Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,546
- 2,983
Jamaa alikuwa baa story zikachanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Carrier ya prado by means of what? kz ina maana gani?Engine ya tu ya prado mfano 1kz ni 4-4.5m, chasis tuu hupati kwa hiyo hela labda ununue carrier ya prado na hiyo hela
Watakuja wahusika tulia...Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.
Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
Nasubiri!Watakuja wahusika tulia...
Sijawahi kuona binti hapa DSM anasukuma prado isipokuwa wanawake wazee, tena nao wa kuhesabu.usione magari tu yanatembea road watoto wadogo, mabinti wanasukuma prado tx 2020 ukadhani ilikua sacrifice ndogo., wengine mpaka kupata gari wamejibana mpaka wamepata vidonda vya tumbo.. ila pia wengine wametoa mpaka tigo au kula kinyesi cha waarabu ndo unaona wanavimba na v8
kwaio nachosema sio mbaya kuweka nia, ila kuweka nia kwenye vitu visikuwa realistic( laki 9) kitakuumiza zaidi. otherwise ongeza juhudi one day yes.
Mkuu soma comments zote yenye msaada chukua yenye kubeza ipuuzie ukianza kuongea utaleta ubishi usio na mantiki.Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.
Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
Tena laki tisa yenyewe hana, yaani ndio kwanza anadunduliza, hakuna uhakika kama atapata au laa. [emoji23][emoji23]Imebidi nicheke Kwanza [emoji28][emoji28]
Una 900k alafu unataka Prado uvimbe nalo mtaani,umechoka usafiri wa udhalilishaji daladala [emoji28][emoji28]...Yani si Tu kwamba unataka kigari chochote cha bei rahisi km stallet,Bali wewe unataka Prado Kwa laki 9 hahaha..labda Prado la matope ndy utauziwa ukarikarabati
Laki Tisa hii take home ya House girl haupo serious
Hiyo laki 9 unakula PRADO nzuri tu na chenji inabakiHabari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.
Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).
Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.
NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.
Karibuni sana!
punguza bang sio mda utakuwa kichaaHabari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.
Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).
Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.
NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.
Karibuni sana!
Hataki Benz, anataka scraper ya Prado new model, kwa laki tisa,Mkuu mtafute Sossi magari Instagram, hata Benzi ya elfu hamsini utapata.
Mkuu acha matusi wewe mwenyewe umebainisha kuwa kama kuna MTU ana scarpa ya Prado au anayeweza kukuelekeza.So,majibu ya wadau yame base katika maombi yako hayo mawili.Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.
Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.