Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mpambe nakuona 😂😂😂Na Mimi nineshangaa Shemeji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpambe nakuona 😂😂😂Na Mimi nineshangaa Shemeji
Comment ndefu sanaNa Mimi nineshangaa Shemeji
Khaaaaa!! 😂😂😂Kwanza mleta mada ni mtumishi angekuelewa tu . Unge mwambia Mtumishi sikutaki , Mhuburi 7:9 Case Closed
Sijapenda kabisaa boss wangu kuchokozwaMpambe nakuona 😂😂😂
Me ngoja niwaache hii week end haiko upande wangu nishaona dalili 😂😂😂Sijapenda kabisaa boss wangu kuchokozwa
Anampanga mke wa mtu!Comment ndefu sana
Imekukalia vibaya hii🤣🤣Me ngoja niwaache hii week end haiko upande wangu nishaona dalili 😂😂😂
😂😂😂😂 ila sisy unachochea moto nishakuonaAnampanga mke wa mtu!
Imenigomea toka asubuhi, sijui km itaisha salama 😂😂😂Imekukalia vibaya hii🤣🤣
Mi nimemuona huyo mchungaji wiki hii yote anakunyemelea nyemelea nikasema labda anataka kuhubiria habari njema za Kristo nikawa namheshimu,heeee Leo kamwaga Sumu🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 ila sisy unachochea moto nishakuona
Kaa chonjo ndugu yangu!shetani asije akakulamba uso😂Imenigomea toka asubuhi, sijui km itaisha salama 😂😂😂
😂😂😂 kwahiyo ulikuwa unamzoom mtumishiMi nimemuona huyo mchungaji wiki hii yote anakunyemelea nyemelea nikasema labda anataka kuhubiria habari njema za Kristo nikawa namheshimu,heeee Leo kamwaga Sumu🤣🤣🤣🤣
Acha tu hapa tayari nna kesi ya kujibuKaa chonjo ndugu yangu!shetani asije akakulamba uso😂
Mi simo!Acha tu hapa tayari nna kesi ya kujibu
🤣 Furahini kwa upendo..Mi nimemuona huyo mchungaji wiki hii yote anakunyemelea nyemelea nikasema labda anataka kuhubiria habari njema za Kristo nikawa namheshimu,heeee Leo kamwaga Sumu🤣🤣🤣🤣
Nilikuwa namzoom tu,eti oooh twende kwenye maombi ya mnyororo🤣mi nikawa najiuliza hivi huyu bwana ana agenda gani na mke wa boss wangu,,,?😂😂😂 kwahiyo ulikuwa unamzoom mtumishi
Mimi sinawaambia maneno mengi ya nini nenda Moja Kwa Moja tu inaisha chapUnaandika sana bwana....we sema tu umeelewa inatosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂 Mitama ikianza ntakuitaMi simo!