya watu 2 ,na mrs zulu pembeni..πππ kadi lazima tukupe wewe tulia na uone
Oohh hallelujah Jehovah Jyire,πππ Kumekucha
Hivi makamanda wenzangu mbona hamnipendi? Au ndio mko busy na kuipambania katiba mpya?
Kila siku mimi napendwa na vijana wa Mama Kizimkazi!!! Why? Makamanda mnaniangusha ππππ
CCM wananibeba hivyo ooh!!!
Kwako baba mtumishi Tlaatlaah
Nashukuru kwa kunipenda ingawa sijui umenipenda na umevutiwa na kitu gani na mimi? Sio kesi hata mimi NAKUPENDA km Yesu alivyolipenda kanisa. UPENDO WA AGAPE
Mahusiano na ndoa ni jambo jema, hata vitabu vya Mungu vinatuasa mtu mume na mtu mke waungane wawe mwili mmoja ili waijaze dunia. Ndiomana hata Mungu alivyomuumba Adam hakuona sahihi akamletea msaidizi ambaye ni Hawa ( Ambao ndio sisi kina Lamomy)
Ahsante kwa upendo na mapenzi yako makubwa uliyoonyesha kwangu.
Najua mpaka kuamua kuja na uzi km huu ulichukua muda mrefu kujipanga na kujiandaa hukukurupuka!!! Kuna kitu kilikusukuma moyoni mwako. π
Sasa baba mtumishi pamoja na yote hayo mwenzio mimi mpenzi wa mtu na mpenzi wangu yupo humu humu tena mwana CCM mwenzio. Nampenda kuliko maelezo.
Sina haja ya kumficha anaitwa Countrywide mwenyewe nimezoea kumuita Kantry nampenda chugga man wangu. Samahani kwa kusema haya.
Mwisho nikuombe usikate tamaa kutafuta yule ambaye atakuwa chaguo lako na utakayempenda kwa dhati ya moyo.
Nasikia uchungu kukujibu hivi lakini ndio hivyo siwezi kumuacha nimpendaye kwaajiri ya kumfurahisha mtu mwingine.
Damu ya Yesu ikulinde baba mtumishi.
Aimen π
Kwa nn unaandika comment ndefu sana? Una muda mwingi sana?Oohh hallelujah Jehovah Jyire,
Mungu ni Mwema wapendwa....
Asante Yesu kwa kibali chako wasaa huu muhimu tena jioni ya leo...
Baraka na Neema zako zikaambatane nasi sote katika mazungumzo, majadiliano, mafunzo, masemezano na maelekezano. Roho Mtakatifu naomba Muongozo wako mwema kwa niaba ya watumishi wako wote humu jukwaani..
Mtumishi Lamomy na mwenzi wako wa pekee Countrywide. Mwenyezi Mungu awabariki sana na awalinde daima.
Mahusiano na pengine ndoa yenu ikawe daima ya furaha, amani na upendo wa kiMungu.
Daima uaminifu, msamaha na kuelekezana kwa upole na upendo vikatamalaki ndani ya mioyo yenu na nyumba yenu yote. Mungu anawapenda sana kwa hakika.
Imeandikwa,
Mke wako atakua kama mzabibu, wenye kuzaa matunda yaliyo mema ndani ya nyumba yako..
Mungu wa Mbinguni awajaalie kuzaa matunda yaliyo mema na yenye furaha ndani ya nyumba yenu.
Baada ya kusoma majibu ya waraka wako wa kichingaji dhidi yangu, mtumishi Lamomy niliingia kwenye maombi makali kidogo kuomba na kuskiliza malekezo ya Roho Mtakatifu, kabla sijaja kuupokea ukweli ambao kwa hakika umeniweka huru.
Mungu amenibariki na amekubariki sana, sana,sanaaaa..
Roho mtakatifu amenielekeza kwa ujasiri na upendo mkuu, kuupokea ukweli wako kwangu kwa mikono miwili na kuutii kikamilifu kwa heshima, sifa na utukufu wa jina lake mwenyewe.
Amenihakikishia kwamba siko pekeyangu ktkt hili, sijapotea, sintapotea, ananilinda na ananichunga vema kimwili na kiroho, na hivyo nisiogope wala kutetereka. Siko pekeyangu, niko salama na Mungu Mwenye.
Na kwakweli kupitia kwako mtumishi Lamomy, yawezekana ndipo lipo daraja la mimi mtumishi nisie stahili kuvuka na hatimae kufika ninapostahili kuwa...
Naendelea kumuomba Roho Mtakatifu kila wakati, ili hatimae lile ambalo limeandaliwa kwajili yangu mimi mtumishi nisie stahili kustahilishwa kwa wakati wa Mungu.
Nimefurahi sana, na nimashukuru Mungu kwa yote....
Ninawaombea baraka na Neema wale wote walionitakia mema kwa sadaka na maombi ya kufanikiwa katika hili.
Mungu awabariki sana, bado tunayo nafasi kutoka hapo tulipoishia na Roho Mtakatifu anataka tusonge mbele bila kukata tamaa kwa upendo, amani shangwe na vigeleveli katika utukufu wa Mungu...
Aimen.....
Kwakwo mtumishi Lamomy
Unaandika sana bwana....we sema tu umeelewa inatoshaπ€£π€£π€£π€£π€£Oohh hallelujah Jehovah Jyire,
Mungu ni Mwema wapendwa....
Asante Yesu kwa kibali chako wasaa huu muhimu tena jioni ya leo...
Baraka na Neema zako zikaambatane nasi sote katika mazungumzo, majadiliano, mafunzo, masemezano na maelekezano. Roho Mtakatifu naomba Muongozo wako mwema kwa niaba ya watumishi wako wote humu jukwaani..
Mtumishi Lamomy na mwenzi wako wa pekee Countrywide. Mwenyezi Mungu awabariki sana na awalinde daima.
Mahusiano na pengine ndoa yenu ikawe daima ya furaha, amani na upendo wa kiMungu.
Daima uaminifu, msamaha na kuelekezana kwa upole na upendo vikatamalaki ndani ya mioyo yenu na nyumba yenu yote. Mungu anawapenda sana kwa hakika.
Imeandikwa,
Mke wako atakua kama mzabibu, wenye kuzaa matunda yaliyo mema ndani ya nyumba yako..
Mungu wa Mbinguni awajaalie kuzaa matunda yaliyo mema na yenye furaha ndani ya nyumba yenu.
Baada ya kusoma majibu ya waraka wako wa kichingaji dhidi yangu, mtumishi Lamomy niliingia kwenye maombi makali kidogo kuomba na kuskiliza malekezo ya Roho Mtakatifu, kabla sijaja kuupokea ukweli ambao kwa hakika umeniweka huru.
Mungu amenibariki na amekubariki sana, sana,sanaaaa..
Roho mtakatifu amenielekeza kwa ujasiri na upendo mkuu, kuupokea ukweli wako kwangu kwa mikono miwili na kuutii kikamilifu kwa heshima, sifa na utukufu wa jina lake mwenyewe.
Amenihakikishia kwamba siko pekeyangu ktkt hili, sijapotea, sintapotea, ananilinda na ananichunga vema kimwili na kiroho, na hivyo nisiogope wala kutetereka. Siko pekeyangu, niko salama na Mungu Mwenye.
Na kwakweli kupitia kwako mtumishi Lamomy, yawezekana ndipo lipo daraja la mimi mtumishi nisie stahili kuvuka na hatimae kufika ninapostahili kuwa...
Naendelea kumuomba Roho Mtakatifu kila wakati, ili hatimae lile ambalo limeandaliwa kwajili yangu mimi mtumishi nisie stahili kustahilishwa kwa wakati wa Mungu.
Nimefurahi sana, na nimashukuru Mungu kwa yote....
Ninawaombea baraka na Neema wale wote walionitakia mema kwa sadaka na maombi ya kufanikiwa katika hili.
Mungu awabariki sana, bado tunayo nafasi kutoka hapo tulipoishia na Roho Mtakatifu anataka tusonge mbele bila kukata tamaa kwa upendo, amani shangwe na vigeleveli katika utukufu wa Mungu...
Aimen.....
Kwakwo mtumishi Lamomy
Leo nlikuwa najipitisha pitisha pale ofisini kwako nkakuona unareply watuπππ winga mwenzangu mchina kashusha mzigo twende tukachangamkie maokoto
Na Mimi nineshangaa ShemejiKwa nn unaandika comment ndefu sana? Una muda mwingi sana?
Itakuwa double usijali kwa hilo πππIwe ya watu 2 ,na mrs zulu pembeni..
Make sure unaweka na lollipops kwenye meza yetu maana bado totoo anakula kucha.π€£
Si ungekuja kunipa hi sasa jomoni πππLeo nlikuwa najipitisha pitisha pale ofisini kwako nkakuona unareply watu