Nina laki 9, nahitaji skrepa ya Prado niikarabati

Nina laki 9, nahitaji skrepa ya Prado niikarabati

Mpaka muda huu sielewi kama wewe ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado wewe unatumbua tu macho na maelezo yako hayo ya kipuuzi.

Hivi WaTZ mmerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili imelala mno, na uchakataji wako wa taarifa ni 'very poor'.
Nilitegemea hili, jiwe la gizani hilo naona walengwa mmeanza kutoa milio.
 
Nilitegemea hili, jiwe la gizani hilo naona walengwa mmeanza kutoa milio.
Mpaka muda huu sielewi kama Wewe ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado unatumbua tu macho na vijembe ivyo vya kipuuzi.

Hivi Watz mmerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
 
Laki Tisa hii take home ya House girl haupo serious
 
Labda rim zake utapata tena zilizotumika. Alafu wewe ni msomi eti? Huyajui vizuri magari sio!
 
Boss, kwanini iyo mia 9 usingenunua Bodaboda tu ukaitumia kwa usafiri kama lengo ni kukwepa “kero” ya public transport.

Sijakukejeri pesa yako kubwa lakini nawaza kupata hiyo Prado, gharama za kuirepair, na uendeshaji wake, itakua bei juu.

Turudi kwenye topic: Jaribu tembelea sehemu zenye wanachinja magari au magereji kuna magari yaliopata ajali.
Kwanini usimwambie ukweli tu.
 
Nenda maeneo ya tandale utafanikiwa, maduka ya vifaa vya magari aina zote zipo na hilo unalo hitaji utaelekezwa. Ni wazee wa kukata kata magari na kuuza spaer au chuma chakavu.
 
Ngoja nami nitoe maoni yangu japo naweza nisiwe sahihi.

Mleta uzi huenda anamiliki prado ama kuna mtu wake wa karibu anamiliki prado, hivyo ameanzisha huu uzi kwa lengo moja kati ya yafuatayo.

1. Kufikia huo mwezi wa 10 atakuja hapa na kutuaminisha kwamba amepata na tayari ameipeleka hiyo skrepa gereji. Hapa wapenda mseleleko wataingia king kisha jambo la pili lichukue nafasi.

2. Akishaleta uzi wake humu atawaambia amepata chimbo lenye mazaga ya bei nafuu, watu watajaa PM kisha kupiga kutaanzia hapo kisha atabadili ID na kuiacha hii. Hapo watu wameshalizwa tayari.

Kwa akili ya kawaida hauwezi kutafuta laki tisa kwa zaidi ya miezi 5 kisha utafute kununua gari uende ukaikarabati wakati kuna pikipiki za bei hiyo kwa watu.

Mwisho kabisa, labda ameamua kujifurahisha kwa kusoma maoni yatakayotolewa humu
 
Habari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.

Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).

Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.

NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.

Karibuni sana!
Loh
 
Ngoja nami nitoe maoni yangu japo naweza nisiwe sahihi.

Mleta uzi huenda anamiliki prado ama kuna mtu wake wa karibu anamiliki prado, hivyo ameanzisha huu uzi kwa lengo moja kati ya yafuatayo.

1. Kufikia huo mwezi wa 10 atakuja hapa na kutuaminisha kwamba amepata na tayari ameipeleka hiyo skrepa gereji. Hapa wapenda mseleleko wataingia king kisha jambo la pili lichukue nafasi.

2. Akishaleta uzi wake humu atawaambia amepata chimbo lenye mazaga ya bei nafuu, watu watajaa PM kisha kupiga kutaanzia hapo kisha atabadili ID na kuiacha hii. Hapo watu wameshalizwa tayari.

Kwa akili ya kawaida hauwezi kutafuta laki tisa kwa zaidi ya miezi 5 kisha utafute kununua gari uende ukaikarabati wakati kuna pikipiki za bei hiyo kwa watu.

Mwisho kabisa, labda ameamua kujifurahisha kwa kusoma maoni yatakayotolewa humu
Totally wrong
 
Hiyo itakuwa gari au kituko?! Gharama za kufufua gari kutoka skeleton level hadi kuwa gari ya kutumika kwa hali ya sasa kuanzua ufundi+spare parts, rangi, hadi ikae sawa utakuta umelipa milioni 5 ama zaidi.

Milioni 5 unapata Passo iliyo katika hali nzuri sana, vits nzuri sana, Suzuki swift safi kabisa, Nissan March nzuri kabisa, Carina T. I, Colora 111 na 110, kwa kifupi kwa level hizo utapata list kubwa ya gari ambazo utatumia vizuri tu na utasolve changamoto yako ya kukosa usafiri.

Labda nikwambie kitu gari haununui kwasababu una pesa nyingi ila unanunua kwasababu unahitaji usafiri. So jitoe babu.
 
Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.

Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
Wewe unaelewa maana ya scrape au unaongea tu hapa. Umesema unataka scape ya Prado watu wameelewa kuwa wewe unashida ya kutaka utelezi wa kupata mabaki ya gari uunde yako.

Kukusaidia wamekwambia hilo halitawezekana hiyo hela yako laki 9 inaweza ishia katika kuwalipa mafundi kukuwekea parts kwenye hiyo gari. Ila sio kuifanya iwe kamili.
 
usione magari tu yanatembea road watoto wadogo, mabinti wanasukuma prado tx 2020 ukadhani ilikua sacrifice ndogo., wengine mpaka kupata gari wamejibana mpaka wamepata vidonda vya tumbo.. ila pia wengine wametoa mpaka tigo au kula kinyesi cha waarabu ndo unaona wanavimba na v8

kwaio nachosema sio mbaya kuweka nia, ila kuweka nia kwenye vitu visikuwa realistic( laki 9) kitakuumiza zaidi. otherwise ongeza juhudi one day yes.
Kabisa. Ukiona mtu anaendesha hata Passo hapa mjini asiee mpe heshima yake ni zaidi ya baba mwenye nyumba. Yaani hapo amesacrifice mambo mengi sana kuweka kwenye gari.

Gari ni zaidi ya kuwa na mke na familia. Ukiona mtu ana gari na hana mke na familia jua ni maamuzi yake binafsi sio kwamba ameshindwa.
 
Back
Top Bottom