Nina kijana mdogo ameathirika naishi nae, anagegeda sana vibinti vya watu, nimsaidiaje?

Nina kijana mdogo ameathirika naishi nae, anagegeda sana vibinti vya watu, nimsaidiaje?

Basi mkuu!!Kama nimekosea kuwasilisha ujumbe wangu nisamehewe!!Haikuwa nia mbaya kuuliza ili nipate ushauri

Sijasema umefanya kwa nia mbaya, ila nakutaarifu ujue kwa kuwa muwazi. Kwa haya ni muhimu kupindisha mengine kidogo kidogo, Hata kama ujirani waweza kusema mfano mtaa wa nyuma yako, nyumba ya tano au hivi na vile n.k.. Muhimu ni inayemuhusu akisoma, asione kabisa kuwa ni yeye anaongelewa.

Nafikiri utanielewa nia yangu na itasaidia na mwingine labda.
 
Nahisi huyo kijana hajakuelewa hata kidogo,ulikuwa na lengo zuri la kumsaidia lakini unfortunately anakuona mbaya.
1. Mtafutie mtu wa kum counsel.
2. Watoto wako, wako kwenye mazingira hatarishi sana, haijalishi ni wadogo au wakubwa, wakike au wakiume.
 
Sijasema umefanya kwa nia mbaya, ila nakutaarifu ujue kwa kuwa muwazi. Kwa haya ni muhimu kupindisha mengine kidogo kidogo, Hata kama ujirani waweza kusema mfano mtaa wa nyuma yako, nyumba ya tano au hivi na vile n.k.. Muhimu ni inayemuhusu akisoma, asione kabisa kuwa ni yeye anaongelewa.

Nafikiri utanielewa nia yangu na itasaidia na mwingine labda.
Ohoooo,sasa hadi hapo nimekuelewa,hilo nimelisingatia sana,kuna namna nimeelezea kiasi muhusika hata akisoma hwezi kujua moja kwa moja!!Oooo hapo nimeelewa sasa,na nimezingatia sana mkuu.Usiwe na wasiwasi
 
Wewe uyo asikutawale na nyumba yako! Kumueleza ukweli isiwe sababu ya kununa na kususa kula, kosa lilikua la wazazi wake wewe umefanya msaada wa kuokoa uhai wake, Wema wako kamwe usiruhusu ugeuke kuwa uwadui, huwez kumueleza kila mtu hali ya Afya ya uyo kijana kwa maana ukifanya hivyo ndio utakua unamnyooshea kidole kimoja wakati vi 3 vinakugeukia, ukimchekea huyo hashindwi kutembea hata na watoto wa ndugu zako, cha kufanya waeleze washauri huko hospitali anakochukulia dawa ili wampe ushauri lakini pia kaa nae zungumza nae na umpe masharti kama baba wa nyumba na mtu pekee anayemkuweka mjini mweleze wazi tu kabisa kama akishindwa kubadirika basi utamrudisha alikotoka,and Be serious Mkuu acha kuchekea ujinga huruma za namna hii huleta vilio
 
Nahisi huyo kijana hajakuelewa hata kidogo,ulikuwa na lengo zuri la kumsaidia lakini unfortunately anakuona mbaya.
1. Mtafutie mtu wa kum counsel.
2. Watoto wako, wako kwenye mazingira hatarishi sana, haijalishi ni wadogo au wakubwa, wakike au wakiume.
Sasa nifanyaje mpendwa?Nimrudishe bush?
Hapana,kwa lishe na mazingira ya kule atadhoofu sana kwa afya yake.Mkuu sisi wengine tunatoka vijijini haswaa,nikimrudisha kule hata mwaka sijui kama atabaki na afya yake,sisemi hivyo kwa maana najisifia kwangu nina kila kitu,ila walau namzingatia ktk lishe na kufuata kanuni za dawa.

Watoto wanaelewa sana,nawaeleza kwa undani,nawapa somo na kuwaelimisha;au wewe unaonaje mkuu lin
 
Wewe uyo asikutawale na nyumba yako! Kumueleza ukweli isiwe sababu ya kununa na kususa kula, kosa lilikua la wazazi wake wewe umefanya msaada wa kuokoa uhai wake, Wema wako kamwe usiruhusu ugeuke kuwa uwadui, huwez kumueleza kila mtu hali ya Afya ya uyo kijana kwa maana ukifanya hivyo ndio utakua unamnyooshea kidole kimoja wakati vi 3 vinakugeukia, ukimchekea huyo hashindwi kutembea hata na watoto wa ndugu zako, cha kufanya waeleze washauri huko hospitali anakochukulia dawa ili wampe ushauri lakini pia kaa nae zungumza nae na umpe masharti kama baba wa nyumba na mtu pekee anayemkuweka mjini mweleze wazi tu kabisa kama akishindwa kubadirika basi utamrudisha alikotoka,and Be serious Mkuu acha kuchekea ujinga huruma za namna hii huleta vilio
Nimekuelewa madam LadyAJ
Nilianza kwa pale wanapochukulia dawa.Hao ndio walishauri kuwa wanaweza kumtafutia binti aliyeathirika na anatumia dozi,wakawakutanisha na kuwashauri washirikiane ili wasiende kwa watu wengine
Changamoto ni kuwa,je watapendana au kukubaliana kama ambavyo wangekuwa na wale waliowatafuta wenyewe?Maana si unajua kipenda roho?
Nitazingatia ushauri wako na hiyo tahadhari
 
Duh mkuu nitake radhi, mm nakaribia kustafu ajira hapa. Siwezi fanya huo ushenzi, ni mdogo wa mke wa jirani alizaliwa nao sasa ameshavunja ungo na anagawa kwa hawa vijana wa form2,3 na kanajijua hatari sana
Kama unasema ukwrli hongera sana,ila nijuavyo mimi umri ukisogea kwa mwanaume ndo anataman na kutaka vidogo vidogo,suala la kustaafu siyo isue mkuu.
 
Sasa nifanyaje mpendwa?Nimrudishe bush?
Hapana,kwa lishe na mazingira ya kule atadhoofu sana kwa afya yake.Mkuu sisi wengine tunatoka vijijini haswaa,nikimrudisha kule hata mwaka sijui kama atabaki na afya yake,sisemi hivyo kwa maana najisifia kwangu nina kila kitu,ila walau namzingatia ktk lishe na kufuata kanuni za dawa.
Watoto wanaelewa sana,nawaeleza kwa undani,nawapa somo na kuwaelimisha;au wewe unaonaje mkuu lin
No: 1 kwenye comment yangu ya kwanza ndilo la msingi, na la pili hata kama umewaeleza watoto wako kwa undani kiasi gani bado wako hatarini kwa sababu huyo kijana wako hakuelewi hata kidogo, hivyo basi hashindwi kuwategeshea chochote au kuona umuhimu wa kuchukua tahadhari hata ya vitu vyake anavyotumia kuviweka vizuri, mfano anaweza kutumia wembe uliomkata na asiutupe akauacha hata juu ya meza, mwanao akaupitia mara moja ukamkata nae, what do u expect?
 
Wewe uyo asikutawale na nyumba yako! Kumueleza ukweli isiwe sababu ya kununa na kususa kula, kosa lilikua la wazazi wake wewe umefanya msaada wa kuokoa uhai wake, Wema wako kamwe usiruhusu ugeuke kuwa uwadui, huwez kumueleza kila mtu hali ya Afya ya uyo kijana kwa maana ukifanya hivyo ndio utakua unamnyooshea kidole kimoja wakati vi 3 vinakugeukia, ukimchekea huyo hashindwi kutembea hata na watoto wa ndugu zako, cha kufanya waeleze washauri huko hospitali anakochukulia dawa ili wampe ushauri lakini pia kaa nae zungumza nae na umpe masharti kama baba wa nyumba na mtu pekee anayemkuweka mjini mweleze wazi tu kabisa kama akishindwa kubadirika basi utamrudisha alikotoka,and Be serious Mkuu acha kuchekea ujinga huruma za namna hii huleta vilio
Wanawake bana ,ushaanza mambo ya kukutawala,nyumba yakoooo,blah blahhhh,,nyumba yake ye konokono?
 
Mpeleke kwa wataalamu wa saikolojia ya elimu na kunasihi akapate elimu na ushauri nasaha, hata hivyo kwa umri wake huyo kijana nadhani bado hajapata exposure ktk maisha ukizingatia ametokea maeneo ya kijijini
 
Nenda kamripoti ajulikane,kama umempa ushauri na amejibu jeuri mrudishe ulipomtoa usikae nae kwako maana raia wakimstukia kuwa anaambukiza maksudi kitakachomuondoa sio ugonjwa tena ni sheria mkononi.
 
Wanawake bana ,ushaanza mambo ya kukutawala,nyumba yakoooo,blah blahhhh,,nyumba yake ye konokono?
Watu msiokua na Nyumba mjini mnashida sana! Mnadhani kila muda mnasemwa nyie tu, nini kono kono hata Kobe ananyumba sembuse wewe unayelala stoo chumba hicho hicho jiko hilo hilo-sebule huyo hiyo, ndo maana mnashindwa hata kuwaleta wazazi wenu wakanyage barabara za lami maana mnawaza watalala wapi! Badala ya kupoteza Muda kujibu ushauri wanaotoa wenzio, ingekua vyema wewe ukampa ushauri wako unaofaa
 
Watu msiokua na Nyumba mjini mnashida sana! Mnadhani kila muda mnasemwa nyie tu, nini kono kono hata Kobe ananyumba sembuse wewe unayelala stoo chumba hicho hicho jiko hilo hilo-sebule huyo hiyo, ndo maana mnashindwa hata kuwaleta wazazi wenu wakanyage barabara za lami maana mnawaza watalala wapi! Badala ya kupoteza Muda kujibu ushauri wanaotoa wenzio, ingekua vyema wewe ukampa ushauri wako unaofaa
Tusifike huko Madam...Turudi kwenye mada
 
ni muda wa kumrudisha kwao...
Huyu kijana akirudishwa kwao ndio atazidi kuambukiza kama kuwakomoa wengine, inaonekana ameshakata tamaa, na hivi anaishi town basi akifika kijijini videmu vitamshobokea balaa. Ni afadhali abakie naye amtafutie washauri wa saikolojia wamsaidie.
 
Huyu kijana akirudishwa kwao ndio atazidi kuambukiza kama kuwakomoa wengine, inaonekana ameshakata tamaa, na hivi anaishi town basi akifika kijijini videmu vitamshobokea balaa. Ni afadhali abakie naye amtafutie washauri wa saikolojia wamsaidie.
Tatizo akibaki nae humo ndani ukimwi wataupata sababu hajajielewa na ni jeuri...huo umri wake ni umri damu inachemka...anaweza tembea na housegal humo ndn..au anaweza ht ambukiza kwa makusudi kwa jinsi akili yakw nnavyoiona..mimi naona bora ampe mtaji akakae kijijin afanye kazi akirudi mjini arudi kivyake na akakae kwake....huyo sio ndg yake wa damu kusema anamshikilia no mattter what..mtu hasaidiki..
Huyo anweza leta maafa kwa familia au ukoo.mana kutakua na vibinti huko anaweza tembea nao....
 
anao wagawia nao wanagawa jamani kuweni na huruma mtakuja gawia na ndugu zenu ooooohoooo!
 
Back
Top Bottom