kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
- Thread starter
- #41
Siyo kila muda unaleta masihara. Lugha ya uzi inajieleza. Nina shida tajwa hapo juu mkuu. Note that!punguza bang sio mda utakuwa kichaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kila muda unaleta masihara. Lugha ya uzi inajieleza. Nina shida tajwa hapo juu mkuu. Note that!punguza bang sio mda utakuwa kichaa
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kila la kheri...
Hata body ya vits hupatiHabari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.
Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).
Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.
NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.
Karibuni sana!
bas saw ila ipo siku utaukumbuka ushaur wngSiyo kila muda unaleta masihara. Lugha ya uzi inajieleza. Nina shida tajwa hapo juu mkuu. Note that!
Nadhani alikuwa anataka iende jukwaa la jokes ikaja hukuHiyo pesa mwagilia moyo.
akili mtu wangu
Wapi huko wanauza 1KZ 4.5m ? Maana zipo za aina mbili Intercooled na isio na intercooler...Engine ya tu ya prado mfano 1kz ni 4-4.5m, chasis tuu hupati kwa hiyo hela labda ununue carrier ya prado na hiyo hela
Kesho nenda Tandale wanapokata magari ma prado yapo kibao..mkuuMpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.
Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
naomba umuulize anataka screpa la prado la kwenye game gan?? Gta au vice city? San andreas au need for speedDj mlete na amapiano.
Mpaka muda huu sielewi kama wewe ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado wewe unatumbua tu macho na maelezo yako hayo ya kipuuzi.Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.
Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Screpa una maana gani?Habari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.
Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).
Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.
NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.
Karibuni sana!
Hujaeleweka.Hiyo pesa mwagilia moyo.
akili mtu wangu
Isiyo na inter cooler ndiyo inakuwaje?!Wapi huko wanauza 1KZ 4.5m ? Maana zipo za aina mbili Intercooled na isio na intercooler...