Nina kinyongo na chuki kali sana. Je, hili ni tatizo?

Nina kinyongo na chuki kali sana. Je, hili ni tatizo?

Mimi ni mtu mwenye kinyongo kikali na mtu akinitendea ubaya nina tatizo la kumuweka moyoni miaka hata ipite miaka kumi.

Baba yangu ni mtu mwenye imani sana ya dini na huwa ananishauri sana kuwa niwe mtu wa kusamehe lakini mimi huwa nashindwa kusamehe yaani mpaka nihakikishe nimelipa kisasi au nisikie adui yangu katoweka duniani ndipo roho yangu hutulia.

Kwa mfano juzi nilienda kutoa pesa kwa wakala kiasi kidogo tu baada ya kutoa ile pesa yule wakala aligoma kabisa kunipa pesa yangu kwa kigezo kwamba hajaiona meseji. Aisee mpaka sasa roho yangu inanihimiza nimfanyie kitu kibaya yule wakala japokuwa watu wananishauri niachane nae tu.
Angalia sana hali yako hiyo isijekutupa jela maisha.
 
Mimi ni mtu mwenye kinyongo kikali na mtu akinitendea ubaya nina tatizo la kumuweka moyoni miaka hata ipite miaka kumi.

Baba yangu ni mtu mwenye imani sana ya dini na huwa ananishauri sana kuwa niwe mtu wa kusamehe lakini mimi huwa nashindwa kusamehe yaani mpaka nihakikishe nimelipa kisasi au nisikie adui yangu katoweka duniani ndipo roho yangu hutulia.

Kwa mfano juzi nilienda kutoa pesa kwa wakala kiasi kidogo tu baada ya kutoa ile pesa yule wakala aligoma kabisa kunipa pesa yangu kwa kigezo kwamba hajaiona meseji. Aisee mpaka sasa roho yangu inanihimiza nimfanyie kitu kibaya yule wakala japokuwa watu wananishauri niachane nae tu.
Bro jifunze kusamehe upunguze mizigo ya kutembea nayo!
Kusamehe kuna raha sana na kwa uzoefu wangu pia kunaleta baraka na amani ya moyo.
 
Mtu wa hivi Umgongee mke wake alafu awafumanie...

Nyie ndio Mkifa mnaanza kusumbua watu na Mizimu yenu.. Watu hawabaki na Amani.
 
Mimi ni mtu mwenye kinyongo kikali na mtu akinitendea ubaya nina tatizo la kumuweka moyoni miaka hata ipite miaka kumi.

Baba yangu ni mtu mwenye imani sana ya dini na huwa ananishauri sana kuwa niwe mtu wa kusamehe lakini mimi huwa nashindwa kusamehe yaani mpaka nihakikishe nimelipa kisasi au nisikie adui yangu katoweka duniani ndipo roho yangu hutulia.

Kwa mfano juzi nilienda kutoa pesa kwa wakala kiasi kidogo tu baada ya kutoa ile pesa yule wakala aligoma kabisa kunipa pesa yangu kwa kigezo kwamba hajaiona meseji. Aisee mpaka sasa roho yangu inanihimiza nimfanyie kitu kibaya yule wakala japokuwa watu wananishauri niachane nae tu.
Kisasi ndio mpango mzima wewe. Mtoto mdogo ukimkanya anaacha mara moja upumbavu wake. Jitu zima linakanywa kila siku na bado halielewi, sasa mtu kama huyu ukimlipua ni sawasawa kabisa
 
Back
Top Bottom