Nina mashaka Luteni Urio anaenda kuharibu ushahidi dhidi ya Mbowe na wenzake 3. Fact hizi hapa
King'ori ukienda maeneo ya mgumu Serengeti maana yake ni kitumbua panorama "Papuchi"
 
Itakuwa alitumia cheti cha mtu kupata kazi, na hawa ndio vyeti feki aliokuwa anawafukuza JPM, mkamlaumu sana
Toka lini jeshini walitimua wenye vyeti feki? Huko waliachwa na kama wangetaka kuwatimua basi asilimia 60 ya majeshi yetu yangepoteza askari wake huko kumejaa la Saba, na mafelia wa form4 Kuna jamaa nilisoma naye akafeli mtihani wa form2 akarudia akafeli tena akaingia jeshini now ni koplo
 
Ndugu ushahidi wenyewe wa kuharibu si mpaka uwepo.
 
Hii kibatala ameiona kweli? Naomba aijue na kuifahamu hii taarifa
 
Hili sasa huenda likawa mwiba mwingine kwa serikali...

Mkuu inaonekana unajua mengi sana,,ongeza nyamanyama
 
Toka lini jeshini walitimua wenye vyeti feki? Huko waliachwa na kama wangetaka kuwatimua basi asilimia 60 ya majeshi yetu yangepoteza askari wake huko kumejaa la Saba, na mafelia wa form4 Kuna jamaa nilisoma naye akafeli mtihani wa form2 akarudia akafeli tena akaingia jeshini now ni koplo
Uhamiaji pekee ndiko walipofukuza labda lilikuwa sio jeshi kamili enzi hizo
 
Leo nimeshangazwa na taarifa za shahidi wa leo, ndugu Denis Urio. Taarifa kwamba alisoma King'ori zilinishangaza kwa sababu Denis Urio aliyesoma king'ori sekondari na sio huyu aliyeko mahakani...
Lete ushahidi
 
Toka lini jeshini walitimua wenye vyeti feki? Huko waliachwa na kama wangetaka kuwatimua basi asilimia 60 ya majeshi yetu yangepoteza askari wake huko kumejaa la Saba, na mafelia wa form4 Kuna jamaa nilisoma naye akafeli mtihani wa form2 akarudia akafeli tena akaingia jeshini now ni koplo
Nyambafu weye
 
Na kwanini Mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi wake akiwa na Bilicanas...
Wewe kuna mahali umelowa, jichunguze vizuri
 
Back
Top Bottom