mwasipenjele
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 771
- 450
Tatizo sio mdoli.......huo mguu hapo kulia umeuona. Mme wa mtu thumu.
Duuuu!!! Jf ni jicho lisilo kengeza,mwee,Kweli hatuna uhaba wa CHAKURAHA!!ameoa cheki hii picha vizuri
Yani ilinibidi nizoom ndo nikaona watu noma sana ha!ha!haDuuuu!!! Jf ni jicho lisilo kengeza,mwee,Kweli hatuna uhaba wa CHAKURAHA!!
Teh teh kuna demu humo ndani angalia kulia miguu inaonekana!!ameoa cheki hii picha vizuri
Sijaoa ..ila ndio natafuta mchumba ....naomba uwe girlfriend wangu Titty [emoji7]Nyumbani kwako kuzuri umeoa
Nami naomba uwe boyfriend wangu. Ntakupetipeti mpaka sura yako itaka sawa. Pia hutukuwa surual utakua shirt.Sijaoa ..ila ndio natafuta mchumba ....naomba uwe girlfriend wangu Titty [emoji7]
Ahsante baby pia nakuahidi nitakupa chochote unachotaka. ..Tena kuna kiwanja cha urithi nataka kuachiwa na babu,nakuahidi nitakupa choote bby tittyNami naomba uwe boyfriend wangu. Ntakupetipeti mpaka sura yako itaka sawa. Pia hutukuwa surual utakua shirt.
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
Hahhaha....kama kweli dume suruali anakupenda mwambie akubadilishie hiyo samsung note 2 yako akuweke kwenye at least kwenye iphone 7.[emoji23]Nami naomba uwe boyfriend wangu. Ntakupetipeti mpaka sura yako itaka sawa. Pia hutukuwa surual utakua shirt.
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app