Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kama akimaliza kuandika anaanza kumkimbia urio ambaye kwa sasa anamkaribia akiwa ameshika panga😂Punguza pressure tulia, andika taratbu tutaptia uzi wako
Edit basi mkuuLuteni mwenye Elimu ya F4 na Advence kujichanganya mahakamani na kusema hakuna ugaidi.
Naomba tupia sehemu amboyo kwa mawilili wavyo mchokonoa naye kujikuta kwenye mtego
Ni Jiwe ndiye aliyekuwa master plan wa kila kitu. Matatizo yote ni awamu ya Tano. Mama Hana shida na hatutegemei kufanya ujinga kama huuIlaaniwe siku ile aliyozaliwa Hangaya. Ilaaniwe saa ile aliyotoka Duniani hangaya ambaye kwa uongo huu wa mchana anaweza kulala usingizi akipigwa mashine na mdau wake Huku mtu wa watu, mwema asiye na mawaa akiumia jela bila kosa lolote. Alaaniwe Siro afe kifo kibaya zaidi mbwa Koko, alaaniwe Kingai aliwe afe kifo cha mbuzi mwitu walaaniwe na mahita boazi goodlaki na jumanne. Wasiyaonje mauti kabla ya kulwafi
Yeye sio jaji hana uwezo wa kusema kulikuwa na ugaidi au LALuteni mwenye Elimu ya F4 na Advence kujichanganya mahakamani na kusema hakuna ugaidi.
Naomba tupia sehemu amboyo kwa mawilili wavyo mchokonoa naye kujikuta kwenye mtego
🙄🙄🙄🙄🙄Yeye sio jaji hana uwezo wa kusema kulikuwa na ugaidi au LA
Hiyo ni kazi ya jaji sio shahidi ndio maana mahakamaani hiyo kesi inaendelea ili mwisho wa siku majaji ndio waamue kuwa kulikuwa na ugaidi au
HOME boy anamiliki techno na Samsung kitochi🤣🤣🤣Homeboy amekoroga mambo sana.
Nimecheka sana huyu luten anaonekana ni chapombe balaa...alafu komando kuna siku hawa watachukua ak47 na kuuwana maana ni wehu...Edit basi mkuuView attachment 2097734
Siku ile hangaya anahojiwa na salim kikeke ulimwelewa?Ni Jiwe ndiye aliyekuwa master plan wa kila kitu. Matatizo yote ni awamu ya Tano. Mama Hana shida na hatutegemei kufanya ujinga kama huu
Tunakuombea uhai mrefu , wote utawasikia bila shakaNina hamu Sana kuwasikia mashahidi Hawa wawili wa upande wa utetezi!
... Mbowe
... Sirro
Mtu mzima lakini bado njiti.Jinga we!Kwahiyo zero na chifu walikuwa ni majaji au sio, Taga
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Hayo mengine uliyoongea yana maana, lakini la jeshi kufukuza watovu wa nidhamu haliwezi kuingia lawama kwenye kadhia hii.Pamoja na kujua hayo yote bado jeshi likawafukuza kazi na wengine wakawa madereva wa IT. Hivi jeshi halikujua kuwa hawa watu kukosa kazi ni hatari zaidi? Inakuwaje kama wangeamua kuwa majambazi?
Kuhusu Mbowe kuhitaji ulinzi wa makomandoo jibu ni kwasababu Mbowe amewahi kupigwa na kuvunjwa mguu. Lissu amewahi kupigwa risasi mchana kweupe hivyo alihitaji ulinzi wa professional na well trained personnel.
Kamateni huyo luten Muongo muongo na mjinga mjinga kuwahi kutokea nchini, ili iwe fundisho kwa wahuni wengine mithili yakeNote; Kama kweli Luten urio uliwaambia wenzio kuwa wanahitajika kwa kazi ya ulinzi na wao wakaamua kuacha shughuli zao kwajili ya kwenda kuwa walinzi, harafu ukashikwa vichwa na kina kingai ukaamua kuwauza ndugu zako na wanaume wanzako waliokuwa wanapambania familia zao.
Basi laana ya Mungu iwe juu yako na vizazi vyako vyote kwa unyama huo ulio wafanyia.
Ushauri; Nadhani ushahidi alio utoa urio umetoa mwanga halisi wa hii kesi maana yeye ndo source, kiasi kwamba hata mtoto wa la saba alie elewa vizuri somo la uraia anaweza akaona mpaka sasa mwenye hatia na asie na hatia ni yupi,.
Hivyo basi kwa wote mnaohusika na utengenezaji wa hii kesi naomba muwaachie haraka na upesi sana hao makomando walio uzwa na Urio, maana hawana hatia lasivyo karma itawatafuna sana.
Kamateni huyo luten Muongo muongo na mjinga mjinga kuwahi kutokea nchini, ili iwe fundisho kwa wahuni wengine mithili yake.
#Mungu hadhihakiwi,
#haki ya mnyonge huwa haipotei bali huchelewa tu.
Kazoea kuona maiti, ndio maana mwenzako kajichimbia KaburiEbu lione Kingai lenyewe utadhan amphibianView attachment 2097932