Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Acheni huu UPUMBAVU jiwez alikaa madarakani Miaka 6 ukiacha kuua watu nakufilisi watu aliweza nini...jiwe na huyo mamaenu wote hawana la maana zaidi yakuumiza watu tu

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app

JPM was the best P for our Country. Nyie wapiga majungu msubirini Mungu atawaongoza mana mmekuwa kama vigori wa zamani. Maneno tu Mradi Bundle. Samia ndo kaanza tu Lakini maneno Millionen. Kila uongozi unapaswa kuangaliwa at least minimum baada ya Miaka 3. acheni aandae abstrakt na table of contents yake. Then aandike hata kautangulizi. Then anza kumjudge accordingly and not according to your personal opinion. Kumbuka Rais sio katibu Kata wala mkuu wa mkoa. She has bigger issues to deal with than your unfounded worries.
 
Kuna watu fulani wakifa wote na vizazi vyao ndio nchi mpaka chama ccm kitakuwa salama.

Ila to late maana watoto zao wameshakuwa na wajukuu.

Umeshawahi kusikia miaka ya nyuma japo ni siri sana “mtoto wa jamhuri”

Hawa kwa sasa wanawatoto ila babu zao bado wapo na kwani wanachelewa kufa
Hii hoja yako si ya kupuuzwa hata kidogo.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, tusilaumu watu.

Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.

Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.

Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.

Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.

Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Hapo kwenye safari za mama.Je,anaenda kuzurura tu au?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na mapungufu yake, JPM alikuwa ana uwezo wa kumiliki maamuzi yake katika kila jambo. Hili lilimfanya ajiamini na kusimamia mawazo/maamuzi yake hata kama yalipingwa na ulimwengu mzima.

Sasa kwa mama yetu ni kama vile haamini bado kuwa yeye ndie raisi, ni kama vile hajui nguvu aliyokuwa nayo na mbaya zaidi ni wazi kaweka bayana kwa washauri wake kuwa hana dira. Hili linawapa nguvu wasaidizi wake kufanya maamuzi bila kumshirikisha ipaswavyo ama kupindisha uhalisia hasa wa athari ya maamuzi hayo. Hii inamgharimu mama pale athari inapokuwa hasi, inabidi kutoa kauli kutuliza jazba ambapo in reality linafikirisha juu ya alikuwa wapi mambo yakiamuliwa.

Japo kuna baadhi ya watu watapinga kwa vile wamampenda mama, ila ni wazi mama hajui anakokwenda, hana dira na hana kauli katika maamuzi yake.

Mama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.
Hata tozo tulidhani za Mwigulu kumbe zina baraka zake. Mimi siamini kama kashikiwa akili kwa kiwango ulichoeleza.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umenena kweli tupu, nilikuwa nawaza Sana Nani ndo rais kwasasa sielewi, Samia Hana Kazi yoyote ambayo inaonekana kufanywa na rais wa nchi.

Haongozi chochote, hatoi maelekezo, yupo njiani Kila siku, Mpango ndo sijui kapangwa wapi, WK nae anajitutumua bila maboss wake kusikika.

Kabaki anasikika gwajima tu.

Sijui mabeyo anatusikia?
Si nasikia Mama yeye anafanya kazi kimya kimya.Hana haja ya "makamera" wala "mic"

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kaka, nimeshangaa sana mambo ya huyu mama. Yaani kabisa ameacha ofisi na kwenda kuamua 'kuigiza movie' badala ya kushughulika na serious matters. Wapo watu wanatetea hii kitu kwamba hata Kagame 2018 aliigiza filamu ya Royal Tour. Kwangu mimi this doesn't make sense at all. Yapo mambo mengi na ya msingi sana yanahitaji uamuzi wa Rais na siyo huu utumbo unaofanyika sasa
Kwani akienda kushoot muvi harudi au anakuwa bongomuvi mazima?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Humu humu ndani walikua wanasema mwenda zake mbaya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yeyu yeyiiiiiii kuleni tozo na sahii Tozo hadi bank hakuna kwa kukimbiliaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka tu maneno machache ya mwenda zake aliposema NCHI HII NI TAJIRI SANA LAKINI SERIKALI ILIKUA INASHINDWA KUKOMAA KUDAI KODI KWENYE MADINI TUNAPOTZA ZAIDI YA TRILLION 300 PESA YA KUENDESHE NCHI MIAKA 10 BILA MKoPO TUNAKOMAA KWATOZA KODI WANANCHI HAWA MASIKINI YAWEZEKANA PESA ZETU NDIO WANAZITUMIA KUFANYA MAENDELEO HUKO KWAO TUNAONA KUZURI KUNA FAA VILE Rest In Paradise my all time nest president ever seen in world history I love you......kwa bahati mbaya umetuachia mtu sio mfatiliaji anazunguka kama vile yeye ndio waziri wa utaliii sasa kama akifanya haya yoote mwenyewe kuna umuhimu gani wa kua na mawaziri[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji706]
Shida ipo kwenye ripoti ya Profesa Asad na aliyotendewa. Kuuishi Uzalendo kwa vitendo siyo lelemama.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Sijui chuo gani wanafundisha kujenga changarawe juu ya lami nzima isiyo na tatizo.

Sijui tathmin ya kumwaga changarawe kwenye lami kwenye tenda inajazweje na mimi nikashiriki. wanataka kutugombanisha vile kati ya wananchi na serikali.

hawajali wenye magari tumelipa vingapi na tunalipia mangapi.

Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA.
"Kugombanishwa" ni jambo moja na "Kukubali kugombana" ni jambo jingine.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Tujikumbushe makala iliyoandaliwa na gazeti la RAIA MWEMA katika mahojiano ya CHACHA MATIKO aliyewahi kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam,alisababisha mgomo ikafika hatua mbaya zaidi ya yy kutekwa na watu wasiojulikana apa ndipo penye namna serikali inavyomilikiwa mtalalamika sana lakini hata ukiwekwa ww kuwa rais utafanya kile wanachokitaka waliokuweka huku ukiumia moyoni na huna cha kufanya.
Ukisema ufanye tofauti na waliokuweka kitu gani kinaweza kukukuta?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom