Nina jasho lenye harufu kali sana. Je, kuna dawa ya kutibu tatizo hili?

Kwa siku moja au kila siku
 
Badili aina ya vyakula na vinywaji.

Kama unakula nguruwe, wacha. Kama unakula vibudu au nyama isiyochinjwa, wacha.
 
Kama uko mkoani. Kama ulishawahi kukata mtu ukakuta maji ndani ya mtu maji hayo yana langi ya kahawa basi yachukue unawe maeneo ambayo unatoa harufu . pia wale wanawake ambao wakibeba mimba huwa inakaa upande BC Fanya hivi hicho kutanda ambacho unalalia jigeuze yani mwanzo kilikuwa kinaangalia mashariki now kiangalie magharib au kama unapikia mafiga yageuze.pia wale wanapenda kuumwa tumbo unapoamka kabla hujala chochote kunywa maji.pia wale ambao huwa wanaumwa matosi mdomoni chukua kiatu chako kiweke maji unywe au ukiamka asubuhi toka nje Asama mdomo kuelekea jua kinapochomoza pia wale wanaoumwa ngiri chukua makome ya mwarubaini na magome ya mjohoro changanya chemsha kunywa.pia yule akiyeungua moto ukutaka upone alfu kovu kisiwepo chukua kata nywele zako kidogo akfu ziunguze ule unga mweusi paka kwenye kidonda yani utapona halaka akfu kovu halitakuwepo .kuna mambo mengi ni dawa tena ya kawaida siyo lazima kwenda kwa waganga. Je unajua kwamba kuna mtu ambao upo ukichukua jani lake ukaweka chini ya ulimi kama upo na kesi mahakamani mshitaki wako anashindwa kujieleza yani anashindwa kuongea? Ulishaona kichaa akichezea mti na akachuma majani? BC Yale majani ni yachukue ni dawa
 
Kaoge mto YORODANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…