Nina hofu, hofu yangu ni hii kuhusu maandamano ya tarehe 23/9/2024

Nina hofu, hofu yangu ni hii kuhusu maandamano ya tarehe 23/9/2024

Polisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
Chiba na zile screpa zake sasa, zitatoboa nyama
 
Polisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
If that happens, who will be responsible for the incident? Nani anayepaswa kusimamia maandamano ya amani kikatiba? Na kama hilo litatokea bhasi wajibu wa jeshi la polisi utakuwa questioned mkuu. Na kwa taharuki iliyopo sasa sijui Kama kutakuwa na mahusiano mazuri tena kati ya raia na polisi, hili limeshaanza kujitokeza wananchi kugomea polisi kuwachukua watu, tumeona Mwanza na Kariakoo, pia polisi mmoja wa barabarani kushambuliwa huko Musoma. Je tunaelekea wapi kama taifa?
 
Polisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
Nyie si wakombozi mnaogopaje kufa sasa
 
Polisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!

TUANGALIE ALL POSSIBLE SCENARIOS AND MITIGATE THEM...... Risk Mitigation Strategies
I will be there insha'Allah
 
If that happens, who will be responsible for the incident? Nani anayepaswa kusimamia maandamano ya amani kikatiba? Na kama hilo litatokea bhasi wajibu wa jeshi la polisi utakuwa questioned mkuu. Na kwa taharuki iliyopo sasa sijui Kama kutakuwa na mahusiano mazuri tena kati ya raia na polisi, hili limeshaanza kujitokeza wananchi kugomea polisi kuwachukua watu, tumeona Mwanza na Kariakoo, pia polisi mmoja wa barabarani kushambuliwa huko Musoma. Je tunaelekea wapi kama taifa?
Terrible times coming ahead! kama international community ingelikuwa na mandate ya kum summon rais/polisi for that matter at the international court, basi twende kazi na wao wasingelithubutu kuwaua! Sasa wataua na hakuna cha kuwafanya!
 
kuandamana ni laaazima ukiogopa kufa wa ajili ya kutafuta haki yako iliopolwa na wenye mamlaka kwani utaishi milele ? hautakufa ? utaishi milele bora kifo cha kishujaa
 
Polisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!

TUANGALIE ALL POSSIBLE SCENARIOS AND MITIGATE THEM...... Risk Mitigation Strategies

NOTE: SISEMI NOTE, WASIANDAMANE, KUANDAMANA LAZIMA, LAKINI LAZIMA KUWEKA STRATEGIES ZA KUPUNGUZA VIFO/MAAFA BY ALL MEANS POSSIBLE.
Hao chadema wanauana wao wanaisingizia serikali.
. Chuki yao tunaijua sababu zake.
 
Back
Top Bottom