Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

Nina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgongo kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.

Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua, sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha, nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana lakini mdogo angu ana miaka ishiri na ivyo ivyo akivaa wala akasiriki sielewi na ata akivaa ya kubana wala hamsemi shughuli ipo kwangu sasa jer nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah Nina mtihani.
Katiba Mpya itasolve hii changamoto yako
 
Post namba ngap?
8DD13403-9335-4E92-AB28-C3EA49AFA3BB.jpeg
 
Very very simple, nunue bikini mbili(2) kisha vaa kwa kila titi [emoji23][emoji23]
 
Unataka tumushauri Nini .mpenz..
Naona hapo unatatizo la kukosa wa kukunyonya ili yasiume
 
Vaa sidiria size yako,
Wanawake wengi Africa hawajui size sahii za sidiria kwa ajili ya matiti yao
 
chuchu ndogo zikilala bhna zinakuwa kama chura alie kufa kwa njaa 🤣🤣🤣🤣..ila weng weny maziwa madogo wanayo hips..
 
MATANGAZO yanauza sana yakiambatana na kapicha ka bidhaa tajwa
 
Back
Top Bottom