Polisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
TUANGALIE ALL POSSIBLE SCENARIOS AND HOW TO MITIGATE THEM...... Risk Mitigation Strategies
NOTE: SISEMI , WASIANDAMANE, KUANDAMANA LAZIMA, LAKINI LAZIMA KUWEKA STRATEGIES ZA KUPUNGUZA VIFO/MAAFA BY ALL MEANS POSSIBLE.
TUANGALIE ALL POSSIBLE SCENARIOS AND HOW TO MITIGATE THEM...... Risk Mitigation Strategies
NOTE: SISEMI , WASIANDAMANE, KUANDAMANA LAZIMA, LAKINI LAZIMA KUWEKA STRATEGIES ZA KUPUNGUZA VIFO/MAAFA BY ALL MEANS POSSIBLE.