Wakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji
2. Sabuni ya mikono
3. Medicated soap
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
Kama ujuavyo Watanzania hawanaga deep info
Huyu Jamaa Anaweza Kuwa na Tatizo la hyperhidrosis..DR Mambo Jambo
Baba Swalehe
Dr Lizzy
Carlos The Jackal
Herbalist Dr MziziMkavu
Hebu msaidieni ndugu yetu huyo aepukane na fedheha hiyo
Aonane na daktari mkuuDR Mambo Jambo
Baba Swalehe
Dr Lizzy
Carlos The Jackal
Herbalist Dr MziziMkavu
Hebu msaidieni ndugu yetu huyo aepukane na fedheha hiyo
Acha bangiwewe ni moody mrope?
wa Kygo high school?
Tafuna nazi nusu kwa siku.sitak doderant nataka njia ya kudumu
Tafuta jiwe la shabu
Maduka wa waarabu au wapemba watakuelejeza jinsi ya kuitumia
Usipopona niite mbwa
Una nyota mtoajashooooWakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji
2. Sabuni ya mikono
3. Medicated soap
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
Kama ujuavyo Watanzania hawanaga deep info
Usha hitimu UDSM?Acha bangi
Check figo zako kwanzaWakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji
2. Sabuni ya mikono
3. Medicated soap
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
Kama ujuavyo Watanzania hawanaga deep info
LINAITWAAAA JINIMNUKANUKAAADaa pole sana ,utakuwa umetupiwa jini
Tangu nilipoanza kubalehe mkuuCheck figo zako kwanza
La uremboHata duka la mwarabu au mpemba anayeuza spare za magari tunaweza kulipata hilo jiwe la shabu?
mmhLa urembo
😂😂😂ila watu nyie ni wakuda ko moody mrope nipo hapa nimeumia sana kuona natangazwa jamii forum nilikuwa nanuk kwapawewe ni moody mrope?
wa Kygo high school?