Nina kijana mdogo ameathirika naishi nae, anagegeda sana vibinti vya watu, nimsaidiaje?

Kwahiyo huko vijijini hakuna wasichana bali kuna wanaume watupu au wasichana wa vijijini siyo muhimu sana kuliko wa mjini,unahalalisha wasichana vijijini waangamie mjomba ,bado sijaona suluhisho
 
Waache waangamie tu hao kina Dada ,werevu ndio watakaosalimika
 
mwenyewe kunadada mmoja huku mtaa najuwa ana gwegwe anagwa tu kama kifulushi cha tigo hapo mzee mwache awape dozi kwa ha vitabu vya mungu vinasema mshahara wa zambi nimauti kwa acha awagawie mauti
Ukiruhusu hilo litazunguka hadi litamkuta mwanao au nduguyo
 
ati wenye ngoma wana genye mara saba saidi ya walioathirika.....!!!!
mkuu dogo anahitaji psychological twisting
 
Ni kumpa ushauri tuuu unamtosha na jinsi ya kujikinga mapenzi yakija ni vigumu kuzuiaaa
 
Kwahiyo huko vijijini hakuna wasichana bali kuna wanaume watupu au wasichana wa vijijini siyo muhimu sana kuliko wa mjini,unahalalisha wasichana vijijini waangamie mjomba ,bado sijaona suluhisho
Si kazaliwa hapo hivyo wanamjua watajilinda nae
 
bro pole sana....hili suala usilichukulie simple kabisa,, huyo kijana anatumia huo ugonjwa kama defensive yake na hasa unapokuwa unamshauri.. unaongea nae ktk mazingira gani? elewa hata wewe na familia yako mko hatarini, kama ameamua kuambukiza ili asife peke yake, je wewe na familia yako yeye anaichukuliaje? usije kujuta kwa wema wako, najua ktk hali kaa hiyo lazima atasema unamnyanyapaa but huna jinsi. Kumbuka wewe pia ni mhusika ktk kueneza maambukizi,, ulimleta kutoka kijijini, ili uje kumuendeleza, na unajua fika ni HIV +,,,kuwasaidia ni wajibu wetu...but umakini zaidi watakiwa.....kwa kifupi unashiriki kueneza maambukizi.
 
Nafahamu hawezi kufika huku,lakini naelezea kwa undani kwa sababu sio wote wanaojua kisa hiki. Zamani tulitumia Ukurasa wa "MAONI/MASWALI" wa gazeti la Uhuru,sasa mitandao imeturahisishia
Hujafanya jambo baya. Ni vizuri kuwa muwazi ili upate ushauri kama unavyoomba. Msamehe bure nadhani kaguswa na amezoea kuficha ficha mambo. Ushauri wangu ni kuwa huyo kijana hajielewi na kama ulimwambia ukweli akaja juu na kuzira chakula basi amekuzidi kimo. Kukaa naye humsaidii bali unamharibu tu.

Aidha Nakuona unajisahau hususan pale unaposema mtoto wako wa kike ni mdogo!!!! Na wengine ni wavulana!!!!!! Siku hizi watoto wa kuchungwa ni wavulana hasa majumbani maana vijana kama huyo wa kwako anaweza kuwanajisi.

Onyo acha kuishi na mtu nyumbani kwako umlishe na umpe kitanda bila kukutiiiiiii kama hataki kukutii akapange au ajenge yake.
 
Nimezingatia ulichokisema,umeongea kwa hekima
 
Mkuu naona hekima ndani yako,nitazingatia ulichowasilisha
 
Duh kumbe ni wewe barafu, wkt nacomment siku hizo nilicomment kiutani. Hakika wewe ni mjuvi wa vitu vingi na hii post huenda ni kweli. Tupe update za huyo dogo
 
Duh kumbe ni wewe barafu, wkt nacomment siku hizo nilicomment kiutani. Hakika wewe ni mjuvi wa vitu vingi na hii post huenda ni kweli. Tupe update za huyo dogo
Sasa leo ndio ukomenti serious sasa.
Ha ha ha ha eti wakati huoo...Kwani huo wakati una tofauti na sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…