Nina kijana mdogo ameathirika naishi nae, anagegeda sana vibinti vya watu, nimsaidiaje?

Nina kijana mdogo ameathirika naishi nae, anagegeda sana vibinti vya watu, nimsaidiaje?

Mkuu nina watoto,wangu nilishawaelekeza na wanajua kinachoendelea juu ya huyu kijana wangu mpendwa!!Pale nyumbani sidhani,maana wa kike nilienae bado ni mdogo

Binadamu ni zaidi ya mnyama ndugu, chunga sana.
 
Endelea kumfanyia ushauri nasaha kila unapopata muda na kushiriki nae kwenye matamasha ya mafunzo ya UKIMWI. tafuata video za mafunzo mbalimbali kuhusu kujamiiana na magonjwa ya zinaa. Ushauri huwa haukomi hasa kwa gonjwa hili hivyo usikate tamaaa...
 
Bora ungekaa kimya tu
AISEE HUYU HATA AKIRUDISHWEA KIJIJINI ATAENDA KUUA WANAKIJIJI WENZIE ...
HATA HIVRO NI HAKI YAKE YA MSINGI ILA AJARIBU KUMPELEKA KWA WANAUSHAURI NASAHA ILI WAMSHAURI MAANA WALE WANA UTAALAM WA KUONGEA NA HAWA WENZETU
 
Nimekuelewa madam LadyAJ
Nilianza kwa pale wanapochukulia dawa.Hao ndio walishauri kuwa wanaweza kumtafutia binti aliyeathirika na anatumia dozi,wakawakutanisha na kuwashauri washirikiane ili wasiende kwa watu wengine
Changamoto ni kuwa,je watapendana au kukubaliana kama ambavyo wangekuwa na wale waliowatafuta wenyewe?Maana si unajua kipenda roho?
Nitazingatia ushauri wako na hiyo tahadhari

Unajua kuna aina nafikiri mbili za wadudu wa ukimwi? mfano A akutane kulala na B..huyo kama alikuwa aishi miaka mingi basi ni itafupika sanaaa. Bora hata wakutanao wawe wote A na ile aina moja wanavyoumwa, hivyo kwa wengi wanaojipenda kinga hawaiachi labda wawe wanajijua n.k

Wataalamu watajua zaidi.
 
huyu hata ukimpeleka kijijini atauwa wanakijiji wenzie
na tatizo hapo nadhani kwanza ni umri wa kugegeda ukifika genye lazma zikusumbue ...

nadhani ungeongea na washauri nasaha ili wamshaurii na kumshauri na kumshauri mpaka aelewe athar za kugegeda akiwa tayari ameathirika... na ajue pia athar za kuwaambukiza wenzie '
inawezekana ule ujumbe hukuufikisha kitaalam ndo maana akakuchukulia kama umemnyanyapaa.. usichoke na wala usimnyanyapae kuna mahali kuna baba mtu namfahamu , tangu namfahamu 2013 hajawahi hata kupata mafua malaria wala nini... japokuwa hapo nyuma aliugua sana mpaka akabakia mifupa na ngozi baada ya mkewe kufariki!!! akaanza kutumia arv, akasimama afya ikarudi ..sasa akawa anawaambukiza wanawake kwa makusudi lakini pia afya yake ikawa inayumba akaaendelea na umalaya na pombe akawa ni wa kuugua ugua kila mara ... lakini sasa washauri nasaha wakamshauri na kumshauri na kumshauri weee... akaacha kusex hovyo akapata mwenza aliye sawa na yeye na ameacha pombe! walahi ukimuona hutawahi kujua anangoma anachapa kazi kama kichaa......... na mzima wa afya hakuna mafua homa wala kikohozi na umalaya kapunguza kabisa
 
Mkuu nina watoto,wangu nilishawaelekeza na wanajua kinachoendelea juu ya huyu kijana wangu mpendwa!!Pale nyumbani sidhani,maana wa kike nilienae bado ni mdogo
Huyo huyo mtoto mdogo uliyenaye ataweza kusababisha madhara kwake. Nadhani pia ni vizuri ukaenda naye kwa huyo doctor uliyesema ili nayeye ampe ushauri na pia kama ni kumtafutia basi wamtafutie kuliko kuendelea kueneza huko mtaani maana huwezi jua labda anakula sahani moja na hao wanao wa kiume
 
mnunulie box la condom mpe halafu mwambie maisha lazimayaendelee
 
Watu msiokua na Nyumba mjini mnashida sana! Mnadhani kila muda mnasemwa nyie tu, nini kono kono hata Kobe ananyumba sembuse wewe unayelala stoo chumba hicho hicho jiko hilo hilo-sebule huyo hiyo, ndo maana mnashindwa hata kuwaleta wazazi wenu wakanyage barabara za lami maana mnawaza watalala wapi! Badala ya kupoteza Muda kujibu ushauri wanaotoa wenzio, ingekua vyema wewe ukampa ushauri wako unaofaa
Aisee,unatia huruma,mimi sina nyumba mjini,,,mimi aseee pole sana.Kama unabisha twende pm ,nikulete kwangu ukae kwa siku utakazo taka kila kitu kwangu ili uyakane maneno yako aseee.
 
Aisee,unatia huruma,mimi sina nyumba mjini,,,mimi aseee pole sana.Kama unabisha twende pm ,nikulete kwangu ukae kwa siku utakazo taka kila kitu kwangu ili uyakane maneno yako aseee.
Wajinga utawajua tu! Hahahaa Jadili mada wewe kujitangaza huko vipiii acha ulimbuken alafu utakuta wewe ni mwanaume sasa!! Kha?? Kweli Tanzania kwa sasa tuna uhaba wa wanaume wenye akili za kiume
 
Ukiona hivyo mkuu ujue limempata,,hajui anachoongea.
Nani asiyejua anachoongea? Mkuu wewe una akili za hovyo sana, umekuja umekuta mimi nimempa ushauri jamaa, mlengwa ameupokea na kuahidi kuufanyia kazi ila wewe kilukanjia umeona usipite hivi hivi bila kufanya ulichofanya, hebu usinipotezee Muda Zee zima lina mambo ya kitoto [emoji19] [emoji19] hovyoo
 
Aisee,unatia huruma,mimi sina nyumba mjini,,,mimi aseee pole sana.Kama unabisha twende pm ,nikulete kwangu ukae kwa siku utakazo taka kila kitu kwangu ili uyakane maneno yako aseee.
Rudi darasani ukaondoe ujinga kwanza
Aisee -I see
Aseee-I see
Aisee,unatia huruma,mimi sina nyumba mjini,,,mimi aseee pole sana.Kama unabisha twende pm ,nikulete kwangu ukae kwa siku utakazo taka kila kitu kwangu ili uyakane maneno yako aseee.
 
Wajinga utawajua tu! Hahahaa Jadili mada wewe kujitangaza huko vipiii acha ulimbuken alafu utakuta wewe ni mwanaume sasa!! Kha?? Kweli Tanzania kwa sasa tuna uhaba wa wanaume wenye akili za kiume
Leo umepatikana kweli,,,wewe si ndo ulianzisha utumbo,ulitaka nisikujibu siyo! Hapa huchomoki,,taja elimu yako na mimi nitaje yangu na tuambatanishe na vyeti kama hujaomba pooo.Mtu mzima hovyoo.Kachambe kwanza mwehu wee,nyie ndo mnaoneshaonesha matako mtafikiri kila mwanamme anapenda huo uchafu.Utakuwa wa Mbeya weweee.
 
Nani asiyejua anachoongea? Mkuu wewe una akili za hovyo sana, umekuja umekuta mimi nimempa ushauri jamaa, mlengwa ameupokea na kuahidi kuufanyia kazi ila wewe kilukanjia umeona usipite hivi hivi bila kufanya ulichofanya, hebu usinipotezee Muda Zee zima lina mambo ya kitoto [emoji19] [emoji19] hovyoo
Kiluka njia ndo nini sasa wee changudoa? Unatafuta bwana eeeee.
 
Nani asiyejua anachoongea? Mkuu wewe una akili za hovyo sana, umekuja umekuta mimi nimempa ushauri jamaa, mlengwa ameupokea na kuahidi kuufanyia kazi ila wewe kilukanjia umeona usipite hivi hivi bila kufanya ulichofanya, hebu usinipotezee Muda Zee zima lina mambo ya kitoto [emoji19] [emoji19] hovyoo
Weee kidampa unanijua mimi? Kalale kama huna bwana ,jichue wewe ,umechina
 
Back
Top Bottom