INAUZWA Nina hama nauza vitu vifuatavyo

Mwenye uhitaji plz ani pm vitu vinaenda
 
Karibu uje uzichukue mkuu rayyounger
 
Hapana mkuu. Nitakupa kwa lak moja tu mkuu haina hata miez 4
 
Wakuu sofa na dinning table bado vipo karibun..
 
Hata mimi nimeshangaa alivyosema bei kubwa
 
Wakuu hivyo vitu vinauzwa bei rahis mno. Hasa ukilinganisha na uhalisia wa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…