Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka 😄😄 humu JF na nyuma ya keyboard tunaandika chochote Mkuu.. 😄😄... Hatujulikani....Nina online radio moja kati ya radio 10 zinazo sikilizwa zaidi Tanzania na moja kati ya online radio kubwa zaidi duniani kuliko yoyote nina online radio 210 fanya kila nchi na radio yake,napata wasikilizaji kwa radio zote hadi 40k kwa siku na wasikilizaji hadi 300 kwa wakati mmoja napoongea napata imail kila siku toka nchi mbalimbali najifunza kila wakati najua radio inapo elekea. Kwa miaka ijayo
Two six....! Hiyo namba achana nayo. Waache waanzishe vikosi vyao lakini hiyo namba wanaijua.... Hata kwa kuisikia!Hivi vikosi vinazidi kushamiri sana, alaumiwe sana mwanangu hamidu wa 26 life.
ShukranKaka 😄😄 humu JF na nyuma ya keyboard tunaandika chochote Mkuu.. 😄😄... Hatujulikani....
Hongera Kwa verified users wenye majina halisi kama Pascal Mayalla.... Maana Kuna utumbo na maini hawawezi kuandika...
unaongea zeshen tuNi sawa kwa kujifarijia. Dunia ya sasa haiko kwenye nadharia hizo. Mtu unapitia magumu kwa Sbb huna kipato cha kueleweka. Bado unajifariji kwa namba mpaka unaenda kaburini. Bahati hiyo ni ipi sasa? Badirika
unaongea zeshen tu
45 ndo namba tulivu maofsa wote 4526, ikaja 32, sahivi 45.
Tatizo wanachama wa vikosi, hawaeleweki na wamekaa ki utapelu, ukibaka, wizi, teja. Etc
Poleeee zao.
Em sema kweliii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]45 ndo namba tulivu maofsa wote 45
Kabisaa yaani ni wa kuonewa huruma, huwa najiuliza na wale watu wana mademu? Hata shoga anayejitambua hawezi muinamia mtu wa vile khaaaahShida ni vikosi vinaoasisi uhuni uhuni tu hakuna la maana.
Wanawake mna huruma sana hawakosi.Kabisaa yaani ni wa kuonewa huruma, huwa najiuliza na wale watu wana mademu? Hata shoga anayejitambua hawezi muinamia mtu wa vile khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
OveeeerTwo six....! Hiyo namba achana nayo. Waache waanzishe vikosi vyao lakini hiyo namba wanaijua.... Hata kwa kuisikia!
"wana tupimia hapa nasi tushajiona mbali.... Kama wanazima kwa BAPA basi hatuwapi misumari"
Kikosi 45 ndo kikosi teule, mbona wanapisi kaliKabisaa yaani ni wa kuonewa huruma, huwa najiuliza na wale watu wana mademu? Hata shoga anayejitambua hawezi muinamia mtu wa vile khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi mkuu hiyo redio itakua na uhusiano wowote na Mimi a45 kabla sijaendelea ?Me Sina hela ila naishi na watu wema na wenyewe kiuchumi hawako vizuri nyie wa huko dar mna magari na majumba najua wengi hamuwezi kushindwa kufungua redio Jina LA redio nakupa mimi iitwe 45 fm vipindi nakupangilia mimi wewe utaboresha tu ila ni redio Kwa ajili ya vijana tu wa 45 Namba hio inafahamika na wenyewe Nina bonge la kitu redio itapendwa.. BOSS yoyote ukiwa serious tuongee shida hakuna watu wanataka wale raha redio hiyo itakuwa nzuri Sana kuna kipindi cha watu kupeana michongo pia.Na app ya redio iwepo.