Nina mashaka Luteni Urio anaenda kuharibu ushahidi dhidi ya Mbowe na wenzake 3. Fact hizi hapa
Luteni mwenye Elimu ya F4 na Advence kujichanganya mahakamani na kusema hakuna ugaidi.

Naomba tupia sehemu amboyo kwa mawilili wavyo mchokonoa naye kujikuta kwenye mtego
Edit basi mkuu
Screenshot_20220127-161823_Instagram.jpg
 
Ilaaniwe siku ile aliyozaliwa Hangaya. Ilaaniwe saa ile aliyotoka Duniani hangaya ambaye kwa uongo huu wa mchana anaweza kulala usingizi akipigwa mashine na mdau wake Huku mtu wa watu, mwema asiye na mawaa akiumia jela bila kosa lolote. Alaaniwe Siro afe kifo kibaya zaidi mbwa Koko, alaaniwe Kingai aliwe afe kifo cha mbuzi mwitu walaaniwe na mahita boazi goodlaki na jumanne. Wasiyaonje mauti kabla ya kulwafi
Ni Jiwe ndiye aliyekuwa master plan wa kila kitu. Matatizo yote ni awamu ya Tano. Mama Hana shida na hatutegemei kufanya ujinga kama huu
 
Luteni mwenye Elimu ya F4 na Advence kujichanganya mahakamani na kusema hakuna ugaidi.

Naomba tupia sehemu amboyo kwa mawilili wavyo mchokonoa naye kujikuta kwenye mtego
Yeye sio jaji hana uwezo wa kusema kulikuwa na ugaidi au LA

Hiyo ni kazi ya jaji sio shahidi ndio maana mahakamaani hiyo kesi inaendelea ili mwisho wa siku majaji ndio waamue kuwa kulikuwa na ugaidi au
 
Yeye sio jaji hana uwezo wa kusema kulikuwa na ugaidi au LA

Hiyo ni kazi ya jaji sio shahidi ndio maana mahakamaani hiyo kesi inaendelea ili mwisho wa siku majaji ndio waamue kuwa kulikuwa na ugaidi au
🙄🙄🙄🙄🙄
 
Ni DHAMBI KUBWA sana kuendelea kujadili vitu ambavyo havipo.na mbaya zaidi kuendelea kutumia pesa za watu maskini kuendesha kesi ya kubumba.
 
Ni Jiwe ndiye aliyekuwa master plan wa kila kitu. Matatizo yote ni awamu ya Tano. Mama Hana shida na hatutegemei kufanya ujinga kama huu
Siku ile hangaya anahojiwa na salim kikeke ulimwelewa?

Hivi aliemkamata Mbowe ni jiwe?

Kama huyo hangaya wako hana shida kwanini amemkamata na kumshikilia Mbowe mpaka muda huu?
 
Pamoja na kujua hayo yote bado jeshi likawafukuza kazi na wengine wakawa madereva wa IT. Hivi jeshi halikujua kuwa hawa watu kukosa kazi ni hatari zaidi? Inakuwaje kama wangeamua kuwa majambazi?

Kuhusu Mbowe kuhitaji ulinzi wa makomandoo jibu ni kwasababu Mbowe amewahi kupigwa na kuvunjwa mguu. Lissu amewahi kupigwa risasi mchana kweupe hivyo alihitaji ulinzi wa professional na well trained personnel.
Hayo mengine uliyoongea yana maana, lakini la jeshi kufukuza watovu wa nidhamu haliwezi kuingia lawama kwenye kadhia hii.

Kwa afisa ama askari, jeshi halina muhali kwa watovu wa nidhamu.

Hufukuza bila kujali gharama ama taaluma iliyowasomesha.

Mwanajeshi akiwa kambini ama nje ya jeshi uraiani daima hukabiliwa na sheria zote, namaanisha sheria za kijeshi(military law) na penal code.

Kwa hiyo akijichanganya kama kwa tuhuma wanazokabiliana nazo hao hivi sasa, basi sheria za nchi ndiyo wanazopambana nazo.
 
Bila kupoteza muda, wakati mtuhumiwa wa kesi ya ugaidi, ex-komando Mohammed ling'wenye alipokuwa anatoa ushahidi wake kuna sehemu alisema haya;

"Wakati nipo kwenye chumba nilichofungiwa kituo cha polisi mbweni, nilisikia sauti ya mtu akilia kwa sauti ya kuteswa, na nilipochungulia nyuma ya dirisha niliwaona askari waliokuwa wanamtesa huyo mtu, na nilivyoangalia vizuri nikamfahamu alikuwa ni Luten Denis Urio"

Sasa basi nimejaribu kuunganisha maneno hayo ya Mohammed na ushahidi anao utoa huyu Denis Urio nikajikuta najiuliza maswali haya,

Je nikwanini sasa kina kingai walimtesa tena informer wao?

Je, nikwanini simu zake zote zilichukuliwa na kina DCI wakati ni informer wao?

Muda huwa ni shahidi mzuri sana wa ukweli. Acha mvua iendelee kunyesha matobo yote juu ya paa yajulikane.
 
Note; Kama kweli Luten urio uliwaambia wenzio kuwa wanahitajika kwa kazi ya ulinzi na wao wakaamua kuacha shughuli zao kwajili ya kwenda kuwa walinzi, harafu ukashikwa vichwa na kina kingai ukaamua kuwauza ndugu zako na wanaume wanzako waliokuwa wanapambania familia zao.
Basi laana ya Mungu iwe juu yako na vizazi vyako vyote kwa unyama huo ulio wafanyia.

Ushauri; Nadhani ushahidi alio utoa urio umetoa mwanga halisi wa hii kesi maana yeye ndo source, kiasi kwamba hata mtoto wa la saba alie elewa vizuri somo la uraia anaweza akaona mpaka sasa mwenye hatia na asie na hatia ni yupi,.
Hivyo basi kwa wote mnaohusika na utengenezaji wa hii kesi naomba muwaachie haraka na upesi sana hao makomando walio uzwa na Urio, maana hawana hatia lasivyo karma itawatafuna sana.

Kamateni huyo luten Muongo muongo na mjinga mjinga kuwahi kutokea nchini, ili iwe fundisho kwa wahuni wengine mithili yake.

#Mungu hadhihakiwi,
#haki ya mnyonge huwa haipotei bali huchelewa tu.
 
Note; Kama kweli Luten urio uliwaambia wenzio kuwa wanahitajika kwa kazi ya ulinzi na wao wakaamua kuacha shughuli zao kwajili ya kwenda kuwa walinzi, harafu ukashikwa vichwa na kina kingai ukaamua kuwauza ndugu zako na wanaume wanzako waliokuwa wanapambania familia zao.
Basi laana ya Mungu iwe juu yako na vizazi vyako vyote kwa unyama huo ulio wafanyia.

Ushauri; Nadhani ushahidi alio utoa urio umetoa mwanga halisi wa hii kesi maana yeye ndo source, kiasi kwamba hata mtoto wa la saba alie elewa vizuri somo la uraia anaweza akaona mpaka sasa mwenye hatia na asie na hatia ni yupi,.
Hivyo basi kwa wote mnaohusika na utengenezaji wa hii kesi naomba muwaachie haraka na upesi sana hao makomando walio uzwa na Urio, maana hawana hatia lasivyo karma itawatafuna sana.

Kamateni huyo luten Muongo muongo na mjinga mjinga kuwahi kutokea nchini, ili iwe fundisho kwa wahuni wengine mithili yake.

#Mungu hadhihakiwi,
#haki ya mnyonge huwa haipotei bali huchelewa tu.
Kamateni huyo luten Muongo muongo na mjinga mjinga kuwahi kutokea nchini, ili iwe fundisho kwa wahuni wengine mithili yake
 
Back
Top Bottom