Chiba na zile screpa zake sasa, zitatoboa nyamaPolisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
If that happens, who will be responsible for the incident? Nani anayepaswa kusimamia maandamano ya amani kikatiba? Na kama hilo litatokea bhasi wajibu wa jeshi la polisi utakuwa questioned mkuu. Na kwa taharuki iliyopo sasa sijui Kama kutakuwa na mahusiano mazuri tena kati ya raia na polisi, hili limeshaanza kujitokeza wananchi kugomea polisi kuwachukua watu, tumeona Mwanza na Kariakoo, pia polisi mmoja wa barabarani kushambuliwa huko Musoma. Je tunaelekea wapi kama taifa?Polisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
Aisee.....Inawezekana kwani hata risasi iliyomuua Akwilina ilidhamiriwa impate Mbowe.
Nyie si wakombozi mnaogopaje kufa sasaPolisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
THE POSSIBILITY IS THERE...tuangallie all possible scenarios and mitigate them!Siyo kirahisi namna hiyo.
SISEMI TUSIJITOKEZE, LAKINI TUWE NA Risk Mitigation StrategiesSio rahisi tujitokeze.
lazima kuwe na Risk Mitigation Strategies. It is not an issue of kufa, lazima to preserve life by increasing /observing Risk Mitigation StrategiesNyie si wakombozi mnaogopaje kufa sasa
I will be there insha'AllahPolisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
TUANGALIE ALL POSSIBLE SCENARIOS AND MITIGATE THEM...... Risk Mitigation Strategies
Sure, but if we can reduce the risk of deaths/number of deaths, it is welcome!Kifo ni sehemu ya maisha
Exactly, asante sana sasa lazima tupange hilo lisitokee tena...... Risk Mitigation StrategiesInawezekana kwani hata risasi iliyomuua Akwilina ilidhamiriwa impate Mbowe.
Ha ha ha ha bro unaandamana kwenye keyboard!!! Nenda wakakunyooshe wanaume!!Siyo kirahisi namna hiyo.
Hawei lakini wanaweza ku target viongozi mkjikuta uongozi mzima wa juu wa chdema are dead!Hawawezi kuuwa wa tz wote .uoga wetu tu
Ameshatoa amri waombolezaji wapigwe bila huruma.Samia hawezi kuruhusu Hilo litokee kwenye kipindi Cha utawala wake
Terrible times coming ahead! kama international community ingelikuwa na mandate ya kum summon rais/polisi for that matter at the international court, basi twende kazi na wao wasingelithubutu kuwaua! Sasa wataua na hakuna cha kuwafanya!If that happens, who will be responsible for the incident? Nani anayepaswa kusimamia maandamano ya amani kikatiba? Na kama hilo litatokea bhasi wajibu wa jeshi la polisi utakuwa questioned mkuu. Na kwa taharuki iliyopo sasa sijui Kama kutakuwa na mahusiano mazuri tena kati ya raia na polisi, hili limeshaanza kujitokeza wananchi kugomea polisi kuwachukua watu, tumeona Mwanza na Kariakoo, pia polisi mmoja wa barabarani kushambuliwa huko Musoma. Je tunaelekea wapi kama taifa?
Hao chadema wanauana wao wanaisingizia serikali.Polisi tunavyowajua, wanaweza kuwaua viongozi wakuu wa chadema kwa kisingizio cha vurugu. How? Wanawavurumisha watu na ku create commotion, lakini target yao ni viongozi, wanawaua na kusema hawajui aliyewapiga risasi, may be waandamanaji wengine walikuwa na visa na hao viongozi na kutumia mwanya huo kuwaua................. najaribu kufikiria kila every possible scenario that might come out!
TUANGALIE ALL POSSIBLE SCENARIOS AND MITIGATE THEM...... Risk Mitigation Strategies
NOTE: SISEMI NOTE, WASIANDAMANE, KUANDAMANA LAZIMA, LAKINI LAZIMA KUWEKA STRATEGIES ZA KUPUNGUZA VIFO/MAAFA BY ALL MEANS POSSIBLE.