Nina laki 9, nahitaji skrepa ya Prado niikarabati

Nina laki 9, nahitaji skrepa ya Prado niikarabati

Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.

Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
Watakuja wahusika tulia...
 
usione magari tu yanatembea road watoto wadogo, mabinti wanasukuma prado tx 2020 ukadhani ilikua sacrifice ndogo., wengine mpaka kupata gari wamejibana mpaka wamepata vidonda vya tumbo.. ila pia wengine wametoa mpaka tigo au kula kinyesi cha waarabu ndo unaona wanavimba na v8

kwaio nachosema sio mbaya kuweka nia, ila kuweka nia kwenye vitu visikuwa realistic( laki 9) kitakuumiza zaidi. otherwise ongeza juhudi one day yes.
 
usione magari tu yanatembea road watoto wadogo, mabinti wanasukuma prado tx 2020 ukadhani ilikua sacrifice ndogo., wengine mpaka kupata gari wamejibana mpaka wamepata vidonda vya tumbo.. ila pia wengine wametoa mpaka tigo au kula kinyesi cha waarabu ndo unaona wanavimba na v8

kwaio nachosema sio mbaya kuweka nia, ila kuweka nia kwenye vitu visikuwa realistic( laki 9) kitakuumiza zaidi. otherwise ongeza juhudi one day yes.
Sijawahi kuona binti hapa DSM anasukuma prado isipokuwa wanawake wazee, tena nao wa kuhesabu.
 
Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.

Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
Mkuu soma comments zote yenye msaada chukua yenye kubeza ipuuzie ukianza kuongea utaleta ubishi usio na mantiki.
 
Imebidi nicheke Kwanza [emoji28][emoji28]

Una 900k alafu unataka Prado uvimbe nalo mtaani,umechoka usafiri wa udhalilishaji daladala [emoji28][emoji28]...Yani si Tu kwamba unataka kigari chochote cha bei rahisi km stallet,Bali wewe unataka Prado Kwa laki 9 hahaha..labda Prado la matope ndy utauziwa ukarikarabati
Tena laki tisa yenyewe hana, yaani ndio kwanza anadunduliza, hakuna uhakika kama atapata au laa. [emoji23][emoji23]
 
Habari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.

Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).

Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.

NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.

Karibuni sana!
Hiyo laki 9 unakula PRADO nzuri tu na chenji inabaki
 

Attachments

  • don_thickiswa__20200705_123309_0.jpg
    don_thickiswa__20200705_123309_0.jpg
    83.6 KB · Views: 38
Habari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.

Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).

Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.

NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.

Karibuni sana!
punguza bang sio mda utakuwa kichaa
 
Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.

Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
Mkuu acha matusi wewe mwenyewe umebainisha kuwa kama kuna MTU ana scarpa ya Prado au anayeweza kukuelekeza.So,majibu ya wadau yame base katika maombi yako hayo mawili.
 
Back
Top Bottom