Nina kibamia, kinanitesa mpaka sitamani kuishi

Nina kibamia, kinanitesa mpaka sitamani kuishi

Ile rula ina cm kumi km sijakosea km sijakosea .. Kwa maelezo yaliyotolewa hapa ndo nimejua Leo kumbe nipo kwenye kundi la vibamia
Manzi wako ashawahi kulalamika kwamba humtii vizuri?
Kama hajasema ujue uko vizuri. Endelea kusambaratisha k zao.
 
We itakuwa una matatizo yako mengine sio punyeto,watu tumekiwasha tangu miaka ya 90 hatuna hizo mambo na tunakaribia kupata wajukuu wakutosha
We nenda hospital watakupa jibu sahihi
Usipinge, punyeto ina madhara sana kwa mwanaume hata hayo asemayo yamechangiwa na hilo tatizo.

Mungu amsaidie kijana wetu apate solution ya changamoto yake.
 
Una shida ya uume mdogo,nguvu za kiume basi tumia hii bidhaa . Inaongeza size mpaka inchi 3,pia inaondoa shida ya nguvu za kiume. Ukiitumia unakua kama unaipeleka mashine gym,ukibeba Nondo misuli huongezeka nguvu na ukubwa. Pia ukitumia penis pump utapata matokeo chanya ya mashine kuongezeka ukubwa na kuwa nguvu sana .
Acha utapeli na udanganyifu pitia thread ya mwenzako. Anzisha yako na weka hilo Tangazo lako.
 
We itakuwa una matatizo yako mengine sio punyeto,watu tumekiwasha tangu miaka ya 90 hatuna hizo mambo na tunakaribia kupata wajukuu wakutosha
We nenda hospital watakupa jibu sahihi
Nyani wa Kupanda mnazi kwa mkono mmoja mmmmh🤣🤣🤣🤣unashauri ushwetani kwa teenagi
 
Kwanini sasa ukawa na kibamia nawewe
 
Wanaume wengine wanapambania taifa, wengine wanapigia kelele serikali iwajibike juu ya utekwaji wa watu. Huyu huku anawaza kibamia chake. Kweli tunatofautiana kiakili.
Mkuu usifosi tufanane dunia ina mambo mengi wote hatuwezi shughulika na jambo moja, ww ukishughulika na siasa inatisha.
 
Doto embu acha ujinga. Kwa nini unasikiliza maneno ya mitaani? Kibamia hakina shida yoyote. Maandiko mengi yalishaandikwa kuwa kibamia sio tatizo lolote .
Achana na maneni ya mitaani.
Fanya kazi zako furahia uhai wa Mungu aliokupa .
Wewe kinachikusumbua sio kibamia ila unasumbuliwa na Misinformation za kijinga ambazo sio za kitaalamu.
Tatizo la hapa Tanzania bado watu wa ushauri nasaha hawapo strong sana kwa sababu wananvhi hawana hio elimu ya kwenda ukiwa na tatizo. Ila wewe dawa yako ingetibiwa na watu wa ushauri nasaha.

Ninachokuambia tu ni wewe kujiamini na kula maisha.
Kuna watu hawana nguvu za kiume kabisa ila wanajikubali sasa hao ndio walitakiwa wawe kwenye situation ya kutaka kujiua ila wanajikubali na wanasonga hujafa hujaumbika kwa hio acha huo mawazo yako ya kijinga mara moja na acha kusikilizawahua
Asante mkuu, ushauri wako umenipa moyo sana
 
Mkuu hivi hizo inch 5.6 ni urefu gani yaani ni rula ngapi maana wengine tumesomaa HKL hatuelewi chochote... Hebu sema chochote maana wengine ni vibamia hatujijui
Inch 5.6 inakaribia cm kama 2 kufikia nusu rula. 5.6 inch ni almost nusu rula. Sema tu ni kukosa kujiamini.
7970fcb25746053c2ad778026f7baaa35a9c9a74__31483.1628081074.jpg
 
Wataalam wasema Uke uko sensitive kwa nusu kidole gumba......mwanamke ataridhika......yke ni utupu ....uko wazi tu......ni fikra mawazo yako tu ....hata uwe mchi hausaidiiii......radha ile ile zaidi maumivuuu
 
Kwanza habar nzur watu wengi wameafikiana na wewe kwamba una size ya wastani ambayo ni nzuri kwahiyo ishu ya kwanza imepata majibu

Pili watu wengi wameshauri khs kegeli ingawa hawajasema unafanyeje nadhan bila shaka ndo hiyo ya kurekebisha perlivic floor,kwa kawaida damu ikishajaa katika uume inatakiwa isitoke mpaka umwage ndo inatoka na uume unasinyaa,sasa misuli hii au msuli au.mshipa huu ukiwa dhaifu basi damu inashindwa kuzuiwa yan kama vile kifuniko kinakuwa dhaifu na damu hutoka na hapo uume una sinyaa tena

Sasa tiba yake ni rahisi sana ni wewe kuachia na kushika kama vile unakata mkojo usitoke na kuachia utoke,yani ukiwa free tu kama unabana utupu wa nyuma na kuachia,huenda mara 20 au 30 au zaidi kwa siku,kwahiyo ni wewe kuamua ratiba yako tu,upo hapo sebuleni unafanya,yaan kwa namna unavyotaka wewe,baada ya mda misuli au mshipa unakaza na.kuwa imara na uume ukisimama haulali mpaka show iishe


Kuna ujinga mmoja mkubwa sana hapa jf,huu unaanzia katika kataa ndoa,ni hivi kuna wahuni humu wana ndoa zao hlf kutwa wanajifanya kataa ndoa,akili kichwani kwako

Kuna wajinga wengine humu kutwa wanasema punyeto safi ,ukweli ni kwamba punyeto ina madhara sana,moja wapo ni hayo uliyosema,hlf tujue kwamba kuna namna mbali mbali za kupiga nyeto,kuna nyingine huenda hazina madhara sana,mfano kisugua sehemu ya kichwa tu,lkn wengi hushika uume mzima na kuusugua naona hawa ndio wanaathirika zaidi,lkn kwa ujumla wake punyeto ina madhara ya kiafya,kisaikolojia na.kadhalika
 
Back
Top Bottom