kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
- Thread starter
-
- #61
Nilitegemea hili, jiwe la gizani hilo naona walengwa mmeanza kutoa milio.Mpaka muda huu sielewi kama wewe ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado wewe unatumbua tu macho na maelezo yako hayo ya kipuuzi.
Hivi WaTZ mmerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili imelala mno, na uchakataji wako wa taarifa ni 'very poor'.
Mpaka muda huu sielewi kama Wewe ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado unatumbua tu macho na vijembe ivyo vya kipuuzi.Nilitegemea hili, jiwe la gizani hilo naona walengwa mmeanza kutoa milio.
Naomba unipe details chache tu za bei za bodies na frames plus suspension systems(basic).Screpa una maana gani?
Body ya gari lililopata ajali au body nzima.
Kwa taarifa yako body za gari ni ghali sana, laki tisa hata mlango used hupati.
Nilihitaji body ya gari iliyopata ajali kutokana na hela yangu, nitainyoosha.Screpa una maana gani?
Body ya gari lililopata ajali au body nzima.
Kwa taarifa yako body za gari ni ghali sana, laki tisa hata mlango used hupati.
Jinsia gani wewe?Msimkatishe tamaa hivyo mwenzenu, mwacheni atafute mwenye nao watafikia bei hata akianza na steering iko poa
Wewe ndio wa kusema hivi?Laki Tisa hii take home ya House girl haupo serious
Laki Tisa hii take home ya House girl haupo serious
Laki Tisa hii take home ya House girl haupo serious
Kwanini usimwambie ukweli tu.Boss, kwanini iyo mia 9 usingenunua Bodaboda tu ukaitumia kwa usafiri kama lengo ni kukwepa “kero” ya public transport.
Sijakukejeri pesa yako kubwa lakini nawaza kupata hiyo Prado, gharama za kuirepair, na uendeshaji wake, itakua bei juu.
Turudi kwenye topic: Jaribu tembelea sehemu zenye wanachinja magari au magereji kuna magari yaliopata ajali.
Yes!Labda rim zake utapata tena zilizotumika. Alafu wewe ni msomi eti? Huyajui vizuri magari sio!
LohHabari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.
Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).
Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.
NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.
Karibuni sana!
Totally wrongNgoja nami nitoe maoni yangu japo naweza nisiwe sahihi.
Mleta uzi huenda anamiliki prado ama kuna mtu wake wa karibu anamiliki prado, hivyo ameanzisha huu uzi kwa lengo moja kati ya yafuatayo.
1. Kufikia huo mwezi wa 10 atakuja hapa na kutuaminisha kwamba amepata na tayari ameipeleka hiyo skrepa gereji. Hapa wapenda mseleleko wataingia king kisha jambo la pili lichukue nafasi.
2. Akishaleta uzi wake humu atawaambia amepata chimbo lenye mazaga ya bei nafuu, watu watajaa PM kisha kupiga kutaanzia hapo kisha atabadili ID na kuiacha hii. Hapo watu wameshalizwa tayari.
Kwa akili ya kawaida hauwezi kutafuta laki tisa kwa zaidi ya miezi 5 kisha utafute kununua gari uende ukaikarabati wakati kuna pikipiki za bei hiyo kwa watu.
Mwisho kabisa, labda ameamua kujifurahisha kwa kusoma maoni yatakayotolewa humu
Wewe unaelewa maana ya scrape au unaongea tu hapa. Umesema unataka scape ya Prado watu wameelewa kuwa wewe unashida ya kutaka utelezi wa kupata mabaki ya gari uunde yako.Mpaka muda huu sielewi kama Watanzania wengi ni mbumbumbu au la! Mada ni rahisi na ipo wazi mno, "nahitaji kwa mwenye kujua mahali wanauza skrepa za prado anielekeze" , ila bado watu wanatumbua tu macho na maswali ya kipuuzi.
Hivi WaTZ wamerogwa na nani? Au ulaji wa ugali ni chanzo? Yaani akili zimelala mno, na uchakataji wa taarifa ni 'very poor'.
Kabisa. Ukiona mtu anaendesha hata Passo hapa mjini asiee mpe heshima yake ni zaidi ya baba mwenye nyumba. Yaani hapo amesacrifice mambo mengi sana kuweka kwenye gari.usione magari tu yanatembea road watoto wadogo, mabinti wanasukuma prado tx 2020 ukadhani ilikua sacrifice ndogo., wengine mpaka kupata gari wamejibana mpaka wamepata vidonda vya tumbo.. ila pia wengine wametoa mpaka tigo au kula kinyesi cha waarabu ndo unaona wanavimba na v8
kwaio nachosema sio mbaya kuweka nia, ila kuweka nia kwenye vitu visikuwa realistic( laki 9) kitakuumiza zaidi. otherwise ongeza juhudi one day yes.
Unaishi wilaya gani huko muleba vijijini?Sijawahi kuona binti hapa DSM anasukuma prado isipokuwa wanawake wazee, tena nao wa kuhesabu.
Nipo DSM kinondoniUnaishi wilaya gani huko muleba vijijini?