FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Itakuwa alitumia cheti cha mtu kupata kazi, na hawa ndio vyeti feki aliokuwa anawafukuza JPM, mkamlaumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Levo yangu ni kukuzaa wewe na kukutumza salama.Kama hautojali naomba nikuulize, Una level gani ya elimu mkuu?
Toka lini jeshini walitimua wenye vyeti feki? Huko waliachwa na kama wangetaka kuwatimua basi asilimia 60 ya majeshi yetu yangepoteza askari wake huko kumejaa la Saba, na mafelia wa form4 Kuna jamaa nilisoma naye akafeli mtihani wa form2 akarudia akafeli tena akaingia jeshini now ni koploItakuwa alitumia cheti cha mtu kupata kazi, na hawa ndio vyeti feki aliokuwa anawafukuza JPM, mkamlaumu sana
Jpm alionea kada zingine majeshini alifukuza Uhamiaji pekee majeshi yote bado wapo.Itakuwa alitumia cheti cha mtu kupata kazi, na hawa ndio vyeti feki aliokuwa anawafukuza JPM, mkamlaumu sana
Uhamiaji pekee ndiko walipofukuza labda lilikuwa sio jeshi kamili enzi hizoToka lini jeshini walitimua wenye vyeti feki? Huko waliachwa na kama wangetaka kuwatimua basi asilimia 60 ya majeshi yetu yangepoteza askari wake huko kumejaa la Saba, na mafelia wa form4 Kuna jamaa nilisoma naye akafeli mtihani wa form2 akarudia akafeli tena akaingia jeshini now ni koplo
Lete ushahidiLeo nimeshangazwa na taarifa za shahidi wa leo, ndugu Denis Urio. Taarifa kwamba alisoma King'ori zilinishangaza kwa sababu Denis Urio aliyesoma king'ori sekondari na sio huyu aliyeko mahakani...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe denis urio uyo ni BASHITE????Atakua anatumia cheti cha mtu
Kaiba cheti, duhLeo nimeshangazwa na taarifa za shahidi wa leo, ndugu Denis Urio. Taarifa kwamba alisoma King'ori zilinishangaza kwa sababu Denis Urio aliyesoma king'ori sekondari na sio huyu aliyeko mahakani...
ilishindikana kufukuzwa kwakuwa alikuwa mwanajeshiItakuwa alitumia cheti cha mtu kupata kazi, na hawa ndio vyeti feki aliokuwa anawafukuza JPM, mkamlaumu sana
Nenda kajiridhishe huko King'oriLete ushahidi
Nyambafu weyeToka lini jeshini walitimua wenye vyeti feki? Huko waliachwa na kama wangetaka kuwatimua basi asilimia 60 ya majeshi yetu yangepoteza askari wake huko kumejaa la Saba, na mafelia wa form4 Kuna jamaa nilisoma naye akafeli mtihani wa form2 akarudia akafeli tena akaingia jeshini now ni koplo
Mbona amesema hapo nenda king'ori kwq familia yake utapata maelezo ya ushahidi vizuriLete ushahidi
Wewe kuna mahali umelowa, jichunguze vizuriNa kwanini Mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi wake akiwa na Bilicanas...