Nina mashaka Luteni Urio anaenda kuharibu ushahidi dhidi ya Mbowe na wenzake 3. Fact hizi hapa
Nimecheka sana, Urio anasema kwenye meseji aliomba atumiwe nauli ya kuwa-mobilise watuhumiwa, akaulizwa kwa hiyo alifanya kazi ya kuwa-mobilise magaidi anajibu hapana sio mimi ni Mbowe, wakati kule juu alishakiri yeye ndie aliyetumiwa nauli ya kuwa mobilise watuhumiwa.
Kuna comedy za kitoto sana yani
 
Hii kesi wangenipa ata mm niitengeze nadhani ningewazd
 
Na pia kwa maelezo aliyotoa ameshindwa hata kumtambua Mbowe. Amefail sana.
 
Hamna kesi hapo bali niuharibifu wa national resources - nchi maskini kama hii kufanya mambo ya hovyo kama haya yanayolighalimu taifa letu mamiliom ya fedha kisa ati kumkomoa Mbowe na familia yake sababu kubwa anaisumbua CCM
Mwanamke utafuta madaraka Ili amkomoe mwanaume
 
Luteni Urio amekosea kuwalengesha vijana wa watu wakaacha ajira zao na kuwatumbukiza ktk " mipango " ya Mbowe.

Mbowe alitakiwa achomekewe undercover police ambao wangeenda naye taratibu mpaka wamkamate kukiwa na ushahidi usio na mashaka.
Yeah
Hii ndio point na sijui waliwaza nini maana katika mazingira ya kawaida hilo jambo halikwepeki
Watu hawana kazi hivyo wakiambiwa kuna mchingo fulani lazima wajiongeze nao tu.
Kakosea sana kuwazamisha vijana wa watu. Hii ilipaswa waende na Mbowe mdogo mdogo tu
 
Ilaaniwe siku ile aliyozaliwa Hangaya. Ilaaniwe saa ile aliyotoka Duniani hangaya ambaye kwa uongo huu wa mchana anaweza kulala usingizi akipigwa mashine na mdau wake Huku mtu wa watu, mwema asiye na mawaa akiumia jela bila kosa lolote. Alaaniwe Siro afe kifo kibaya zaidi mbwa Koko, alaaniwe Kingai aliwe afe kifo cha mbuzi mwitu walaaniwe na mahita boazi goodlaki na jumanne. Wasiyaonje mauti kabla ya kulwafi
 
Luteni mwenye Elimu ya F4 na Advence kujichanganya mahakamani na kusema hakuna ugaidi.

Naomba tupia sehemu amboyo kwa mawilili wavyo mchokonoa naye kujikuta kwenye mtego
 
Back
Top Bottom