Nina laki 9, nahitaji skrepa ya Prado niikarabati

Hata body ya vits hupati
 
Engine ya tu ya prado mfano 1kz ni 4-4.5m, chasis tuu hupati kwa hiyo hela labda ununue carrier ya prado na hiyo hela
Wapi huko wanauza 1KZ 4.5m ? Maana zipo za aina mbili Intercooled na isio na intercooler...
 
Kesho nenda Tandale wanapokata magari ma prado yapo kibao..mkuu
 
Mpaka muda huu sielewi kama wewe ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado wewe unatumbua tu macho na maelezo yako hayo ya kipuuzi.

Hivi WaTZ mmerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili imelala mno, na uchakataji wako wa taarifa ni 'very poor'.
 
Screpa una maana gani?
Body ya gari lililopata ajali au body nzima.
Kwa taarifa yako body za gari ni ghali sana, laki tisa hata mlango used hupati.
 
Msimkatishe tamaa hivyo mwenzenu, mwacheni atafute mwenye nao watafikia bei hata akianza na steering iko poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…