Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Indeed, we need just to pray for our nation and hope for the best. Our nation is bigger than our ego
Our nation is bigger than our ego[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534][emoji1534][emoji1534]
 
Huyu Mangungo alikuwa chifu wa kabila gani

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Nchi inaongozwa na top management ya TISS wakishirikiana na viongozi wa majeshi baada ya kuona mama hana uwezo.
Katiba imewabana kuwa mama awe Rais ivyo hakuna namna
 
Yaani Tozo juu ya Tozo na mama anaona sawa tuu wananchi wake wakiumia hivyo daah kweli siamini kama mzazi kutufanyia hivyo maana najua Mwiguru hawezi kutoa ushauri mzuri kwetu zaidi ya kutuumiza tu..
 
Nchi inaongozwa na top management ya TISS wakishirikiana na viongozi wa majeshi baada ya kuona mama hana uwezo.
Katiba imewabana kuwa mama awe Rais ivyo hakuna namna
Haiwezi kuwa compromised?
 
Usilete fitina !

Huwezi ku-concludes jambo kupitia mchango wa mtu mmoja au wachache!

So far kila mtu anayo haki ya Uhuru wa kutoa maoni yake bila kujali jinsia yake!
Sijahitimisha kwa kuzingatia mchango wa mtu mmoja. Nina data nyingi na nakutana na wengi haswa wanawake wengi
 
Usiwe mbinafsi, wahurumie watu kama kina Mboe waliko wapate haki zao kwa wakati!
Mbowe siyo wakuhurumia. Anapambana na hali yake. Hajaomba na wala hahitaji msaada. Jihurumie wewe
 
Without any doubt Mkuu and that’s very scary. Hopefully Mabeyo will do something before it’s too late.

Mabeyo nae ananjaa kama Mbwa Mwitu. Hana chochote cha kufanya.

Tatizo mama aliingia madarakani kwa fantasy na pressure huku akijaribu kuaminisha watu kwamba mtawala aliyemtangulia alikuwa akifanya vibaya.

Watoto wa mjini wakawa wanamuingiza kwenye 18; na ameshaingia, hachomoki,!now amekuwa muimba taarabu tu na kupangiwa safari za nje akale shushu si ana penda raha sana.

Hivi nyie mnaopoteza Muda kusikiliza speach zake mna moyo sana. Mimi nikimuona nazima kabisa TV. Hakuna anachoongea chochote cha maana.Yeye ni pambo tu kwenye kiti.

Na hii ndio sababu kwa nchi za Africa , feminism kwenye kiti cha Urais haitakiwi. Kwa ulaya ni sawa maana they have closed System na mifumo inajiendesha.
 
Yupo anaandaa royal tour
 

When did she start well ? , we don’t see that. she is Horrible in our history . The country is losing ,I am doubting her mental strength and decision making skills. Ni Mavitu vitu tu
 

Hakuna movie wala sinema. Hapa ni ule mkono “invisible” unaofanya kazi kuweka sawa mitazamo finyu ya binadamu umefanya yake.

Suala la “caretaker/interim govt” Rais akifariki lilipendekezwa wakati wa mjadala wa katiba awamu ya 4, lakini wazee wa chama wenye maono makuu ya kuishi na kutawala milele waligoma kabisa kukubaliana na point hiyo. Nina hakika walijuta sana mwezi Machi mkono usioonekana uliposhuka ghafla na kupangua ndoto zao.

Sasa sijui itakuwaje manake sasa ndio wamecharuka kabisa. Wanadai suala la katiba mpya si kipaumbele cha wananchi bali wanasiasa wenye uroho wa madaraka! Wala halimo kwenye ilani yao. Eti wananchi wanataka chakula, elimu, maji safi, n.k.
 

Always tunasema ; Hii jamii ya pwani ikiongoza nchi, ni kweli nchi inaonekana haina VURUGU lakini nchi huwa inaharibiwa na kuoza kabisa ; baada ya hapo reform inahitajika sana.

Alitoka Mkwere , JPM alikuwa na kazi kubwa ya reforms , mpaka ikafikia hatua anatumia nguvu kusawazisha nchi , he was very much successful on that. Alitoka mzee ruksa, nchi ilioza, akaja Ben, the struggle was really

Yaani Hii jamii kazi yao ni kuharibu tu kuacha kila kitu kijiendeshe, nchi inakuwa kama shamba la bibi, nchi inakuwa haina control

Leo hii watanzania wanaona tabu hata kutumia miamala yao, control control

F%^^K off ,
 
Eti wananchi wanataka chakula, elimu, maji safi, n.k.[emoji848][emoji848][emoji848] Katiba inahusika na haya yote
 

Hakuna Raisi anayefaa wakati wote kwa asilimia 100. Rais ni binadamu kama wengine. Asipowekewa vigezo na nyenzo za kumdhibiti anaweza kufanya mambo ya ovyo sana. Marekani ilishuhudia Rais Trump akijaribu kukiuka katiba ili kubomoa demokrasia na kupigia chapuo ukuu wa watu weupe kwa kivuli cha Make America Great Again (MAGA). Lakini taasisi imara zikamdhibiti.

Ndio maana katiba bora inatakiwa isiyoruhusu Rais kuwa juu ya katiba, sheria na taasisi zote za dola. Katiba inatakiwa iruhusu bunge na wananchi kupima, kujadili na kuchukua hatua za kumwajibisha Rais akivunja katiba, sheria au kuwa na utendaji mbovu sana chini ya vigezo vilivyokubaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…