The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Adanganye utrasound ??Ukute hana mimbaa, ni mpango kautega akupigee maokotoo.
Nimekumbukaa shost angu alivyompiga jamaa ake mapenee, kupitia mimba uchwara, mwsho kudanganya imeharibikaa. Lol
Shtukaa mjinii hapaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumpe hongera baba kija😄😂 aachane na habari ya kuhisi amesingiziwa mimba
Inawezekana kitaalam tunaita "cronoenkymosyin" ni aina ya mimba ambayo inapatikana pale tu mbegu ya mchepuko ikiingia siku kadhaa kabla ya mimba ya mume na mara nyingi mume anakuwa kama kachanganyikiwa na kuanza kuuliza maswali kama haya ambayo kitaalamu hayawezani.Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.
SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?
Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
Kashazipata ajiandae kubembeleza mtotoTumpe hongera baba kija😄
Hatar hio situationTatizo huja baba akimtaka mtoto wake, hapo kamaliza shule ya msingi na ulimpeleka Dady i am going primary school.
Nasbukuru sana kwa ushaur wako wa hekimaUltrasound hutumika kupima umri wa ujauzito kwa kuzingatia ukubwa wa mtoto aliyeko tumboni, na kwa kawaida huwa ni sahihi kwa kiwango kikubwa, hasa katika hatua za mwanzo za ujauzito. Lakini, matokeo ya ultrasound pia yanaweza kutofautiana kidogo kulingana na hali mbalimbali kama vile mzunguko wa hedhi wa mwanamke, na wakati alipotunga mimba.
Kwa kawaida, ultrasound inaweza kuwa na tofauti ya hadi wiki moja au mbili, lakini tofauti ya wiki mbili na zaidi ni nadra. Kwa hiyo, ikiwa ultrasound inaonesha kuwa ujauzito ni wa wiki 5 na siku 2, na ulitarajia uwe wa wiki 3 au chini ya wiki 4, kuna uwezekano mkubwa kuwa wakati wa kutunga mimba ulitokea kabla ya ulivyofikiria.
Ikiwa una shaka juu ya uhalali wa ujauzito huo kuwa wako, unaweza kumshauri mwenzi wako apate kipimo cha DNA cha kubaini uhalali wa baba wa mtoto mara baada ya mtoto kuzaliwa. Hata hivyo, ni muhimu kuzungumza naye kwa uwazi na kwa upole kuhusu hisia zako na wasiwasi ulionao.
Wewe kakupa cheo cha heshma cha "social father " maisha yaendelee.Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.
SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?
Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
Ukienda hospital Wana muuliza dada mara ya mwisho kuingia period ni lini?halafu ndo Wana calculate na tarehe ya hiyo siku aliyoenda kupima ndiyo maana unaona mimba inasoma hivyo tofauti nawewe ulivyotarajia,hawahesabu tarehe mliyo-kutanaimekuaje ultrasound isome mimba ni wiki 5 nasku 2?
Umenena vyemaKama ulishapiga mimba ni ya kwako mkuu, mpaka akusingizie wewe alishaona unafaa kuwa baba wa mwanae ,tusaidiane kwa upendo tu mkuu.
Sijui Mpaji Mungu anakwama wapi! Wenzie wanajipata yeye yupo tu🙆♀️Kashazipata ajiandae kubembeleza mtoto
Shindikana akiwa hajavutishwa bangi.Kama ulishapiga mimba ni ya kwako mkuu, mpaka akusingizie wewe alishaona unafaa kuwa baba wa mwanae ,tusaidiane kwa upendo tu mkuu.
Huyo anao watoto 7 asiwadanganye.Sijui Mpaji Mungu anakwama wapi! Wenzie wanajipata yeye yupo tu🙆♀️
Kupiga mimba ni kujipata? 😁😁Sijui Mpaji Mungu anakwama wapi! Wenzie wanajipata yeye yupo tu🙆♀️
Ningekua naye Hata Moja ningevimba, Atoto niepushie hizi aibu ndogo ndogo bas nizalie kachaliii kamojaHuyo anao watoto 7 asiwadanganye.
😄😄😄Shindikana akiwa hajavutishwa bangi.
Thank you nmeelewaUkienda hospital Wana muuliza dada mara ya mwisho kuingia period ni lini?halafu ndo Wana calculate na tarehe ya hiyo siku aliyoenda kupima ndiyo maana unaona mimba inasoma hivyo tofauti nawewe ulivyotarajia,hawahesabu tarehe mliyo-kutana
Sijui umenielewa...😊hujabambikiziwa
Na kila mtoto na mama yake😄Huyo anao watoto 7 asiwadanganye.