Nina kijana mdogo ameathirika naishi nae, anagegeda sana vibinti vya watu, nimsaidiaje?

Nina kijana mdogo ameathirika naishi nae, anagegeda sana vibinti vya watu, nimsaidiaje?

huo siyo ushauri mkuu kwani kule kijijini hamana mabinti?cha msingi dogo apelekwe apewe ushauri nasaha msiangalie tuu kua anaambukiza maana uwezo huo hana kwa kua anatumia dawa sema kumshauri kua anapofanya ngono zembe pia anachukua maambukizi mapya kwa hiyo wale virus watakua wengi na watajenga usugu wa dawa muwe mnasoma kabla ya kutoa ushauri unapoathirika ukawa unatumia arvs huwezi muambukiza mtu maana wale wadudu wamelewa wamelala ila sasa ukifanya na ambaye hatumii dawa na ni muathirika apo unachukua maambukizi mapya na pia unapofanya sana kinga inashuka maana kwa umri wa huyo dogo utakuta anapiga bao zaidi ya tatu ...cha msingi apewe elimu ale vizuri aache mawazo ,afanye zoezi,apate mwathirika mwenzie anaetumia dawa afanye ngono kama kawaida bila madhara ataishi miaka mingi sana ....ukimwi siyo ugojwa...........
Ni ushauri sema hujakubaliana nao. Nimetoa ushauri huu kwa lengo la kumwondoa jamaa katika lawama. Watamwelewaje majirani? Hivyo ni vema akampatia huduma hukohuko kijijini.
Nashukuru pia kwa kunipatia elimu kuwa mtumiaji wa dawa virus vinakuwa vimelewa sio active, sikuwa na uelewa kuhusu jambo hilo.
 
Una watoto?,usalama wao upo vipi?.kwa kitu cha msingi Kama hicho ulichomwambia kwa huo umri wake alipaswa kukuelewa,kuwa mwangalifu wema wako unaweza kuujutia...
Umewaza kama mimi, huyo achague mawili kama ameshamaliza chuo mwambie akajitegemee au mrudishe kijijini..NAHOFIA KAMA UNA WATOTO WAKO, Unaweza ukawaza mbali kumbe ameshaharibu humo (MUNGU AWALINDE WATOTO WAKO).
 
Mkuu nina watoto,wangu nilishawaelekeza na wanajua kinachoendelea juu ya huyu kijana wangu mpendwa!!Pale nyumbani sidhani,maana wa kike nilienae bado ni mdogo
Mtoto kuwa mdogo haimaanishi anashinwa kufanya huo ushetani, sasa hivi hata wajomba na baba wadogo hawaaminiki. MUWE MAKINI MNO.
 
Na sasa watu wazima ndio wanajua watoto hawana ngoma
hapo ndo wanapata maambukizi bila kujua wametoa wapi, na kama wote wanakimbilia huko ndo wazi wao wako kwenye risk kubwa ya kuambikizwa Zaidi.
 
hapo ndo wanapata maambukizi bila kujua wametoa wapi, na kama wote wanakimbilia huko ndo wazi wao wako kwenye risk kubwa ya kuambikizwa Zaidi.

Kazi ipo, sasa unaeza letewa tu utafanyeje?
 
No: 1 kwenye comment yangu ya kwanza ndilo la msingi, na la pili hata kama umewaeleza watoto wako kwa undani kiasi gani bado wako hatarini kwa sababu huyo kijana wako hakuelewi hata kidogo, hivyo basi hashindwi kuwategeshea chochote au kuona umuhimu wa kuchukua tahadhari hata ya vitu vyake anavyotumia kuviweka vizuri, mfano anaweza kutumia wembe uliomkata na asiutupe akauacha hata juu ya meza, mwanao akaupitia mara moja ukamkata nae, what do u expect?
Akimuudhi sana atawachanja na kuwaambukiza makusudi,mimi ningemtimua ..potelea mbali..unakumbatia nyuki mkuu!
 
Wanawake walingisha matako utawajua tuuu,huyo bwanako atakuwa hajakukojoza kisawasawa.
Akili za hovyo hizi, Mkuu nakuomba usinitafutie Ban mdogo wangu! We kama unamtingishia matako Mod humu we endelea kutingisha, alafu usiuchafue Uzi wa watu, wanaume lijali hawawagi na matusi hivyo kama kina James Delicious hayo mambo waachie kina Rio, Mtoto wa mama na Noel Fashionista
 
Bado anaonekana amekata tamaa. Ndio maana anafanya hayo bila kujali lolote.
 
Akili za hovyo hizi, Mkuu nakuomba usinitafutie Ban mdogo wangu! We kama unamtingishia matako Mod humu we endelea kutingisha, alafu usiuchafue Uzi wa watu, wanaume lijali hawawagi na matusi hivyo kama kina James Delicious hayo mambo waachie kina Rio, Mtoto wa mama na Noel Fashionista
Wewe si umebip,mi napiga tuuu,sasa kama mtu unafikiri kupitia matako yako machafu mimi nikufanyeje? Ukileta ukaoge mvuto lazima chenye ncha kali upenyezewe.Sitaki mchezo.
 
Wewe si umebip,mi napiga tuuu,sasa kama mtu unafikiri kupitia matako yako machafu mimi nikufanyeje? Ukileta ukaoge mvuto lazima chenye ncha kali upenyezewe.Sitaki mchezo.
Unawashwa wewe! Tafuta wa kukuingiza dole tu utaridhika,
 
Asee. Mm kuna mtu naishi nae. Ni muhanga wa hili Tatizo. Ila yy sio kwamba ni kicheche Hapana. Ila Mm nahofiaga tu usalama Wangu. Huwa nawazaga sana.
 
Back
Top Bottom