Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji26] umeona eeeh but very soon atabadilisha Post....utasikia yeyote yulee[emoji3]Mchagua jembe c mkulima, inaonekana haujakua tayari kuolewa kwa mpango huo wa kuchagua mume awe mrefu na mweupe, Pole sana
Kupika na kucheza mziki ndo kasemaWewe mwenyewe una vigezo gani?
Mamidota niko hapaUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Sio kwamba haupati ,sema "UMEWEKA VIGEZO KTK NDOA" AKITOKEA MTU ALIYETAYARI UTASEMA MFUPI, HANA KAZI, HAJUI KUVAA . ndio mlivyo nyie, na kwa tabia hizo MTASUBIRI SANA ,WENZENU WATAOLEWA ,WANAPATA FAMILIA , HESHIMA WANAPATA NYIE KAZI KULA NUAMA CHOMA ,KULA KULA NYUMBA MPYA KILA SIKU!!!BADILIKENI TUWASTIRI !Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Nataka tucheze mziki 2club bila kuoana [emoji124]Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Akacheze mziki na kina wasafi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo mziki bibi! nani aoe mnenguaji wa yondo sister?
Ndyo maaana huolewi na wanawake wengi sn wa sasahiv hamwolewi kwasabu too much choice mrefu,mjasilia mali msafi kiroho rudi shulen kasome huyo mwanaume labda umuumbe mwenyeweUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Nmecheka jaman[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anatafuta mjasiriamali akat yeye chef na dancer....harmorapa anakufaa Dada angu maana utampikia na atakapoimba ndo utakapocheza vizuriKupika na kucheza mziki ndo kasema
Mh mbona CV yako majanga? Eti napenda kupika na kucheza! Are u real serious? Mimi nakushauri uende kwana field ya kuolewa kwanza halafu ndio kisha uchukue hatua ya kutangaza kuolewa. Saasawa kijana?Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.