American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
Kila la kheri Warembo wa JF,
Utupatie na mrejesho mkuu.
Utupatie na mrejesho mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani mbona vigezo ninavyo na zaidi jamani hii si ndio.ndoa sasa?😉Mume huyu hapa..😊
luckyline njoo tugombanie goli
😂😂😂😂😂😂😂😂wacha weeee!Enyi mabinti mume wa kweli huyu hapa...anaonekana kabisa hata kwa maandishi yake.
Acha uzi wawatu uwe na comment njema za heri zaid.😂Mwanamke anatakiwa aolewe na siyo aoane
EeeenhHivi mbona huwa hamrudishi mrejesho? Zaidi ya yule alokitana na mtu sura haitoshi kwa camera!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamani nani huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaani km sinia la pilau eeenhhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimesahau id, dada wa watu alikutana na libaba sura pana haitoshi kwa camera.
Mimi ukinipa I'd yako ya dhamani nakuja haraka inboxWapendwa wa Jamii Forums,
Nawasalimuni nyote! Kisha napenda kuwashirikisha jambo langu. Sina mambo mengi. Kwanza kabisa, WANAUME wenzangu hii haiwahusu kabisa. Labda kama unamjua mwanamke wa aina hii nayotafuta umwelekeze yeye mwenyewe awasiliane na mimi. Nataka kuoa. Sifa zangu na za huyo nayemtafuta ni kama ifuatavyo: -
KUHUSU MIMI (mwanaume)
KUHUSU WEWE (mwanamke)
- Elimu: Chuo Kikuu (Master Degree)
- Kazi: Nimeajiriwa katika Sekta Binafsi
- Dini: Mkristo
- Umri: 40+ (Kujua exact age njoo inbox)
- Mahusiano ya zamani: Njoo inbox nitakueleza
- Lengo: kuoa kabisa
- Elimu yako? Yoyote (Std 7 and above). Sifa nyingine za mhusika zinaweza kuficha mapungufu ya elimu hata kama ni ndogo
- Una Kazi? Si lazima uwe nayo. Lakini angalau uwe unafundishika. Je, unapenda ujasiriamali? Kama ndiyo basi poa.
- Umri wako? 18+ (ukomo wa juu ni 35). Kama unazaidi ya hapo tuwasiliane. Huenda ikawa "AGE IS JUST A NUMBER".
- Una mtoto / Watoto? Naweza kuvumilia mwenye mtoto. Ila asizi mmoja. Pia napenda kujua ana umri gani?
- Lengo la uhusiano huu? Liwe ni kuolewa.
Mambo mengine tutaelezana zaidi wakati wa mawasiliano. Niko serious na hili jambo.
Karibuni inbox. Walengwa tu tafadhali.
Inawezekana kabisa kusema ukweli mwanzo mwisho. Mimi naona mkuu yupo sawa kabisa.Hivi mkuu unaanzishaje urafiki na mtu kwa lengo la wazi la kumwuoa
Mimi nafikiri ungeanzisha urafiki kwanza kisha baadaye uone kama inafaa kumwambia lengo
Kilo si muhimu. Zinarekebishwa kilaini tuFursa hii 😁.....ila ungesema na kilo minimum na maximum ziwe ngapi
Dear future husband...Wapendwa wa Jamii Forums,
Nawasalimuni nyote! Kisha napenda kuwashirikisha jambo langu. Sina mambo mengi. Kwanza kabisa, WANAUME wenzangu hii haiwahusu kabisa. Labda kama unamjua mwanamke wa aina hii nayotafuta umwelekeze yeye mwenyewe awasiliane na mimi. Nataka kuoa. Sifa zangu na za huyo nayemtafuta ni kama ifuatavyo: -
KUHUSU MIMI (mwanaume)
KUHUSU WEWE (mwanamke)
- Elimu: Chuo Kikuu (Master Degree)
- Kazi: Nimeajiriwa katika Sekta Binafsi
- Dini: Mkristo
- Umri: 40+ (Kujua exact age njoo inbox)
- Mahusiano ya zamani: Njoo inbox nitakueleza
- Lengo: kuoa kabisa
- Elimu yako? Yoyote (Std 7 and above). Sifa nyingine za mhusika zinaweza kuficha mapungufu ya elimu hata kama ni ndogo
- Una Kazi? Si lazima uwe nayo. Lakini angalau uwe unafundishika. Je, unapenda ujasiriamali? Kama ndiyo basi poa.
- Umri wako? 18+ (ukomo wa juu ni 35). Kama unazaidi ya hapo tuwasiliane. Huenda ikawa "AGE IS JUST A NUMBER".
- Una mtoto / Watoto? Naweza kuvumilia mwenye mtoto. Ila asizi mmoja. Pia napenda kujua ana umri gani?
- Lengo la uhusiano huu? Liwe ni kuolewa.
Mambo mengine tutaelezana zaidi wakati wa mawasiliano. Niko serious na hili jambo.
Karibuni inbox. Walengwa tu tafadhali.