Nina idea nimpe content mtu anayetaka kufungua redio ya vijana aiite 45 fm

Kaka 😄😄 humu JF na nyuma ya keyboard tunaandika chochote Mkuu.. 😄😄... Hatujulikani....
Hongera Kwa verified users wenye majina halisi kama Pascal Mayalla.... Maana Kuna utumbo na maini hawawezi kuandika...
 
Hivi vikosi vinazidi kushamiri sana, alaumiwe sana mwanangu hamidu wa 26 life.
Two six....! Hiyo namba achana nayo. Waache waanzishe vikosi vyao lakini hiyo namba wanaijua.... Hata kwa kuisikia!

"wana tupimia hapa nasi tushajiona mbali.... Kama wanazima kwa BAPA basi hatuwapi misumari"
 
Kaka 😄😄 humu JF na nyuma ya keyboard tunaandika chochote Mkuu.. 😄😄... Hatujulikani....
Hongera Kwa verified users wenye majina halisi kama Pascal Mayalla.... Maana Kuna utumbo na maini hawawezi kuandika...
Shukran
 
Oya wee wanangu wa 45 like hii comment, hatufagilii 45 ndio kikosi.
 
Ni sawa kwa kujifarijia. Dunia ya sasa haiko kwenye nadharia hizo. Mtu unapitia magumu kwa Sbb huna kipato cha kueleweka. Bado unajifariji kwa namba mpaka unaenda kaburini. Bahati hiyo ni ipi sasa? Badirika
unaongea zeshen tu
 
45 hapa itikeli imezingatiwa, afu 45 atuchambi umbea kama 26, oya radio hapana labda tv hizi online then unapita kila maskani unapiga story na masela kiutu,
 
Shida ni vikosi vinaoasisi uhuni uhuni tu hakuna la maana.
Kabisaa yaani ni wa kuonewa huruma, huwa najiuliza na wale watu wana mademu? Hata shoga anayejitambua hawezi muinamia mtu wa vile khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabisaa yaani ni wa kuonewa huruma, huwa najiuliza na wale watu wana mademu? Hata shoga anayejitambua hawezi muinamia mtu wa vile khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake mna huruma sana hawakosi.
 
Two six....! Hiyo namba achana nayo. Waache waanzishe vikosi vyao lakini hiyo namba wanaijua.... Hata kwa kuisikia!

"wana tupimia hapa nasi tushajiona mbali.... Kama wanazima kwa BAPA basi hatuwapi misumari"
Oveeeer
 
Kabisaa yaani ni wa kuonewa huruma, huwa najiuliza na wale watu wana mademu? Hata shoga anayejitambua hawezi muinamia mtu wa vile khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kikosi 45 ndo kikosi teule, mbona wanapisi kali
 
Vipi mkuu hiyo redio itakua na uhusiano wowote na Mimi a45 kabla sijaendelea ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…